Mungu kaumba vyote lakini kasoro kitu kimoja

Fungua code hapo kwenye Flat na kwenye mabara zaidi ya 100 wengi tukuelewe unamaanisha nini?
 

Niambie wapi pameandikwa mungu aliyaumba maji. Naona unaongelea jinsi alivyo yagawa sio kuyaumba maana maji yalikuwepo hata kabla ya mungu kufikiria uumbaje na roho yake ilikua inatembea juu ya maji ko apo niambie maji yalitoka wap.

Ukibisha sikulazimishi mkuu.
 
Mboni nimeelezea kila kitu si usome kila nilichokiandika ndio unielewe vizuri
 
Bado hujafungua code flat kivipi na mabara 100 kivipi?

Kwanza biblia yako inaushahidi wa kwanza katika mwanzo soma kama mtu mwenye akili alaf kuhusu mabara hayo yapo beyond Antarctica kuna system special ya kuzuia taarifa hiz ko kwanza unatakiwa uamke baadae utaelew
 
Babu toa maelezo wewe maelezo yako yapo wapi?
Ila utakuj kuelew baada ya kutoa uoga wa kukufuru mana ukiwa bado mtu wa mungu hutanielew kamwe kwa sababu unatakiwa kutoka nje ya zizi ili uone yaliyo nje la sivyo Hautakuja kuyaona
 
Ila utakuj kuelew baada ya kutoa uoga wa kukufuru mana ukiwa bado mtu wa mungu hutanielew kamwe kwa sababu unatakiwa kutoka nje ya zizi ili uone yaliyo nje la sivyo Hautakuja kuyaona
Wewe toa maelezo hayo tukusikilize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…