Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Huna majibu wewe na kuku wenzio wote

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Majibu mmetoa wenyewe , ukiweka Hadith wewe Jua kusujudu tusipo liona kama mda huu hatulioni lipo linasujudu kwenye kiti Cha Allah na kwenye kiti Cha Allah chini Kuna maji 😂😂😂

Mwisho Muhammad akamaliza kabisa
Gusa Link
 
Hapo nilichokiona ni uelewa wako tu mdogo na tafsiri ya kiswahili ndivyo vinavyokutatiza.
Kwanza tuelimishane kuhusu maneno haya mawili, ''SUNRISE''-MAWIO/Kuchomoza kwa jua na ''SUNSET''-MACHWEO/Kuzama kwa jua.
Tuje kwenye aya limetumika neno la kiarabu;''MAGH'RIB''
MAGH’RIB”-Magharibi [WEST/SUNSET in english] lina maana tatu:-
1)The Time of sunset-Muda wa kuzama jua
2)Direction- Uelekeo wa jua linakozama
3)The place of sunset-Mahali jua linapozama

Hivyo, mfasiri (Translator) anaweza tumia maana mojawapo kati ya hizo tatu. Ila shida inakuja kwenye uelewa wetu tu.
Kwanza linguistically, tunapotumia maneno haya,''kuzama na kuchomoza kwa jua-Sunset and sunrise'' hatumaanishi kiuhalisia wake (Literally) kuwa kweli jua inafika wakati huwa linazama na kuchomoza, Lahashaa! NI JINSI TU LINAVYOONEKANA KWETU (IT APPEARS TO US in our point of views as if it sets and then rise)
But, tukija scientifically there is no sunrise or sunset. The sun is a very huge heavenly body to rise or set in a certain place on earth's suface because the earth is very very very small compared to the sun.
The sun is always in motion in its own orbit japokuwa wewe umesema lipo mahali pamoja (Stationary). Nenda kasome hiyo ilikuwa theory ya zamani sana lakina sasa wana sayansi wamegundua kuwa jua na lenyewe lina move haliko stationary.
Tuje kwenye aya ya Qur'an uliyonukuu sasa.
Ningependa kutumia translation ya Kiingereza ili uweze kunielewa vizuri.

Qur'an surah-al Kahf; 18: 83-86 (Yusuf Ali translation)
83-They ask thee concerning Dhul-Qarnain. Say, ''I will rehearse to you something of his story''.
84-Verily we established his power on earth, and We gave him the ways and means to all ends.
85-So he followed a way.
86-Until, when he reached the setting of the sun, he found it set in a spring of murky water. Near it he found a people; We said, ''O Dhul-Qarnain! either you punish them or treat them with kindness".

So, ukisoma hiyo verse ya 86, Allah ametumia neno "WAJADAHAA" kumaanisha Dhul-Qarnain ''found it'' or ''it appeared to him" as if it sets in a spring of murky water.
Hivyo, hapo Allah anasimulia alivoona Dhul-Qarnain (according to his view point) it appeared to him as if the sun sets in a spring of murky water.

Lakini pia, chakushangaza umeweka hoja tu kuhusu ''the setting of the sun" kwenye hicho kisa cha Dhul-Qarnain mbona hukuweka hoja kuhusu, "the rising of the sun" kwenye hicho hicho kisa kama inavyozungumzwa kweye aya ya 90 ya Surah-al kahf👇👇 iliposema "HATA ALIPOFIKA MATOKEO YA JUA ALILIONA LINAWACHOMOZEA WATU'' inaonyesha kuwa ume copy & paste hiyo hoja yako some where ili kui-disprove Qur'an.
Qur'an 18:90-"Until, when he came to the rising of the sun, he found it rising on a people for whom We had provided no covering protection against the sun."

In addition, ifuatayo ni mojawapo ya aya, Allah anazungumzia kuhusu jua linavyo move kwenye orbit yake na haiwi kwa jua kuingia kwenye orbit ya other heavenly body kama moon, earth etc kila kimoja kina revolve kwenye orbit yake👇👇
Qur'an 36:40-''It is not for the sun to overtake the moon, nor does the night outstrip the day. They all float, each in an orbit"
Swahili translation;
Qur'an 36:40-"Haliwi jua kuufikia mwezi, wala usiku kuupita mchana. Na vyote vinaogelea katika njia zao"
Amekuelewa,lakini atajifanya,hajaelewa.
 
Majibu mmetoa wenyewe , ukiweka Hadith wewe Jua kusujudu tusipo liona kama mda huu hatulioni lipo linasujudu kwenye kiti Cha Allah na kwenye kiti Cha Allah chini Kuna maji 😂😂😂

Mwisho Muhammad akamaliza kabisa
Gusa Link
Uelewa wako ni mdogo,watu wangu wanaangamia kwa kukosa elimu.
 
Kaka tangu dunia ilipo umbwa mpaka leo hakuna mkiristo hata mmoja anaweza kuthubutu kujibu maswali tutakayo wauliza

Mbwa hao!!!

Mijadala mingi naona waislamu tu ndio hujibu hoja kwa hoja.

Humu nimeona mmeuliza maswali zaidi ya matano lakini kwa sababu hawana elimu hawaja jibu hata moja.

Mimi ndio maana husema ukristo ni dini ya mapunguani.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vitambaa vya masista ni vazi tuu limeanzisha na wakatoliki, ni kama shule inapoamua sare za shule kwa wanafunzi wake, vazi halina uhusiano wowote na mambo ya imani au amri ya mungu
 
Nakutukana wewe unae lazimisha hadithi iwe sahihi. Ilhali wenyewe hawajasema kama ni sahihi
Wenyewe nyie waislamu mmesema sahih ya chain yake inafika mpaka Kwa muhammad, that's means ni maneno ya muhammad kasema Jua linazama kwenye maji hamiyah

Gusa link
 
Hizo ni hadithi tu za zama za giza za watu waliokosa uelewa halisi wa ulimwengu wa kisayansi.
 
Wenyewe nyie waislamu mmesema sahih ya chain yake inafika mpaka Kwa muhammad, that's means ni maneno ya muhammad kasema Jua linazama kwenye maji hamiyah

Gusa link
Huna hadithi sahihi hapo wenyewe wamekupinga usiwalazimishe lete chain tujadiliane nayo.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huna hadithi sahihi hapo wenyewe wamekupinga usiwalazimishe lete chain tujadiliane nayo.
Wameshamaliza waislamu wamesema sahih in chain
Maana chain ni sahih na inafika kwa Muhammad, tumemaliza, Hadith ni yenu Mimi sihusiki kuandika maandiko ya waislamu
 
Wameshamaliza waislamu wamesema sahih in chain
Maana chain ni sahih na inafika kwa Muhammad, tumemaliza, Hadith ni yenu Mimi sihusiki kuandika maandiko ya waislamu
Lete chain tuijadili ndio sahihi na sio hadithi.

Kama unalijua hilo kua waandishi ni waislamu na wao ndio walio sema chain ndio sahihi kwanini wewe unalazimisha hadithi kua ndio sahihi wewe ni nani kwao mpaka unapingana nao


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Lete chain tuijadili ndio sahihi na sio hadithi.

Kama unalijua hilo kua waandishi ni waislamu na wao ndio walio sema chain ndio sahihi kwanini wewe unalazimisha hadithi kua ndio sahihi wewe ni nani kwao mpaka unapingana nao


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimekupa link kawafuate nenda sehemu ya maoni waambiwe Hadith ni dhaifu wabadili
 
Nimekupa link kawafuate nenda sehemu ya maoni waambiwe Hadith ni dhaifu wabadili
Wao wako wazi hawajasema hadithi ni sahihi wewe na huko kujifanya unajua haya nambie chain ndio hadithi

Usilazimishe unavyo taka wewe wakati hata wenyewe hawajasema kama hadithi ni sahihi

Ingekuwa hadithi wanaona ni sahihi wangesema sahihi tu wasingeongeza neno hapo ninge wafata na kuwaambia mmetudanganya lakini iko clear au ndio mzee wa kujizima data unajifanya huelewi



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wao wako wazi hawajasema hadithi ni sahihi wewe na huko kujifanya unajua haya nambie chain ndio hadithi
Unasema chain ni Sahih imefika kwa muhammad alafu Muhammad kaongea uongo

sahih in chain, this means that it has been authenticated that it originated from the Prophet

Acha kumzulia Muhammad kwamba kasema uongo

Wewe nilikukuta kule unamzulia Allah na sasa unazua kwa muhammad
 
Vitambaa vya masista ni vazi tuu limeanzisha na wakatoliki, ni kama shule inapoamua sare za shule kwa wanafunzi wake, vazi halina uhusiano wowote na mambo ya imani au amri ya mungu
Wakorinto [11:3-16]

Inahimiza wanawake wajifunike nywele zao.kwaio masister wanafata mafundisho mbona waumin kanisan hili hawalitekelez?
 
Back
Top Bottom