Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #161
Kuna sehemu amekusikia fimbo umfuate achana naye kwanin uteseke
If you think education is expensive try ignorant
Kuna watu kibao hawana dini na wanaishi kawaida kama huamin mapokeo yake achane naye sababu huwezi mbadilisha
MUNGU Yehova, Baba yetu wa mbinguni hamchukii mtu, Bali huichukia dhambi. Dhambi ni uasi dhidi ya MUNGU. MUNGU Huwa na uwezo wa kughadhabika kutokana na dhambi. Kuna mifano dhahiri ya madhihirisho ya ghadhabu ya MUNGU kushukia wanadamu.
Yehova YWHW Aliwahi kuiangamiza dunia yote kwa gharika ya maji. walipona watu wanane tu. Nuhu na familia yake.
Mwenyezi MUNGU, Yehova YWHW Aliwahi kuiteketeza miji miwili mikubwa ya Sodoma na Gomora kwa moto. wakaokoka watu watatu tu. Lutu na mabinti zake wawili.
hivyo endeleeni KUJIDANGANYA!
JESUS IS LORD&SAVIOR
Mtu akikwambia square root ya 5 ni 15 utakubali kisa hujui square root ya 5 ni ngapi?Ni kisema chanzo cha ulimwengu na vilivyomo ni Mungu ndy aliye viumba wew kwanini unabisha ilihali hujui chanzo chake?
Naomba nijibu maswali yako kutokana na uelewa wanguHivi wewe naomba nikuulize, iv unajua kwanini upo hai/umeletwa duniani ili iweje! ukinijibu hilo naungana nawewe kwenye imani yako
Jehanam ni sehem ambayo walikuwa wakichomea maiti zamani.Mleta mada kuna kitu haelewi kwa nini Mungu anataka waovu mwisho wa siku awachome moto
Kaweka amri .zake zile lazima tutii.Sio kuwa tumtii yeye tu la zinaleta utengamano ndani ya dunia ili tusiumize wengine.Makosa mengi tunayotaka eti.Mungu atusamehe yanaumiza wengine na Mungu hataki mtu muumiza.wengine ndio maana mwisho wa siku ni motoni.
Mfano anasema usizini unazini na kumpa ukimwi mtu mwingine wewe ni wa kuchomwa moto kabisa muuaji mkubwa unaumiza wengine
Anasema usiibe unaibia wengine kwa kupitia njia mbalimbali ziwe ujambazi nk.na kuwaachia machungu makubwa wengine kwa wizi wako mwisho wa maisha Mungu.kaweka moto jitu.kama wewe ni motoni tu
Lingine unaambiwa usiseme uongo unadanganya watu na kuwatapeli na kuwaumiza pakubwa mwisho wa siku motoni
Unaambiwa usiue wewe unaua watu kwa njia mbali za.uchawi,nk unataka Mungu akakuweke wapi ukifa.Hana sehemu bora ya kuweka mtu kama huyo ni motoni tu
Moto umewekwa mahususi kwa wote wasiotaka kuishi kwa kutii amri za Mungu za kufanya Binadamu waishi kwa utengamano
Usipotubu dhambi na kuziacha na kuokoka moto jehanamu unakusubiri
Kifupi wewe umekenguaka kupita maelezo naona wazi kichaa tayari kimeshakuvamia sababu ya kujaa kufuru kwa Mungu keshaanza kukushughulikiaKwanza Mungu Muumba WA mbingu na nchi hajawahi kuonekana wala Sauti yake haijawahi kusikika popote pale. Huyo anayesema amri Fulani ni za Mungu Mkuu ni muongo. Sema amri za miungu kulingana na asili na tamaduni za Watu.
Thibitisha Mungu yupo kweli na sio hadithi za uongo tu hizoHofu ya moto isiwafanye kutoamini uwepo wake.
Chamsingi ni kufanya sawa sawa na mapenzi ya MUNGU.
Kuziamini hoja za mtoa mada basi ni sawa na kusema hakuna faida ya uwepo wa MUNGU au hayupo kabisa.
Yaani iweje MUNGU awepo halafu asiweke sheria zake? Haiwezekani.
Huwezi kumjua mungu bila kutii sheria zake,Imeandikwa, 1Yohana 2:4-6 "Yeye asemaye nimemjua wala hazishiki amri zake ni mwongo wala kweli haimo ndani yake. Lakini yeye aliyeshika neno lake katika huyo upendo wa Mungu umekamilika kweli kweli katika hiyo twajua tumo ndani yake. Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake imempasa kuenenda mwenyeewe vile vile kama yeye alivyoenenda."
kusudi la MUNGU kutuumba wanadamu ni tumpende na kuntumikia.
MUNGU alituumba ili tutetende mema ambayo ndiyo furaha yake na hakuna kinyume na hapo
Soma Efeso 2:10
Ingawaje umeuliza swali katika msingi potofu lakini Jibu lako utalipata ukijibu swali hiliHivi wewe naomba nikuulize, iv unajua kwanini upo hai/umeletwa duniani ili iweje! ukinijibu hilo naungana nawewe kwenye imani yako
Na hapa ina maana gani unaelewa?Jehanam ni sehem ambayo walikuwa wakichomea maiti zamani.
Iko nje kidogo ya mji wa Yerusalemu pale Israel ya sasa.
Inajulikana kama Gehenna.
Hao wanaotenda dhambi akiwaacha watawasumbua wanaompenda MunguHata kama sio moto bali ni hali tu iweje iwe ya mateso? Yaani kwanini atutese?
Yeye achukue watu wake wanaomwamini na wasiotenda dhambi, hao wengine aachane nao , iweje iwe lazima kufata anavyotaka yeye?
Hapo hapo katumwaga humu duniani tumejikuta tunatofautiana kiimani tunapigana vita wenyewe kwa wenyewe, ili iweje sasa?
Alishindwaje kufanya tuwe na imani moja anayoitaka yeye?
Anatuchanganya haeleweki
Sielewi.Na hapa ina maana gani unaelewa?
2 Petro 3:7
Lakini mbingu za sasa na nchi zimewekwa akiba kwa moto, kwa neno lilo hilo, zikilindwa hata siku ya hukumu, na ya kuangamia kwao wanadamu wasiomcha Mungu.
Duuuh ya rohoni hayoHata kama sio moto bali ni hali tu iweje iwe ya mateso? Yaani kwanini atutese?
Yeye achukue watu wake wanaomwamini na wasiotenda dhambi, hao wengine aachane nao , iweje iwe lazima kufata anavyotaka yeye?
Hapo hapo katumwaga humu duniani tumejikuta tunatofautiana kiimani tunapigana vita wenyewe kwa wenyewe, ili iweje sasa?
Alishindwaje kufanya tuwe na imani moja anayoitaka yeye?
Anatuchanganya haeleweki
Ametunga mteja wako huyu....Huo ndiyo ukweli. Huwezi fanya dhambi miaka 70 halafu ukachomwa moto milele. Yaani miaka elfu, laki, milioni, bilioni, trilioni wewe unaungua tu. Hii ni hadithi iliyotungwa na shetani.
Kifupi wewe umekenguaka kupita maelezo naona wazi kichaa tayari kimeshakuvamia sababu ya kujaa kufuru kwa Mungu keshaanza kukushughulikia
Mene mene tekeli na peresi
Kama Miungu inalazamisha wewe ulishawahi kulazimishwa kuwafuata????Kwani wapi nimesema kuwa Mungu Mkuu anashikia fimbo(analazimisha) Watu wamfuate?
Miungu inayoabudiwa kwenye Dini ndivyo inayotaka na kulazimisha Watu waifuate, na ndio inayowaambia Watu watangaze miungu Yao.
MUNGU Mkuu hawezi kutaka kutangazwa Kwa sababu vyote ni vyake,
Siwezi mthibitishia mtu asiye mwamin Mungu, we achana naye unafikiri unampunguzia niniUngebaki kanisani/misikitini wala hata usingeona tuna argue.
Naheshimu haki za watu kuamini watakacho.
Imani haina kanuni, unaweza kuamini hata jiwe tu.
Umeleta mjadala hapa JF kunasibisha imani yako mimi nakuomba uithibitishe madai yako.
Umeleta imani yako kwenye ulingo huru, mimi nkikuuliza kuhusu imani yako hapo nakuwa sijaingilia uhuru wako.
Unaelewa hilo?
Kwanini mnatueleza masuala ambayo hamuwezi kuyatetea humu kwenye mijadala iliyo wazi kwa watu wa mitazamo yote?
Mungu mkuu ndo yupiUnamaanisha mungu yupi?
Wawayahudi, Waarabu, wachina, wachaga, au wasukuma au wandendereko?
Mungu Mkuu alichokiumba hakiwezi kukengeuka ikiwa hakutaka kingengeuke,
Vile alivyoumba Muumbaji ndivyo alichotaka viwe.
Embe haliwezi kuwa Limau.
Mimi siwezi kuwa wewe kamwe.
Wewe endelea kuabudu miungu. Sio kosa Kwa sababu Mungu Mkuu ametaka iwe hivyo, wawepo watumwa wa miungu midogo
Mungu mkuu ndo yupi