Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Mwamposa ameshalipuliwa na Original East. Amezaa na mfanyakazi wa Wasafi na mama kichanga ndiye mnufaika wa fungu la kumi.
Shetani akishindwa kuingia sehemu humtumia mwanamke...usisahau ilo.
 
Wanao msikiliza Mange wote bogus!!
 
Hahahahaha !!!! Kuna watu bado hawajakomboka kifrika ndio maana wengi waliokombika kifrika wanasema wanaabudu mizimu
 
Mmh aisee hii familia basi inachanganya. Haya ww unasema mwele mchepuko wa baba. Mwingine katujibu kuwa alikuwa mchepuko wa kaka wa Mange.

Lakini haya ya kushare mama nayo yaliandikwa humu humu. Basi tuseme tuu undugu wao wanaujua wenyewe
 
Mmh aisee hii familia basi inachanganya. Haya ww unasema mwele mchepuko wa baba. Mwingine katujibu kuwa alikuwa mchepuko wa kaka wa Mange.

Lakini haya ya kushare mama nayo yaliandikwa humu humu. Basi tuseme tuu undugu wao wanaujua wenyewe
Itakuwa umesahau. Mwele ni mtoto wa kwanza wa kike wa Mzee Malecela,kaka yake mkubwa anaitwa Senyagwa (Ni marehemu)ana wadogo zake Dr Sece,Mwendwa,Ipyana (Marehemu)Dr Irene (marehemu)wote hao mama yao ni mmoja ambae ndo alikuwa mke wa ndoa wa kwanza wa mzee Malecela. Huyu mama yao nae ni marehemu.
 
Nabii wa uongo ni wa uongo tu, au na wewe ni mwenzao ndo maana unamtetea ujinga.
 
Tena hata sio mama wa kambo..huyo ni mama tu mange alijiweka kwake....hawana uhusiano wa karibu hata....yani haaaaataaaaaaaaa.........
Mange tu na hashuo zake mama.mama
Aliolewa na Kimambi.so Ni mama yake wa kambo.
 
Yaani nikikumbuka Gwajima eti mkono wa baunsa. Na wafuasi wake wakaamini. Huyu Mwamposa nae tapeli tu. Acha awalie book book zao.
Nchi hii ni ya kipekee ile video ya mtumishi watu wameikataa
 
Mi mwenyewe Nilijua bongeeee la issue kumbe kuijaza dunia,hamna issue hapo
 

Mwamposa ni nabii wa uongo Na mlaghai
 
Umemuona Hilo Joka?mbona watu mnaongeaga Kama mmekatwa vichwa?
 
Wewe lazima Ni mzee wa Upako..maana si kwa chuki hizi
 
Una uchungu Sana,huu muda uko hapa kunung'unika unaweza utumia kutapeli na wewe ukanunue nyumba ya 2B,mjini akili baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…