Kumbe unamfahamu?Kwa ujasiri kama Boniface victor nabii wa Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unamfahamu?Kwa ujasiri kama Boniface victor nabii wa Tanzania
Ukichukua hatua ya kumuamini na kuanza kuhubiri INJILI, lazima utashirikiana nao.Mkuu napokuandikia ujumbe huu,ujue wewe ulibarikiwa kupata bahati ya kushirikiana na wale watu wa haki ambao ni washirika wa walokole wanaomwakilisha mwana wa mmliki ambae wanajimu wanamwita""NYOTA YA MASHARIKI NA MSHINDI WA MLIKI ZA ANGA.!!!
Sema wachawi wanatesa kichizi unakuta option iliobaki ndo hiyo.Mkuu kwa utafiti wako Mimi najiunga na kua Mlokole kuanzia sasa
Niliwahi kumpigia nikaomba nae huyu jamaa KWA namba yake fulani!!Kumbe unamfahamu?
Upo sahii mkuuUmesoma andiko lote?amesema walokole wamo kwenye makanisa yote na hata nje ya makanisa ikiwemo mashambani,kazini,barabarani n.k,tena kwenye makanisa mengine yanoyojiita ya kilokole/pentecostal walokole hawamo kabisa kwa hiyo akasema ulokole ni mahusiano ya mtu na Mungu sio mahali anaposali.
Kweli kabisa na ukiona walokole wanavyolindwa huwezi acha kutamani kua kama wao.Sema wachawi wanatesa kichizi unakuta option iliobaki ndo hiyo.
Mapepo, wafu,majini,shetani na Ulimwengu wa Giza Kwa ujumla hawana nafasi ya pili kutubu na kumrudia Mungu,MI KINACHONISIKITISHA
Ni kama KILA kitu kilipangwa kabla hata misingi ya ulimwengu haijakuwepo!!
Yaani hata hao wa jehanam na hao wa peponi walipangiwa kuwa fate yao itakua hivyo!!
Unafikiri huyo shetani alipoumbwa na kuwa shetani ilikua by surprise!!?
Yaani chanzo kikuu cha vyote hivi ni muumba mwenyewe hakuna Bahati mbaya wakuu!!
Uwepo wa shetani,moto,pepo vyote ni mpango KAZI hata hao watakaoingia ni mpangokazi rasmi hakuna Bahati mbaya KWA lolote itategemea yeye muumba alikuandikia nini coz hakuna anaewez and kujifanya mtakatifu wala muovu isipokua KWA Mapenzi yake yeye aliemuumba yeye na pande ZOTE mbili yaani shetani na upande wa pili!!!
Ni hayo tu!!
Mungu wa walokole anawazingira na moto pande zote.Wakiwa wanalima au maofisini au sokoni au barabarani na ukisikia wanakiita kitabu cha kua ni kitakatifu(Biblia)...!!!Basi ujue ni kitakatifu kweli mkuu sababu wakikiombea kinakua kinatoa herufi za moto..!!!!Upo sahii kwa uamuzi huo mkuuMkuu kwa utafiti wako Mimi najiunga na kua Mlokole kuanzia sasa
Mkuu wale watu wa mwanga hawana mzaha wanapomlinda mlokole wao.Mimi ni mwana wa mfalme,
Kunifikia na kunidhuru ni Hadi uwazidi nguvu walinzi wangu, warefu wenye panga ziwakazo moto.
Makanisa ya Kilokole ndio yamefanya walokole wakawa wengi zaidi...Umesoma andiko lote?amesema walokole wamo kwenye makanisa yote na hata nje ya makanisa ikiwemo mashambani,kazini,barabarani n.k,tena kwenye makanisa mengine yanoyojiita ya kilokole/pentecostal walokole hawamo kabisa kwa hiyo akasema ulokole ni mahusiano ya mtu na Mungu sio mahali anaposali.
Hujaeleza tofauti kati ya watu warefu wenye kuakisi mwanga wenye mabawa na warefu wenye kuakisi mwanga wasio na mabawa.Mkuu wale watu wa mwanga hawana mzaha wanapomlinda mlokole wao.
Fuatilia utaona mkuu.Hujaeleza tofauti kati ya watu warefu wenye kuakisi mwanga wenye mabawa na warefu wenye kuakisi mwanga wasio na mabawa.
Maana kulingana na BIBLIA, watu walioigia Mbinguni ,tofauti Yao na Malaika ni kutokuwa na mabawa.
Hata YESU aliyefufuka, amewahi kuwatokea wengi, Hana mabawa.
WATAKATIFU wote waliowahi kuwa na miili ya WANADAMU before hawana mabawa.
Fafanua ulivyoona kuhusu Hilo.
Ikawaje na yukoje?Niliwahi kumpigia nikaomba nae huyu jamaa KWA namba yake fulani!!
Sasa kama Muumba alipanga hivi, kwanini alimtuma Yesu Kristo duniani?MI KINACHONISIKITISHA
Ni kama KILA kitu kilipangwa kabla hata misingi ya ulimwengu haijakuwepo!!
Yaani hata hao wa jehanam na hao wa peponi walipangiwa kuwa fate yao itakua hivyo!!
Unafikiri huyo shetani alipoumbwa na kuwa shetani ilikua by surprise!!?
Yaani chanzo kikuu cha vyote hivi ni muumba mwenyewe hakuna Bahati mbaya wakuu!!
Uwepo wa shetani,moto,pepo vyote ni mpango KAZI hata hao watakaoingia ni mpangokazi rasmi hakuna Bahati mbaya KWA lolote itategemea yeye muumba alikuandikia nini coz hakuna anaewez and kujifanya mtakatifu wala muovu isipokua KWA Mapenzi yake yeye aliemuumba yeye na pande ZOTE mbili yaani shetani na upande wa pili!!!
Ni hayo tu!!
Kwa sisi wakristo, walokole tunayemuamini Mungubwa walokole, hakuna kitu kama hiko kinachoitwa nyota. Achana na hawa manabii wa kisasa wanaowadanganya. Yesu hawajawahi fundisha kuhusu nyota na hakuna sehemu kwenye Biblia inaandika au mitume wanafundisha kuhusu nyota. Sisi watoto wa Mungu wa walokole, tunafanya na kutenda kile Mwana wa mmiliki au mtu yule wa haki amefanya.1.Ni njia gani rahisi ya kujua nyota yako?
2.wachawi wanaibaje nyoto ya mtu?
3.Na kama unahisi umeibiwa nyoto ufanyeje ili uweze kurudihsa kirahisi?
Ni sahihi kabisa mtumishi japo Hilo la nyota ni fundisho la uongo. Binafsi nikishaona mtumishi anaongelea kuhusu nyota huwa simsikilizi wala mfuatilia kwani namuona ni tapeli.Mlokole anaweza kubadilika katika maombi akawa kama Malaika na kwenda kumsaidia mtu au kumfungua aliyefungwa au kuibiwa nyota.
Wana wa ufalme, waliookoka, Tumepewa mamlaka na uwezo mkubwa mno, tatizo ni kutokutumia mamlaka yetu vizuri.