Hao watu warefu wanaolinda walokole hua wanawauliza banadamu maswali Kwa njia gani na ni wakati ganiHapana mkuu kua na amani kuuliza ni asili yetu binadamu!!!Hata wale watu warefu wanaowalinda walokole hupenda maswali na wao huuliza binadamu maswali pia!!
USIKITUMIE HICHO KITABU KAMA NJIA YA KUMJUA MUNGU WA WALOKOLE MAANA HAKIJITOSHELEZIAsante sana hiki cha ENOCH kinanitosha kiiman kwa sasa kwa sababu sina nguvu za kukinzana nazo maana nipo kwenye utafit wa kujua mema na mabaya, na ninaomba Mungu aniongoze niyajue, kuna kipindi nilichanganyikiwa sana nikawa naenda msikitini kuswal nikimtafuta Mungu kimya kimya aiseee wale watu wanaishi dunia yao pia, wananidu na kuamin vya kwao nilikuwa naona tofaut sana, ukidadis vitu bila roho wa Mungu unapotea mazima
Kwa njia ya maono au ndoto au wanaingia kwenye mawazo yao na kuanza mijadala vichwani.Hao watu warefu wanaolinda walokole hua wanawauliza banadamu maswali Kwa njia gani na ni wakati gani
Ukitubu kiroho yote yanasamehewa na mwana wa mmiliki na unaanza upya.SIFA YAKE KUU NI KUSAMEHE DHAMBIHivi MTU alifanya uwasherati na akaenda kuowa ,
Na mwanamke ,kachomoa mfano mimba mbili au kazaa Watoto wa wili
Hio ndoa,vipi ,inatambulika ,kiroho, na inabaraka,
Au yule mwanamke akaolewe na yule Alie lala nae mara ya kwanza,
Na Alie zaa Watoto na mwanaume mwengine ,akiolewa na mwengine ,kiroho ikoje inakubaliwa hio
USIAMINI KATIKA NYOTA MAANA NI KUFURU KWA MUNGU WA WALOKOLEHivi kwanini watu walio zaliwa Mwezi wa 3 , kinyota wanaitwa SAMAKI,
Nyota ya SAMAKI manake Nini ,
Na kwanini wao UFUNGUO wao ni kuamini,
Je hio nyota ya SAMAKI kimwili ni Mwezi wa 3 ,je kiroho hio Mwezi watatu hutokea Nini na Kwa Nini ni SAMAKI kundi Hilo tu moja
Hapana sijakitukuza kitabu, bali si vyema visomwe wenye uelewa mdogo na imani na ndio mana kilitolewa kwenye biblia za kale hakikurudishwa mpaka leo, situkuzi kitabu na mtukuza na kumuabudu YESU KRISTO pekeeMbona umekitukuza ,Sana hicho kitabu Agano la kale Cha Enoch
Umekitukuza Sana,
Punguza kumtukuza andiko,
Mungu HASEMI na Watu wake Kwa Andiko,anasema NAO Kwa Neno lake,
.
Yes hayo ni ya kweli kabisaUSIKITUMIE HICHO KITABU KAMA NJIA YA KUMJUA MUNGU WA WALOKOLEMAANA HAKIKITOSHELEZI
OMBA MUNGU AKUPE MAFUNUO YA KIROHO KWANZA
Nassupport na AndikoMungu wa walokole ana ushirika ns majini wala hawatambui na hawana uwezo wa kusogelea maskani yake.Yeye ana ushirika na wale watu warefu wenye mabawa na wanaoshika mapanga kuwalinda walokole,,wanaitwa wana wa utukufu na wote wana nembo za mwana wa mmiliki.
Majini hawana utukufu na hawana usharika na walokole na wanamuogopa yule mkuu wa walokole anaeitwa mwana wa mmiliki.
NB: MUNGU WA WALOKOLE ANASEMA NI KUFURU KULINGANISHA PUMZI YANGU ( AMBAZO NI KITABU CHAKE WANACHOTUMIA WALOKOLE) NA VITABU VYA MIUNGU YA MASHARIKI AMBAZO NI ROHO ZENYE LAANA..
ANASEMA JE MIMI SI MUNGU WA WATU WANGU???? NA KAMA YUPO MWINGINE AJE KIROHO KUNINYANGANYA UTUKUFU WANGU NA UTUKUFU WA MWANANGU NA UTUKUFU WA ROHO YANGU NA WASHIRIKA WANGU?????
ANAPOSEMA HIVYO MBINGU ZOOOTE ZINAKAA KIMYA NA UTUKUFU WAKE UNASHUKA MPAKA MIISHO YA ULIMWENGU.
Fallen Angel's wanaingia pia misikitini na kiarabu wanaitwa Jin......Asante sana hiki cha ENOCH kinanitosha kiiman kwa sasa kwa sababu sina nguvu za kukinzana nazo maana nipo kwenye utafit wa kujua mema na mabaya, na ninaomba Mungu aniongoze niyajue, kuna kipindi nilichanganyikiwa sana nikawa naenda msikitini kuswal nikimtafuta Mungu kimya kimya aiseee wale watu wanaishi dunia yao pia, wananidu na kuamin vya kwao nilikuwa naona tofaut sana, ukidadis vitu bila roho wa Mungu unapotea mazima
KILA HERUFI KIROHO INA MAMLAKA KUTOKA KWENYE PUMZI YA MUNGU NA KILA HERUFI INA TAFSIRI YAKE..NI HATARI MNO KULIFANYIA MIZAHA HILO JINA KIROHO...NA NI WALOKOLE TU WENYE ACSESS NALO NA NI FUNGUO YA KILA KITU KWENYE ULIMWENGU WA Kis
Isaya 22:22 inasema na ufunguo wa nyumba ya Daudi utakua begani mwake daima yeye atafunga Wala hapana atakayefungua yeye atafungua Wala hapana atakayefunga.......je ufunguo huu unaongelewa hapa ni Yesu mwenyew jina la Yesu au agano la damu ya YesuKILA HERUFI KIROHO INA MAMLAKA KUTOKA KWENYE PUMZI YA MUNGU NA KILA HERUFI INA TAFSIRI YAKE..NI HATARI MNO KULIFANYIA MIZAHA HILO JINA KIROHO...NA NI WALOKOLE TU WENYE ACSESS NALO NA NI FUNGUO YA KILA KITU KWENYE ULIMWENGU WA KIROHO
ANAYAJUA MAWAZO YAKO NA ANAWEZA KUKUJIBU...FUNGA MACHO AFU MUULIZE KWA IMANI ATAKUJIBU NA ANAWEZA LOLOTE LILEHivi huyu Mungu WA walokole tukimuomba ,atuumbie Universe zingine huko ,Milele Katika mbingu mpya ,
Si anaweza,
Hivi si anaweza kutuumbia Billions of Universe huko Milele na Kila Moja akatupa tuwe tunafanya projects zake ,huko Milele,
HUWENDA MUNGU ANA MIPANGO MINGI YA KUFANYA NA WATU WAKE WALOKOLE HUKO MBINGU MPYA NA NCHI MPYA MAISHA MAPYA YA MILELE ROHONI,
ATATAKA KUTUDHILISHIA UKUU WAKE LIVE KWA PROJECTS ZAKE KUBWA KULIKO NA ZA KUSHANGAZA ZA HUKO MILELE NAE
NDIO NI YESU MWENYEWE SABABU YESU NI ROHO WA MUNGUIsaya 22:22 inasema na ufunguo wa nyumba ya Daudi utakua begani mwake daima yeye atafunga Wala hapana atakayefungua yeye atafungua Wala hapana atakayefunga.......je ufunguo huu unaongelewa hapa ni Yesu mwenyew jina la Yesu au agano la damu ya Yesu
Upo sahiiHuu ndio mfano wa Milele ,Jamani tuwache Dhambi,
Miaka ya Milele mfano wake hauelezeki haupimiki ,tazama inavyoshsngaza,
1000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000........