Uyu hapa
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 394
- 476
Hivi MTU alifanya uwasherati na akaenda kuowa ,
Na mwanamke ,kachomoa mfano mimba mbili au kazaa Watoto wa wili
Hio ndoa,vipi ,inatambulika ,kiroho, na inabaraka,
Au yule mwanamke akaolewe na yule Alie lala nae mara ya kwanza,
Na Alie zaa Watoto na mwanaume mwengine ,akiolewa na mwengine ,kiroho ikoje inakubaliwa hio
Na mwanamke ,kachomoa mfano mimba mbili au kazaa Watoto wa wili
Hio ndoa,vipi ,inatambulika ,kiroho, na inabaraka,
Au yule mwanamke akaolewe na yule Alie lala nae mara ya kwanza,
Na Alie zaa Watoto na mwanaume mwengine ,akiolewa na mwengine ,kiroho ikoje inakubaliwa hio