Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Alibarikiwa kuwa na maseyidi kumi na mawili. Ndio baba wa makabila ya kiarabu. Pia alifanywa kuwa taifa kuu. Lakini baraka ya agano ilobebwa kwenye tumbo la Sara na sio Hajiri.
 

Attachments

  • 248750_full-quotes-about-hidden-wisdom-in-the-bible-the-magical-keys-of-solomon.jpg
    74.2 KB · Views: 22
Uko sahihi kiongozi wangu [emoji120]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ubarikiwe
Napokea Baraka hizo,Kwa Mikono yote, nakushukilu Sana , kwakunitakia Baraka ,

Ngoja nikufafsnulie,

Mtu akikubaliki Lile neno ni Roho ,hivyo amekubariki rohoni , maana mtu akitamka ubalikiwe hio baraka HAIONEKANIKI , maana ni ya Rohoni , Ila tu kwakuwa japo huioni unaipokea Kwa Imani ,kama Mimi nilivyoipokea Yako ,inakaa rohoni mwangu Mimi, na kuwa baraka ya kiimani maana nimepokea kiimani na ikaumbika rohoni Kwa Ile Imani , Ili Sasa inapokuja mwilini kuwa baraka kitendo, Ina mfanya mtu Huyo kuwa Baraka Kwa jamii, baraka Kwa wazazi ,ndugu ,jamaa na marafiki, Wanakuwa wanajikuta wanabarikiwa Kwa uwepo wako , maana uwepo wako ni WA mwili wako ni baraka kwao ,
 
Napokea Baraka hio ,Kwa jina lake kuu yesu kristo,

Mtu ,anapokubariki ,kama wewe ulivyo nibariki sio swala la kuchukuliwa masihara,


Maana ni moyo wa MTU umekubariki,
Na unaelewa moyo unapotowa hazina yake ya baraka,kwenda Kwa mwingine, yaani unapokerewa na moyo wangu,

Unasafirishwa kwenda Rohoni hio baraka na inakaa rohoni Kwa Ile Imani ya moyo wangu ,na huku mwilini inakuja kunipa kibari Cha kufanyika baraka wa watu wote.

Toka nijitambue ,hakuna baraka ninayoiacha kimasihara,

YAKOBO ALIIPANBANIA BARAKA MARA MBILI TENA KWA MBINDE, MPAKA MOJA WAKAGOMBANA NA KAKAE NA NYINGINE NGUMI HASWA MPAKA AKATEGUKA ,KISA BARAKA HIIHII , UNAYO NIBARIKIA KWA BURE KABISA,

ASANTE,

NA WEWE PIA UBARIKIWE
 
1.BARAKA ZA MUNGU ROHONI,
Kirohoni tumebalikiwa na Mungu Ili Kwa njia ya ROHO WAKE MTAKATIFU ACHUKUE KILE CHA ROHONI KUJA MWILINI.

2.BARAKA ZA WATU MWILINI,
Kimwili tunabarikiwa na watu ,Ili Kwa Kupitia NENO LA BARAKA,NENO ACHUKUE ILE BARAKA YA MWILINI KUIPEREKA ROHONI , NA NGUVU INAYOITEGEMEA NENO LILE LISAFIRI NI IMANI TU ,SASA INAENDA ROHONI,

SASA BARAKA ILE IKIENDA ROHONI KWA NENO INAKUTANA NA ROHO ANALIBADILISHA NENO ROHO KUWA MWILI NA KULITUMA MWILINI KWENYE ULIMWENGU WA MWILI,


NA KWA UPANDE WA MUNGU , TEARI TUMEBARIKIWA BARAKA ZOTE ,NI SWALA LA KUWA NA ROHO MTAKATIFU ,ILI AZITOWE BARAKA HIZO ZA MUNGU ROHONI KUJA MWILINI.
.
 
amina!
 
Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo
warumi 10:17

4 Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.
'1 Yohane 4:4'

12 Yeye aliye naye Mwana, anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima.
'1 Yohane 5:12'

12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
'Yohane 1:12'

Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, Maana sisi sote tu wazao wake.
Mdo 17:28

Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. Nayo nuru yang’aa gizani, wala giza halikuiweza.
1Yonaha 4:5

Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Wafilipi 4:13
 
UNAMUHITAJI YESU KRISTO ZAIDI YA CHOCHOTE

Unaposema "mimi ni Mkristo" maanake unasema MTU NDANI YA KRISTO
Hii inamaanisha kwamba YESU KRISTO yuko kwako ambavyo naweza kusema Wakristo wengi kwasasa ni tumelibeba tu hili jina lakini YESU KRISTO hayumo ndani yetu.

YESU AMESEMA YEYE NI NJIA
Yohana 14:6

[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Yaani YESU akiwa ndani yako basi iko njia kuu ndani yako ya kumuona MUNGU WETU WA MBINGUNI....na uzima wote unakuwa nao.....jiulize unamuona Mungu?
Unao uzima kweli?
Unatambulika ndani ya Yesu Kristo?
Kama majibu ni hapana basi hujamuweka Yesu Kristo ndani yako

Jina la Yesu lina nguvu maana hata kuzimu wanaliogopa sana. Shetani hana uwezo wowote juu ya jina la Yesu Kristo?

Hivi unajua kwamba Shetani alinyang'anywa funguo za kuzimu? Shetani hana uwezo wa kuwaweka watu kuzimu na kuwatunza huko ila mwanadamu ndo amesababisha shetani awe na uwezo wa kumiliki vile ambavyo sio vya kwake.

Ufunuo wa Yohana 1:17-18

[17]Nami nilipomwona, nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,
[18]na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.

KWANINI UNATESEKA SASA?
Yesu Kristo alituondoa utumwani maanake hatupo tena utumwani. Kama upo utumwani basi unahitaji msaada leo ili uwe huru.

Unapokuwa huru maanake unaye yule anayekuweka huru ambaye alitupa nafasi kubwa ya kuishi.
Tumepewa nafasi ya kuomba lolote lakini ni mpaka tuwe ndani yake na yeye awe ndani yetu(NENO LAKE)

Yohana 15:7

[7]Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.

BASI TUNAMUHITAJI YESU KRISTO KILA SAA ILI TUWEZE KUUSHINDA HUU ULIMWENGU.

YEYE ANATOSHA HAKIKA
NA ATAKUINUA HAKIKA

MUWEKE NDANI YAKO.....SHETANI HANA UWEZO WOWOTE JUU YA WALE WAAMINIO NA KUTEMBEA NDANI NJIA ZA MUNGU NA KUZITII SHERIA ZAKE.

SIMAMA WAKATI NI HUU UKAUTANGAZE UKRISTO ULIO HAI
 
IJUE SIRI HII ITAKUSAIDIA

Zaburi 34:16-22

[16]Uso wa BWANA ni juu ya watenda mabaya,
Aliondoe kumbukumbu lao duniani.
[17]Walilia, naye BWANA akasikia,
Akawaponya na taabu zao zote.
[18]BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo,
Na waliopondeka roho huwaokoa.
[19]Mateso ya mwenye haki ni mengi,
Lakini BWANA humponya nayo yote.
[20]Huihifadhi mifupa yake yote,
Haukuvunjika hata mmoja.
[21]Uovu utamwua asiye haki,
Nao wamchukiao mwenye haki watahukumiwa.
[22]BWANA huzikomboa nafsi za watumishi wake,
Wala hawatahukumiwa wote wamkimbiliao.

Ubaya wowote unaotenda kila saa unakuondolea haki ya kuitwa MWANA WA MUNGU maana Mungu hakai mahala palipo na ubaya.
Imeandikwa "UACHE MABAYA UKATENDE MEMA, UTAFUTE AMANI UKAIFUATIE.
Maanake ukayaache hayo mabaya ili uweze kusimama mbele za Mungu.

Jiulize uso wa Mungu upo kwako kama mtu wa aina gani?
Hapa ndo wengi umlilia Mungu na kupeleka haja zao wakihisi watajibiwa......lazima ukayaache mabaya na kuwa katika njia iliyo ya kweli ili ukategemezwe na Mungu

Mungu anawapenda wao walio wanyenyekevu....wale walionewa na wana haki ya kutazamwa kama wahitaji na wenye kutaka msaada kwa ajili ya haki yao.

Haijalishi yako magumu mangapi unayapitia....inakuhitaji ujue hili.....UNA HAKI MBELE ZA MUNGU?


TUNAYO NEEMA KUBWA KWA MUNGU na Mungu ameweka heshima kwa yule mwenye haki(asiye na dhambi)

"UOVU UTAMWUA ASIYE HAKI,
NAO WAMCHUKIAO MWENYE HAKI WATAHUKUMIWA"

Bwana hawezi kukutupa kama umesimama naye

Jitaidi sasa unautafuta uso wa Mungu kila wakati.....tengeneza palipoharibika ili uketishwe mahala pa watakatifu wa Mungu

MUNGU ATAKUHESHIMISHA HAKIKA

OMBA NA TENGENEZA SASA

OMBA KUWA WA HAKI KWA MUNGU

ONDOA KILA AMBACHO HAKIKUPI NAFASI YA KUSIMAMA MBELE ZA USO WA MUNGU

UNAO MUDA HUU USISUBIRIE KESHO KUTENGENEZA NA MUNGU
 
Safi Sana, nimesoma ushuhuda wa kitabu Nika Kumbuka kijana wangu pia alipata muujiza kama huo, maana alipoteza akiwa likizo na alipokua a arudi shule ndio kastuka hanacho, alilia Sana, tu kamwambia mlilie Mungu anajua kilipo, a kaenda shule alipokua a natoa madaftari anasema akakiona ktk ya madaftari akafurahi yaani katoka shule anashuhudia kakwepa fimbo kwa Muujiza huu... Asee kumwamini Mungu raha Sana... Kamanda Rudi tu kwa Mungu, haja kuacha Bali umemuacha na yeye anakutamani Sana uwe mwanawe Tena.. Njoo kwa Yesu!
 
Imani ni ngao....I remember Kuna siku nlilala nkaota nlikua nimesimamishwa kweny mti Kuna watu walikua wanawapiga watu mishale..ikafika zamu yangu nikawaambia Namuamini Mungu wangu hataniacha yule mtu akasema tumuone huyo Mungu wako sasa...basi akafyatua mshale mshale ukawa unakuja lkn cha ajabu kabla haijanifikia Ile mishale ikawa inapotea Yan anafyatua mshale unakuja Ile unakaribia tu kunipiga gafla mshale unapotea kusikojulikana......Imani ndo Kila kitu shetani akikutafuta Kwa njia tofaut akishindwa anaanza kuishambulia Imani yako
 
Kuna siku nlikua nimekaa ndani kwenye vile viti vya ofisin vya kuzunguka nlikua nimekaa nimeegemea Yan kama nabembea hivi gafla kiti kikanguka nilipigiza kichwa chini nlichanganyikiwa nlihis kuzimia nlipata maumiv makali sana uzuri nlikua nimesuka at least ilizuia mpasuko kichwa kilibonyea ......nlikua siwez kula mwili ulikua weak nkienda hospital daktar kanikagua kichwa kimebonyea nikapiga c ray inaonyesha hakuna mvunjiko wowote dokta akaniambia nikafanye scanning ya kichwa....hapo mwili ushaanza kudhoofu kadri siku zinavozd kwenda nkawa nkiona mwanga au sauti iwe ya tv au radio naumwa kichwa nahis kuzimia mitikisiko ya gari ,Bajaj,pikipiki nkawa naumwa kichwa......................ndani ya lisaa tu maisha yalibadilika nakumbuka Io siku nlikaa kitandani nliomba nlilia nikawa namuomba Mungu aniponye nliomba nlilia sana nkiwa katika kuomba gafla Yale maumivu yote yaliondoka nikawa mzima ...kesho yake nikaamka sisikii hata muwasho wa mbu mwilini nikawa mzimaaaaaaa
 
Kisa changu kingine....niliitwa written interview na miongoni mwa taasis kubwa za serikali hapa nchini ambayo watu huamini kua Ili uajiriwe hapo lazima uwe connection au mtoto wa kigogo.......kama mjuavyo written interview za utumishi inabidi usome haswa....Mimi sikusoma sababu Kuna mambo yalinibana nkawa nashindwa kusoma............siku nimepanda bus from dar to dodoma ndo siku nliyosoma ambapo kesho yake ndo interview ...safari nzima nkawa nasoma tu Kuna kitu kikawa kinaniambia soma hapa nasoma kazania kusoma hapa hapa usisome soma hiki soma hiki .....cha ajabu kesho yake kwenye paper asilimia 90 ya vitu vilivyotoka ndo vile nlivokua nasoma kwenye bus aiseee........nikafaulu written Kwa kishindo nikaenda oral nikafaulu pia now Niko kazini,.........wenzangu nliosoma nao hata watu wengine wanafkiri nimeingia Kwa connection wakati sikua nafahamiana na yoyote ni maombi tu...wengine wananifata wananiambia niwape connection naishiaga kucheka tu nawaambia Sali sana ndo hua jibu langu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…