Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

kumbuka kisa cha mnajimu na sauli,sauli alitaka kumpandisha samweli na kweli samweli alikuja ijapokuwa alishakufa na akamkemea na kumtabiria kifo chake so wanajimu wanauwezo wa kutambua yaliyo ya Mungu.
Lakini pia mamajusi(wanajimu)wa mashariki walitambua kuzaliwa kwa Yesu kupitia nyota.
13 Mfalme akamwambia Usiogope; waona nini? Yule mwanamke akamwambia Sauli, Naona mungu anatoka katika nchi.
1 Samweli 28:13

14 Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia.
1 Samweli 28:14

15 Ndipo Samweli akamwambia Sauli, Mbona umenitaabisha mimi, hata kunipandisha juu? Sauli akajibu, Mimi nimetaabika sana; kwa kuwa hao Wafilisti wananifanyia vita, naye Mungu ameniacha; hanijibu tena, wala kwa manabii, wala kwa ndoto; kwa hiyo nimekuita wewe, ili wewe unijulishe nifanyeje.
1 Samweli 28:15

16 Samweli akasema, Kwa nini kuniuliza mimi, akiwa Bwana amekuacha, naye amekuwa adui yako?
1 Samweli 28:16

17 Yeye Bwana amekutendea kama alivyosema kwa kinywa changu; Bwana amekurarulia ufalme mkononi mwako, na kumpa jirani yako, yaani, Daudi.
1 Samweli 28:17

18 Kwa sababu wewe hukuitii sauti ya Bwana, wala hukumtimilizia hasira yake kali juu ya Amaleki; kwa sababu hii Bwana amekutendea hili leo.
1 Samweli 28:18

19 Tena pamoja na wewe Bwana atawatia Israeli mikononi mwa Wafilisti; hata na kesho wewe na wanao mtakuwapo pamoja nami; tena Bwana atawatia jeshi la Israeli pia mikononi mwa Wafilisti.
1 Samweli 28:19
Wanajimu na wachawi ni fani mbili tofauti.
Wanajimu ni wasoma nyota na matukio ya hizo nyota katika ulimwengu wa kiroho bila nia ya kudhuru.
Ambapo wachawi ni walozi(fitini) kwa kujigeuza pepo na kuunganishwa katika ulimwengu wa roho nia yao ikiwa ni kudhuru.
Zamani wakati wa agano la damu za ndama na mbuzi, nafsi zilizofunikwa maovu kwa dhabihu hizi zilipokufa zilienda mahali pa daraja la juu kule kuzimu palipoitwa paradiso.
Shetani kwa huo wakati alikuwa na access ya kuzifikia hizi nafsi na uwezo wa kuzileta huku duniani kutumia wachawi kwa kazi mahsusi. Ndicho kitu mwanamke huyu mchawi wa Endori alichofanya kwa Samweli.
Lakini baada ya dhabihu ya damu ya Yesu kutolewa watakatifu waliokufa chini ya hii kafara walihamishwa kutoka pale mahali pa juu pa kuzimu na kupelekwa uweponi mwa Mungu(mbinguni?).
Hapo walipo kwa sasa shetani hana access napo hivyo mchawi hawezi tena kuiita nafsi ya mtakatifu duniani.
Ukiona mzimu wa aliyekufa katika kipindi cha agano jipya uliletwa duniani na kuwa na ijara kwa walio hai ni kudhihirisha nafsi ya huyo mtu ilipotea na yupo kuzimu ambako wachawi na waabudu mizimu wana access.
Hii ndiyo maana ya shetani kunyang'anywa funguo na Yesu aliposhuka kuzimu na kuzihubiria zile nafsi zilizopotea wakati wa kungoja.

Mathayo 27:50-53
[50]Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.
Jesus, when he had cried again with a loud voice, yielded up the ghost.
[51]Na tazama, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
And, behold, the veil of the temple was rent in twain from the top to the bottom; and the earth did quake, and the rocks rent;
[52]makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala;
And the graves were opened; and many bodies of the saints which slept arose,
[53]nao wakiisha kutoka makaburini mwao, baada ya kufufuka kwake, wakauingia mji mtakatifu, wakawatokea wengi.
And came out of the graves after his resurrection, and went into the holy city, and appeared unto many.
 
Wanajimu na wachawi ni fani mbili tofauti.
Wanajimu ni wasoma nyota na matukio ya hizo nyota katika ulimwengu wa kiroho bila nia ya kudhuru.
Ambapo wachawi ni walozi(fitini) kwa kujigeuza pepo na kuunganishwa katika ulimwengu wa roho nia yao ikiwa ni kudhuru.
Zamani wakati wa agano la damu za ndama na mbuzi, nafsi zilizofunikwa maovu kwa dhabihu hizi zilipokufa zilienda mahali pa daraja la juu kule kuzimu palipoitwa paradiso.
Shetani kwa huo wakati alikuwa na access ya kuzifikia hizi nafsi na uwezo wa kuzileta huku duniani kutumia wachawi kwa kazi mahsusi. Ndicho kitu mwanamke huyu mchawi wa Endori alichofanya kwa Samweli.
Lakini baada ya dhabihu ya damu ya Yesu kutolewa watakatifu waliokufa chini ya hii kafara walihamishwa kutoka pale mahali pa juu pa kuzimu na kupelekwa uweponi mwa Mungu(mbinguni?).
Hapo walipo kwa sasa shetani hana access napo hivyo mchawi hawezi tena kuiita nafsi ya mtakatifu duniani.
Ukiona mzimu wa aliyekufa katika kipindi cha agano jipya uliletwa duniani na kuwa na ijara kwa walio hai ni kudhihirisha nafsi ya huyo mtu ilipotea na yupo kuzimu ambako wachawi na waabudu mizimu wana access.
Hii ndiyo maana ya shetani kunyang'anywa funguo na Yesu aliposhuka kuzimu na kuzihubiria zile nafsi zilizopotea wakati wa kungoja.

Mathayo 27:50-53
[50]Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.
Jesus, when he had cried again with a loud voice, yielded up the ghost.
[51]Na tazama, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
And, behold, the veil of the temple was rent in twain from the top to the bottom; and the earth did quake, and the rocks rent;
[52]makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala;
And the graves were opened; and many bodies of the saints which slept arose,
[53]nao wakiisha kutoka makaburini mwao, baada ya kufufuka kwake, wakauingia mji mtakatifu, wakawatokea wengi.
And came out of the graves after his resurrection, and went into the holy city, and appeared unto many.
Nenda kasoma kisa chote usiwe mbishi biblia ipo tena imeandikwa kiswahili lakini umekalia ubishi,biblia inasema sauli alikwenda kwa mpunga pepo/mganga wa kienyeji/mchawi.Na nikatoa na kisa cha wa najimu/mama jusi wa mashariki.
 
1 Samweli 28:8-17 Basi Sauli akajigeuza, na kuvaa mavazi mengine, kisha akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye, wakamfikilia yule mwanamke usiku; akasema, Tafadhali unibashirie kwa utambuzi, ukanipandishie yeye nitakayemtaja kwako.
Yule mwanamke akamwambia, Angalia, unajua alivyofanya Sauli, jinsi alivyowakatilia mbali hao wenye pepo wa utambuzi na wachawi katika nchi; mbona basi wanitegea tanzi uhai wangu, ili kuniua?
Naye Sauli akamwapia kwa Bwana, akasema, Aishivyo Bwana, haitakupata adhabu yo yote kwa jambo hili.
Ndipo yule mwanamke aliposema, Je! Ni nani nitakayekupandishia? Naye akasema, Nipandishie Samweli.

Hata yule mwanamke alipomwona Samweli alilia kwa sauti kuu; na yule mwanamke akamwambia Sauli, akasema, Mbona umenidanganya? Kwa kuwa wewe ndiwe Sauli.

Mfalme akamwambia Usiogope; waona nini? Yule mwanamke akamwambia Sauli, Naona mungu anatoka katika nchi.

Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia.

Ndipo Samweli akamwambia Sauli, Mbona umenitaabisha mimi, hata kunipandisha juu? Sauli akajibu, Mimi nimetaabika sana; kwa kuwa hao Wafilisti wananifanyia vita, naye Mungu ameniacha; hanijibu tena, wala kwa manabii, wala kwa ndoto; kwa hiyo nimekuita wewe, ili wewe unijulishe nifanyeje.

Samweli akasema, Kwa nini kuniuliza mimi, akiwa Bwana amekuacha, naye amekuwa adui yako?
Yeye Bwana amekutendea kama alivyosema kwa kinywa changu; Bwana amekurarulia ufalme mkononi mwako, na kumpa jirani yako, yaani, Daudi.
Usimwamini mnajimu sababu ni mtu anaetumia washirika wa baharini kufanya kazi zake
 
Nenda kasoma kisa chote usiwe mbishi biblia ipo tena imeandikwa kiswahili lakini umekalia ubishi,biblia inasema sauli alikwenda kwa mpunga pepo/mganga wa kienyeji/mchawi.Na nikatoa na kisa cha wa najimu/mama jusi wa mashariki.
Usimwamini mnajimu sababu ni mtu anaetumia washirika wa baharini kufanya mambo yake.
 
INAENDELEA...........!!!!!
WALOKOLE : Watu wanawaita binadamu wenzao wa madhehebu ya kipentekoste kua walokole sababu wanasali kwa kukulia.Lakini katika ulimwengu wa kiroho walokole ni watu wa viduara vya miale ya moto vichwani mwao.Ni watu wabaya na waharibu mipango ya wanajimu,watu wa ngome za vimbunga vya moto na washirika wao ni watu warefu wa moto na kelele zao(Maombi) ni moto.Kuimba kwao ni moto na wanaripoti moja kwa moja kwa mkuu wao ambae ni moto mkuu nje ya mfumo wa sayari ya dunia.Lakini kwa muonekano wa kibinadamu ni wanyonge na kipato cha wastani au kusema ni watu wa maisha ya kawaida kwa asilimia kubwa sababu hawajishughulishi 100%na ubinadamu ,wapo kiroho zaidi.Wakiamka wanasali,wakitembea wanasali,wakilala wanasali,wakifanya kazi zao wanasali na ni watu wa ajabu sana kwenye ulimwengu wa kiroho.Kinachowatofautisha na binadamu wengine ni kwamba wao kimoyomoyo wanamshukuru Mungu wao hata kwenye shida.Basi wanapomshukuru Mungu wao hasa nyakati za shida bila kunungunika katika ulimwengu wa roho wanakua kama binadamu wenye ngozi za moto, wanazungukwa na wale watu warefu wenye panga za moto.
Lakini hatari zaidi ni pale wanapomlilia mungu wao aliye kule nje ya mfumo wa ulimwengu na sayarï (Vilio vyao ni kama radu za umeme zinapaa kumwendea mungu wao) .Wale watu warefu wanashuka kwa wingi na kuwazunguka na kuwalinda dhidi ya wabaya wao na wale watu warefu wa jamii ya baharinii.Kiroho walokole wanaitwa ""Wana wa mwangaza""sababu ya vile viduara vya moto vichwani mwao.
Mzee Matata akaniambia katika ulimwengu wa roho basi hao walokole hawashikiki.
WACHAWI :Binadamu hawa wanaoitwa wachawi kiroho wanaitwa""Wasumbufu""ni watu wanaopenda kusumbua wenzao kwa kila hali.Wanaroga na kuharibu nyota za watu,wanajihusisha na elimu ya giza na hawamtambui mkuu wa walokole sababu ameulaani uchawi.Kwa muonekano wa nje wachawi ni binadamu kama binadamu wengine na wana vipato vya ngazi zote,kuanzia umasikini mpaka utajiri.Kwenye ulimwengu wa kiroho ni washirika wa ile jamii ya watu warefu wanaotoka baharini.Na wakitembea basi wanatembea na wale watu warefu wa kutoka baharini.Kwenye ulimwengu wa kiroho hawana mwanga wa kuakisi jua,na hawana nguvu kama walokole sababu wamejaa damu za watu.Wao huua ili wapate nguvu na wana mengi mabaya kwa muonekano wa kibinadamu.Pia waoga sana wanapowaona walokole au wale watu warefu wa kuakisi mwanga wa jua.Wana mkuu wao na mungu wao tofauti kabisa na mungu wa walokole.Wao wana moto ila sio mkali kama moto wa walokole maana walokole wakianza kusali tu basi ule moto wao unazima.Na ndio maana hwapatani kabisa na walokole katika ulimwengu wa kiroho.Wana nguvu ila sio kama za walokole,sababu nguvu za wachawi sio za asili bali makafara lakini walokole nguvu zao ni za asili tena ya moto.Hapo kwa kidogo tu nimechambua jamii hizi mbili katika ulimwengu wa kiroho
NITAENDELEA........!!!!
Umesema kwamba walokole wanapoanza kumlilia Mungu wao ni kama Radi...hiyo ni kweli na imeandikwa katika kitabu cha

(Ufunuo 8:4-5)

"4. Na moshi wa ule uvumba ukapanda juu pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika.

5. Na huyo malaika akakitwaa kile chetezo, Akakijaza Moto wa madhabahu, akautupa juu ya nchi, kukawa na radi na sauti na umeme na tetemeko la nchi.
 
Nenda kasoma kisa chote usiwe mbishi biblia ipo tena imeandikwa kiswahili lakini umekalia ubishi,biblia inasema sauli alikwenda kwa mpunga pepo/mganga wa kienyeji/mchawi.Na nikatoa na kisa cha wa najimu/mama jusi wa mashariki.
Naamini hukunisoma ukanielewa.
Kwani kuna mahali nimebisha kuwa Sauli alienda kwa huyo mwanamke mpunga pepo(mchawi)?
Ukisoma p/se jitahidi na kuelewa pia.
 
1Timotheo 6:15-16 " .....yeye aliyehimidiwa Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana 16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, emekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, wala hakuna mwanadamu aliyemuona wala awezaye kumuona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina"
 
Na BADO unasema sheria zipitazo ulimwengu wa mwili lakini wewe hujatuambia ni nani? hizo
Sheria zipitazo ulimwengu wa mwili ni zipi ambazo wewe unazifahamu? Huu ni ujinga na si kosa langu huenda wazazi wanasikitika

Circular reasoning fallacy


Ulichoandika ni kuendelea kuonyesha ujinga wako. Hujathibitisha kama mungu muweza wa yote, mwenye ujuzi wote na upendo yupo.

Baba mwenye watoto wanne halafu mmoja atukane aende kuua watatu waliobaki huyo ni katili kama makatili wengine. Halafu anajisifu mungu mwenye haki!!!
Unathibitisha vipi mungu wako ndiyo aliyeumba ulimwengu wakati kuna stori za mungu walioumba ulimwengu zaidi ya30 kutoka afrika, zaidi ya 15 toka america kusini zaidi ya70 kutoka Asia na bado

Mungu mjuzi wa yote

Bado hujathibitisha mungu yupo zaidi ya stori ila kwakua ushaamua kuwa kondoo sitakulazimisha maana tukianza kuleteana stori za mungu walioumba dunia hapa hatutamaliza ambazo n stori zilizotumika kuishape jamii husika.
Ukipata uthibitisho wake tujuze.
Sheria zipitazo ulimwengu wa mwili -laws beyond the material world.

1+1 =2.

Logic.

These are abstracts, eternal truths. Sina Ari kuelezea zaidi. And watch out the way you be throwing those fallacies, make sure you know what you're talking about, usikuwe kituko.

Vitu vingine uhitaji hata kujua kusoma wala kuandika.

Kama kwanzia unaamka hadi unarudi kulala huthamini akili
iliyotumika kwenye vyote vya asili, huku inawezekana kabisa una appreciate na kusifia sana aina mpya za programu, vifaa na sanaa na kuona binadamu pekee ndo wenye akili kwenye huu ulimwengu, aisee kwani hata kuna cha ku discuss tena 😂

Niache kula mihogo yangu na kachumbari na pilipili kwenye kivuli nikipigwa upepo nishushie na juice ya embe + passion + nanasi + parachichi nikae kubishana na God hater. Hapana kwa kweli.

Waroma 1:19-20

Kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao kwa sababu Mungu mwenyewe ameyaweka wazi.

Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani uwezo wake wa milele na Uungu wake, umedhihirika wazi wazi kutokana na vitu alivyoviumba. Kwa hiyo watu hawana kisingizio


Screenshot_20230627-171944_2.jpg
 
Sheria zipitazo ulimwengu wa mwili -laws beyond the material world.

1+1 =2.

Logic.

These are abstracts, eternal truths. Sina Ari kuelezea zaidi. And watch out the way you be throwing those fallacies, make sure you know what you're talking about, usikuwe kituko.

Vitu vingine uhitaji hata kujua kusoma wala kuandika.

Kama kwanzia unaamka hadi unarudi kulala huthamini akili
iliyotumika kwenye vyote vya asili, huku inawezekana kabisa una appreciate na kusifia sana aina mpya za programu, vifaa na sanaa na kuona binadamu pekee ndo wenye akili kwenye huu ulimwengu, aisee kwani hata kuna cha ku discuss tena 😂

Niache kula mihogo yangu na kachumbari na pilipili kwenye kivuli nikipigwa upepo nishushie na juice ya embe + passion + nanasi + parachichi nikae kubishana na God hater. Hapana kwa kweli.

Warumi 1:30 NEN

wasingiziaji, wanaomchukia Mungu, wajeuri, wenye kiburi na majivuno, wenye hila.....

View attachment 2671800
Usiwaite ""God hater""" waite wadadisi.Wanatafuta majibu ya maswali yao,so waelekezee tu usiwakaripie..
 
Na huyu mkuu wa jamii za baharini kwanini anakiburi mpaka sasa,wakati Jehova na mwanaye Yesu kristo wameshamuandikia adhabu na hukumu kali na angalia anajua na kutambua pia yakwamba Jehova ambaye ni mkuu wa anga za juu sana ananguvu na anatisha sana kuliko yeye? Au ana kiburi cha ujinga, na upumbavu au ameamua kujitoa muhanga huyu mkuu wa jamii za baharini?
Mkuu hili swali lako tata???
 
Mlokole ni mtu aliyempokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake ..

Anaishi kwa kumtegemea YESU kwa Kila afanyalo...
And what about the other Christians who attend recognized Churches such as Roman Catholic and Lutherans?

To add;
  • Does the Mlokole read the very same Bible as Roman Catholic and Lutherans? if yes, than what makes them 'superior' in being able to see 'Angles, Blue Circles' etc etc
  • Why do the other preachers such as Mwamposa etc use:
- 'oil' as a supposed healing method?
- Create 'clinics' with different charges and why so, if they feel 'superior' or 'special'?
 
Na huyu mkuu wa jamii za baharini kwanini anakiburi mpaka sasa,wakati Jehova na mwanaye Yesu kristo wameshamuandikia adhabu na hukumu kali na angalia anajua na kutambua pia yakwamba Jehova ambaye ni mkuu wa anga za juu sana ananguvu na anatisha sana kuliko yeye? Au ana kiburi cha ujinga, na upumbavu au ameamua kujitoa muhanga huyu mkuu wa jamii za baharini?
Shetani siyo mjinga na hata Bwana Yesu mwenyewe hakuwahi kumdharau na kumwita mjinga hata siku moja...

Yesu mwenyewe alimwita ''mkuu wa ulimwengu huu''
sasa kama Yesu alimwita mkuu wa ulimwengu huu wewe na mimi ni nani hata tumwite mjinga?

Na anachokifanya shetani kwa sasa ni kujaribu kudanganya watu wengi zaidi ili atakapokuja kutupwa kwenye ziwa la moto na kiberiti awe na 'kampani' kubwa ya wanadamu walioumbwa kwa sura na mfano wa Mungu asiende huko peke yake...

Ni kama mtu aliyeathirika na VVU na kwa hasira na kutokujua cha kufanya anaamua kulala na kila anayekuja mbele yake ili waukwae wengi zaidi..akifikiri kwa kufanya hivyo ndiyo atafarijika...

Ila Kitu kikubwa tunachopaswa kujua ni kwamba Mungu tunayemuabudu katika Kristo Yesu ndiye mkuu sana, Mwenye Nguvu sana...Anaishi juu Sana kuliko Kiumbe au kitu chochote...

Waefeso 1:20-23.
 
Na huyu mkuu wa jamii za baharini kwanini anakiburi mpaka sasa,wakati Jehova na mwanaye Yesu kristo wameshamuandikia adhabu na hukumu kali na angalia anajua na kutambua pia yakwamba Jehova ambaye ni mkuu wa anga za juu sana ananguvu na anatisha sana kuliko yeye? Au ana kiburi cha ujinga, na upumbavu au ameamua kujitoa muhanga huyu mkuu wa jamii za baharini?
Warumi 9:21-23
[21]Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?
Hath not the potter power over the clay, of the same lump to make one vessel unto honour, and another unto dishonour?
[22]Ni nini basi, ikiwa Mungu kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake, na kuudhihirisha uweza wake, kwa uvumilivu mwingi, alichukuliana na vile vyombo vya ghadhabu vilivyofanywa tayari kwa uharibifu;
What if God, willing to shew his wrath, and to make his power known, endured with much longsuffering the vessels of wrath fitted to destruction:
[23]tena, ili audhihirishe wingi wa utukufu wake katika vile vyombo vya rehema, alivyovitengeneza tangu zamani vipate utukufu;
And that he might make known the riches of his glory on the vessels of mercy, which he had afore prepared unto glory,

Laiti kama watu tungetambua kuwa hakuna chochote kinachoe delea katika uumbaji kisichokuwa chini ya milki ya muumbaji yaani Mungu na kwa kusudi lilo hilo kilicho.
 
Hutapata jibu ikiwa tayari una Islamic perception ya Mungu.
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanaye wa pekee ili kila amwaminie asipotee bali awe na uzima wa Milele.
Bikira Maria alijua Yesu ni mwana wa Mungu kwa sababu alitokewa na Malaika akaambiwa kuwa atamzaa mwana.Soma Luka 1:26 - 45
Hatokuelewa katu
 
And what about the other Christians who attend recognized Churches such as Roman Catholic and Lutherans?

To add;
  • Does the Mlokole read the very same Bible as Roman Catholic and Lutherans? if yes, than what makes them 'superior' in being able to see 'Angles, Blue Circles' etc etc
  • Why do the other preachers such as Mwamposa etc use:
- 'oil' as a supposed healing method?
- Create 'clinics' with different charges and why so, if they feel 'superior' or 'special'?
Hao walokole hawana utambulisho wa makanisa.Wana utambulisho wa kiimani tokea kanisa lolote.Na sio kila mkristo ni mlokole.I hope you understand swahili.
 
Back
Top Bottom