Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

WALOKOLE WAKIWA WANAOMBA UTASEMA WANA MATATIZO YA AKILI KUMBE UNGEJUA MOTO WA MLOKOLE MMOJA TU HATA YAKIJA MAJINI MIA YANAKIMBIA KWA MLOKOLE MMOJA TU.
Huku ni kujifariji tu Mkuu!!

Na hayo yote ni MAHANGAIKO tu ambayo Mungu alimuumbia banadamu ILI ahaingike na pande mbili ambazo zote zimeumbwa na HUYO Mungu wetu!!

Tatizo mnaandika kana KWAMBA huko chini ya bahari alipaumba shetani kumbe ni Mungu mwenyewe na akijua kuna viumbe fulani baadae watakuja KUISHI tena viumbe vyake!!

Mungu alitengeneza kinyago kiitwacho shetani ILI Binadamu awe awe muhanga wa mashindano YAO!!!

Kulikua kuna haja GANI kuumba kiumbe ambacho Mwisho wa SIKU kitaasi HALAFU ukichome milele!!?

Halafu hicho kiumbe kitafute watu wa kuchomwa nacho I'll kumkomoa aliekiumba!!?

HEBU NYIE HUMU JUKWAANI ACHENI KUJIDANGANYA NA IMANI ZENU HIZI ZA AJABU AJABU!KILA KITU NI PLAN NA WANADAMU NDIO MUHANGA!!
 
NILIKUWA NIMELALA SIKU MOJA NIKAOTA NIMEFUNGWA KAMBA MIKONO YANGU YOTE MIWILI

NILISEMA NAKATA KAMBA HIZI KWA JINA LA YESU MIKONO YANGU ILIACHIA NA NIKASHITUKA USINGIZINI

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Amen,

Tuliookoka, tuna mamlaka makubwa lakini tunayatumia Kwa kiwango Cha chini.

Mwili ni kikwazo namba moja Cha mlokole kutumia mamlaka yake kikamilifu sababu, mwili na Roho muda wote Huwa vinadhindana ndani ya mtu.

Lakini tukijazwa Roho mtakatifu muda wote, tunashinda mashambulio ya MWILI.
 
Unaweza kuwa right na wrong at the same time.

Nakushauri tafuta sana kujua mapenzi ya MUNGU juu ya maisha Yako, Ili ujue wewe ni asili ya CHINI au ni Raia wa Juu Mbinguni tangu Kuzaliwa!!!

Maana kama asili Yako ni CHINI, kama wale watoto wanaozaliwa wakiwa wachawi tangu tumboni.

Wale ambao miili Yao imetengezwa kiwanda Cha kuzimu na kuleta duniani kufanya KAZI maalum,

Wale mapepo katika form ya WANADAMU, kamwe hawaokoki!;!!

Wale wanaorushwa na wazazi wao juu na kuganda hewani wakiwa vichanga,

Watoto wale ambao asili Yao ni shetani, watoto wa "Dawa" wanaopatikana Kwa mganga, kamwe Mbinguni hawaingii, maana ni WA Baharini.

Lakini kama asili Yako ni JUU, ni uamuzi wako kwenda kuzimu na Jehanum.

Amen.
Kumbe kuna watoto wa kiganga na kichawi ambao Mungu aliruhusu waumbwe ili waje wachomwe moto sio!!?

Kumbe kuna asili mbili ya juu na chini,SASA kama ni hivyo mahangaiko ya nini!?

Si tusubiri tu hatma yetu ilishaandikwa!!?

Kumbe kama WEWE ni wa chini HATA uhangaike KWA walokole ni KAZI bure KWA kuwa ushaandikiwa hayo!!?

Mi nadhani kama mambo ndio hivyo bas Binadamu hana anachoweza fanya kubadili hatma yake kwakua ilishaandikwa na yeye hakushiriki kuandikwa KWA hatma hiyo!!

Jioni huyu Binadamu ni mwenye KUSUBIRI kudra tu za hicho alichoandikiwa!!?

Inaumiza sana ukiifikiria hii bila mlengo wa kimaandiko YAANI kutumia akili tu!!
 
Waganga na wanajimu huwa wanajisalimisha mkuu ila mapepo yalipewa nafasi yakagoma.

Kwenye mikutano, tunawaomba sana sala za toba waganga na wachawi waliochoshwa na Ibilisi na wakaamua kumfuata Mwana wa mmiliki mtu yule wa Haki. Changamoto kubwa kwao ni kupata nafasi/upenyo wa kujitambua huo muda wakugeuka ila wote wanajua kuwa yupo Mwana wa mmiliki mwenye nguvu na mamlaka zaidi yao.
Kingine kinachowakwamisha wachawi ni kudhani kuwa walokole ni wachawi zaidi Yao.

Mchawi mmoja alipojaribu kumroga mlokole Kwa Kila njia na kushindwa,

Alimfuatanmlokole live na kumwombea amsaidie uchawi alionao Ili naye aongeze viwango.

Alijibiwa kuwa nguvu za mlokole hazina mahusiano na uchawi.

Katika maandiko pia, tunamsoma mchawi na mganga mmoja alimfuata Paulo Ili anunue nguvu za kuponya na kufanya miujiza ajiamini zinatokana na uchawi.!!;
 
Kumbe kuna watoto wa kiganga na kichawi ambao Mungu aliruhusu waumbwe ili waje wachomwe moto sio!!?

Kumbe kuna asili mbili ya juu na chini,SASA kama ni hivyo mahangaiko ya nini!?

Si tusubiri tu hatma yetu ilishaandikwa!!?

Kumbe kama WEWE ni wa chini HATA uhangaike KWA walokole ni KAZI bure KWA kuwa ushaandikiwa hayo!!?

Mi nadhani kama mambo ndio hivyo bas Binadamu hana anachoweza fanya kubadili hatma yake kwakua ilishaandikwa na yeye hakushiriki kuandikwa KWA hatma hiyo!!

Jioni huyu Binadamu ni mwenye KUSUBIRI kudra tu za hicho alichoandikiwa!!?

Inaumiza sana ukiifikiria hii bila mlengo wa kimaandiko YAANI kutumia akili tu!!
BIBLIA inasema, Walio wake wanaisikia sauti yake na kumfuata Mchungaji wa Kondoo.

Pia imeandikwa, Wana wa Mungu hawalazimishwi kumfuata Mchungaji, ni hiari Yao.

Usidanganye watu, Kila mtu ana maamuzi na maisha yake.

Baada ya kifo ni HUKUMU, hakuna pulgatory Wala nini.
 
Hakuna kitu kama hiko bro. We unajipa moyo kutenda dhambi mkuu ukisema alishakuhukumu na alijua wewe ni wa jehanamu. Hivi kitoto kinakozaliwa kinajua nini? Eti Mungu alimuumba shetani ili awe mpinzani wake. Kwanza shetani hana upinzani wala uadui na Mungu. Jamaa wanapiga stori tu na ndio maana katika "Ayub anamuuliza umetoka wapi" katika kitabu cha "wafalme Mungu anaruhusu Ibilisi kwenda Kumdanganya mfalme wa Yuda"

Ebu jiulize bro, Mungu amekuumba ili akuangamize kweli? Kwa ajili ya nini hasa? Mbona atakuwa muonevu sana? Je alikuuliza wakati anakuumba? Kwanini asingekuacha huko ulipo akulete duniani. Huyo Mungu wako atakuwa ni mwehu, Katili, wa hovyo na asiyefaa kwa kweli. Yaani ana jeshi la malaika trilion na matrilion wanaomuabudu na kumtumikia leo akuumbe na kukuweka jamaa yangu hapa Tanzania kisha akuangamize? Hapana kwa hilo bro, unatudanganya.
We ndio hujanielewa kabisa!!

Mtenda mema YEYOTE HATA kama akitenda mema kiasi GANI siku akitenda baya MOJA na kukumbwa na umauti bila kutubu si tayari kaenda jehanam!!?

SASA unafikiri huyo atakua kaenda by chance!!?au hatma yake tayari ilishaamuliwa!!?


Halafu mbona unashangaa Mungu kuchomwa watu, unafikiri huo Moto aliuuumba ILI achome nini!!?taka taka!!?mtu hawezi washa moto bila MALENGO!aliumba Moto ILI achome aliowakusudia kuwachoma na si KWA Bahati mbaya Mkuu!!

Kwani we ulipo hapo umeshakua hatma yako ipi mwishoni!!?hakuna aijiaye hatma yake bali yule aliemuumba tu ndio ajuaye!!!

Kama mnawaza juu ya mema PEKEE msiwaze mabaya wakati aliemuumba wema ndio alieumba ubaya uitwao shetani!!

TUSIDANGANYANE HUMU KWA SPIRITUALMANIA PHOBIA!TUWE WAKWELI!!

BORA WALE WASEMAO MENGINE TUTAJUA TUKIFIKA HUKO KWAKE!ANGALAU HUWA NAWAELEWA HAO!!
 
Bt utafiti huu ndugu Nelson unahitaji kitabu.
Ndugu mimi kumtafiti huyu Alfa na Omega ni suala endelevu,hapa ninashea tu na watu.Sikujua humu JF nikimzungumzia huyu Alfa na Omega nitapata watu wa kujadiliana nao...Lakini nikwambie kitu kimoja,yeye anawaona wote mnaomzungumzia na ni mkuu mwenye wivu.Hapo namaanisha ana wivu mkuu kwa wanamzungumzia yeye...WIVU WA ALFA NA OMEGA SIO WA KIBINADAMU.WIVU WAKE NI WA KIROHO SABABU ANAWATAKA WALOKOLE WAMTANGULIZE KATIKA KILA KITU MPAKA VILE VITU VIDOGO KABISA.KAMA YEYE ANAVYOWATANGULIZA KWENYE KILA KITU CHAKE..NA WALOKOLE WANAFANIKIWA SABABU WANAMTANGULIZA KWENYE KILA KITU CHAO
 
Kumbe kuna watoto wa kiganga na kichawi ambao Mungu aliruhusu waumbwe ili waje wachomwe moto sio!!?

Kumbe kuna asili mbili ya juu na chini,SASA kama ni hivyo mahangaiko ya nini!?

Si tusubiri tu hatma yetu ilishaandikwa!!?

Kumbe kama WEWE ni wa chini HATA uhangaike KWA walokole ni KAZI bure KWA kuwa ushaandikiwa hayo!!?

Mi nadhani kama mambo ndio hivyo bas Binadamu hana anachoweza fanya kubadili hatma yake kwakua ilishaandikwa na yeye hakushiriki kuandikwa KWA hatma hiyo!!

Jioni huyu Binadamu ni mwenye KUSUBIRI kudra tu za hicho alichoandikiwa!!?

Inaumiza sana ukiifikiria hii bila mlengo wa kimaandiko YAANI kutumia akili tu!!
Wewe unapotosha kwa makusudi na tumeshaijua nia yako. Hayo uyasemayo unayatunga na hata ukifikiria kwa nadharia za kibinadamu tu hayana ukweli wala uhalisia wowote na hayana uthibitisho wowote pia cha dhambi na acha kujitafutia visingizio visivyo vya msingi bro. Eti Mungu akuumbe, akuwekee pumzi yake. Kibinadamu kujituma kanachoishi sana miaka 70 nakiwa na nguvu 80 kisha amuangamize milele. Haingii akilini.
 
We ndio hujanielewa kabisa!!

Mtenda mema YEYOTE HATA kama akitenda mema kiasi GANI siku akitenda baya MOJA na kukumbwa na umauti bila kutubu si tayari kaenda jehanam!!?

SASA unafikiri huyo atakua kaenda by chance!!?au hatma yake tayari ilishaamuliwa!!?


Halafu mbona unashangaa Mungu kuchomwa watu, unafikiri huo Moto aliuuumba ILI achome nini!!?taka taka!!?mtu hawezi washa moto bila MALENGO!aliumba Moto ILI achome aliowakusudia kuwachoma na si KWA Bahati mbaya Mkuu!!

Kwani we ulipo hapo umeshakua hatma yako ipi mwishoni!!?hakuna aijiaye hatma yake bali yule aliemuumba tu ndio ajuaye!!!

Kama mnawaza juu ya mema PEKEE msiwaze mabaya wakati aliemuumba wema ndio alieumba ubaya uitwao shetani!!

TUSIDANGANYANE HUMU KWA SPIRITUALMANIA PHOBIA!TUWE WAKWELI!!

BORA WALE WASEMAO MENGINE TUTAJUA TUKIFIKA HUKO KWAKE!ANGALAU HUWA NAWAELEWA HAO!!
Moto aliumbiwa shetani na Malaika wake walipoasi ambao hawana nafasi ya kutubu,

Ikiwa kama nawe ni mmoja wa mapepo katika form ya WANADAMU, usidhani kuwa wote hawana nafasi ya kutubu.

Yohana 3:16 inasema,

Kwa maana jinsi hii, Mungu alitupenda Ulimwengu, hata akamtoa mwanawe wa pekee, Ili Kila amwaniniye asipotee Bali awe na Uzima wa MILELE .

Mungu hapendi hata mtu mmoja aingie kuzimu, Bali shetani Kwa vivu wake Kwa WANADAMU huhangaika atafute wa kuenda nao Jehanum.
 
BIBLIA inasema, Walio wake wanaisikia sauti yake na kumfuata Mchungaji wa Kondoo.

Pia imeandikwa, Wana wa Mungu hawalazimishwi kumfuata Mchungaji, ni hiari Yao.

Usidanganye watu, Kila mtu ana maamuzi na maisha yake.

Baada ya kifo ni HUKUMU, hakuna pulgatory Wala nini.
UNAWEZA chaguo huko ulipo lakini hatma yako ikawa sawa na wale wa baharini!SASA sijui utasemaje kwamba umeonewa au!!?


Hatma yako ilishaandikwa HATA kabla hujaumbwa kama umeandikiwa huko unakodhani hata ukianguka bado hatma itakusukuma kule unakostahili!!

Hakuna mwanadamu anaeweza kuchagua upande na kuishi kama Mungu hakumpa uwezo wa kustahimili ili hatma yake itimie!!

Kuna kitu mnakwepa kukielewa lakini naamini mmeelewa vizuri!!

Habari ya esau na yakobo!!!?kasomeni mjue nisemacho kuna upendeleo wa hatma juu ya MAISHA ya mtu KWA vyovyote vile iwe KWA KWA ubaya au wema!!!

HABARI ya yuda iskariote je!?alichagua kumsaliti yeah au hatma ilimlazisha KWA kia ilishaandikwa!!?

Hebu tumieni akili kwanza kuliko imani zilizozidi kuliko kipimo!!!
 
Wewe unapotosha kwa makusudi na tumeshaijua nia yako. Hayo uyasemayo unayatunga na hata ukifikiria kwa nadharia za kibinadamu tu hayana ukweli wala uhalisia wowote na hayana uthibitisho wowote pia cha dhambi na acha kujitafutia visingizio visivyo vya msingi bro. Eti Mungu akuumbe, akuwekee pumzi yake. Kibinadamu kujituma kanachoishi sana miaka 70 nakiwa na nguvu 80 kisha amuangamize milele. Haingii akilini.
Hata ukiwa hivyo uaminivyo siyo SAWA bado!!

Mtu ameishi KWA dhambi miaka 85 au 90 afe halafu akachomwe milele YAANI hakuna mwisho bila kupewa nafasi tena!jioni huo ni ukatili sana usio na kipimo!!?

Umeishi miaka 70-80 halafu kuchomwa milele halafu Mungu awe mwenye haki na wanadamu tumuone hivyo!!?

Kuna kitu HUWA tunaogopa kusema KWA sababu ya hofu kwamba kama mambo ndio hayo basi Mungu ndio mkatili zaidi kwa sababu yeye ndio muumba wa vyote yaani wema na ubaya na moto haya shetani ni project yake Mkuu!!!

Yaani mkatili mkuu ni yeye mwenyewe muumba shetani anasingiziwa kwani yeye ni kiumbe kama WEWE na Mimi na aliumbwa na udhaifu wake ambao aliuonyesha kia anao nao ni kupenda madaraka!!!

Kwanini tusiwe wakweli!!?kuwa Mungu anaeandikwa na vitabu vya dini ndio katili ZAIDI LABDA kama yupo MWINGINE LAKINI huyu wa kuchoma watu milele wakati wameishi miaka haya mia haifiki mbona anatisha!!!?

Acheni yoga semeni kweli muwe huru!!!

Maoni huru haya kabisa na uelewa huru kabisa sio wa kushikiwa!!
 
Napata shaka kama ulimuona huyo MUNGU wa walokole...

Mbona umetumia Mnajimu? Maana Mnajimu huyo ni Mkuu wa giza...

Kumuona Mungu sio kwa kutumia mtu na nguvu za kibinadamu.

Bali ni kwa kumpokea Bwana kuwa mwokozi wa maisha yako, kuomba, kufunga, kusali...

Na hii ndio maana wapo ambao wanaenda kanisani kila siku ila hawaoni mambo ya Rohoni...

Wanajiita wakristo lakini YESU hawajui...
Soma maandiko yako vizuri .. utakutan
A na yule mganga aliyempigia manyanga mfalme Sauli akaiinua roho/ nafsi ya Nabii wa Mungu (Samuel ) aliyekua amekufa kisha wakazungumza...Sayansi ya ulimwengu wa roho ni nzito na pana sanaa huwez kuielewa kirahisi
 
Walokole waanatumia biblia moja...ila katika mapokeo yao ya neno yamewekwa ndani ya mioyo yao na wanayaishi

Labda nikupe mfano hapo kwa Lutheran...

Mimi ni mlutheran hadi kipaimara nimesoma ila sasa nimeokoka ni mlokole...ishu sio dhehebu...

Siwezi kuzungumzia suala la hao Manabii na mafuta wanayotumia maana ni wapakwa mafuta ya Bwana...

Ila ninaouwezo wa kupima Roho zao nikajua huyu ni wa Bwana na huyu sio...
Nipimie Mwamposa; uniambie ni wa bwana au sio.
 
Nipimie Mwamposa; uniambie ni wa bwana au sio.
Haya ni maji ya upako yameombewa, kuyapata unanunua chupa ndogo 5000 ya kati 10000 dumu 20,000.

Pima mwenyewe kupitia maandiko ikiwa baraka za Mungu zinanunuliwa Kwa pesa.

Ingekuwa zinanunuliwa Kwa pesa, wezi, wazinzi na wachawi wangehonga Malaika kwenye GETI la Mbingu Ili waingie!!!
 
Haya ni maji ya upako yameombewa, kuyapata unanunua chupa ndogo 5000 ya kati 10000 dumu 20,000.

Pima mwenyewe kupitia maandiko ikiwa baraka za Mungu zinanunuliwa Kwa pesa.

Ingekuwa zinanunuliwa Kwa pesa, wezi, wazinzi na wachawi wangehonga Malaika kwenye GETI la Mbingu Ili waingie!!!
Ila Mwamposa huwa anaombea maji bure kupitia TV, hii nayo imekaaje?
 
Back
Top Bottom