Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Usihangaike kusoma hivyo vitabu, Biblia ndo kitabu kikuu cha kuisoma.

Zaburi ndo kitabu kikuu ndani ya Biblia ya sifa.
Huwezi amini ila kitabu cha walokole ni pumzi za roho ya Mungu wa walokole na zinatoka mdomoni kwake..Na hicho kitabu kina roho za uhai na miale ya moto kwa mfano wa njiwa.
 
Umewaona walokole wa Kale?
Hapana sikuwaona kwa macho ila udadisi na utafiti wangu ulifikia mahali nikawajua kiroho na ngazi zao na hata wanajimu na waganga wanawajua tu hawa walokole wanaoonekana kama wana wa miungu angani.Wapo kwa Mungu wa walokole na ndio wanaitwa wazee wa baraza la Mungu wa walokole wapo kuwafariji walokole kiroho...Kazi yao kubwa ni kuwaombea walokole wa sasa na kusujudu na kuabudu na kumsifu Mmiliki mkuu ambae ni Mungu wa enzi na mmliki wa ulimwengu na wanadamu.Walokole wanamuita BABA!!!
 
Back
Top Bottom