Kweli ila huyu anapingana navyo bro. Ana Uzi wake humu.Walokole hawana dhehebu ila utambulisho wa kiroho kupitia mwana wa mmiliki..Lakini binadamu ndio wana madhehebu na dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ila huyu anapingana navyo bro. Ana Uzi wake humu.Walokole hawana dhehebu ila utambulisho wa kiroho kupitia mwana wa mmiliki..Lakini binadamu ndio wana madhehebu na dini
Huwezi amini ila kitabu cha walokole ni pumzi za roho ya Mungu wa walokole na zinatoka mdomoni kwake..Na hicho kitabu kina roho za uhai na miale ya moto kwa mfano wa njiwa.Usihangaike kusoma hivyo vitabu, Biblia ndo kitabu kikuu cha kuisoma.
Zaburi ndo kitabu kikuu ndani ya Biblia ya sifa.
Kabisa . Uko sahihi.Huwezi amini ila kitabu cha walokole ni pumzi za roho ya Mungu wa walokole na zinatoka mdomoni kwake..Na hicho kitabu kina roho za uhai na miale ya moto kwa mfano wa njiwa.
Natamani siku moja nikakae nae kama walokole wa kale...Wamejaa tele huko..Mkuu Mungu akusaidie kuieneza injili yake Kwa watu wengii
Oooh oky ila malumbano sio nembo ya walokole ninavyowafahamu mimi.Kabisa . Uko sahihi.
Yule jamaa anapingana na Mungu wa Walokole bro. Ana Uzi wake humu.
Umewaona walokole wa Kale?Natamani siku moja nikakae nae kama walokole wa kale...Wamejaa tele huko..
Yeah wale watu warefu wazuri wa kupendeza walinzi wa walokole wenye mabawa wanaimba milele hawapumziki na ndio watungaji wa nyimbo za injili na kusifu dunianimkuu nieleweshe, umesema walizitunga wao?
Ni kweli kaka.Oooh oky ila malumbano sio nembo ya walokole ninavyowafahamu mimi.
Hapana sikuwaona kwa macho ila udadisi na utafiti wangu ulifikia mahali nikawajua kiroho na ngazi zao na hata wanajimu na waganga wanawajua tu hawa walokole wanaoonekana kama wana wa miungu angani.Wapo kwa Mungu wa walokole na ndio wanaitwa wazee wa baraza la Mungu wa walokole wapo kuwafariji walokole kiroho...Kazi yao kubwa ni kuwaombea walokole wa sasa na kusujudu na kuabudu na kumsifu Mmiliki mkuu ambae ni Mungu wa enzi na mmliki wa ulimwengu na wanadamu.Walokole wanamuita BABA!!!Umewaona walokole wa Kale?
Yeah fatilia ni mzuri sana.Huu Uzi upo...
Niliupenda...
Uzi wa walokole...
Nilishachangia sana humu mwanzoni...Yeah fatilia ni mzuri sana.
Sawa dada. Tupambane, vita ni kali.Nilishachangia sana humu mwanzoni...
Na Bado naufuatilia...
Upo Dada.......Sio uzi wa walokole bali wa kuhusu nguvu ya Mungu wa walokoleHuu Uzi upo...
Niliupenda...
Uzi wa walokole...
Sanaa ila tutashinda maana tuliyenaye yeye alishashinda vita...Sawa dada. Tupambane, vita ni kali.
Nipo kaka...Upo Dada.......Sio uzi wa walokole bali wa kuhusu nguvu ya Mungu wa walokole
Kuna nyakati naogopa kuendelea na hizi shuhuda ila najua Mwana wa mmiliki atanilinda at least niwatie moyo walokole kuhusu Mungu wao wa ajabu na gravity yake ya nguvu na upendoSawa dada. Tupambane, vita ni kali.
Kweli, kuna rafiki yangu mmoja, ni mlokole, alikuwa na dada fulani hivi, Kila akimkaribia alikuwa anahisi ana nguvu za mapepo.Sanaa ila tutashinda maana tuliyenaye yeye alishashinda vita...
Yaani YESU ni mshindi...
Mungu wa walokole ndio mungu mkuu kiroho kuliko roho zoote zinazojiita MiunguNipo kaka...
Ndio Mungu wa miungu yote...Mungu wa walokole ndio mungu mkuu kiroho kuliko roho zoote zinazojiita Miungu