petro matei
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 803
- 937
HALI INAYOCHANGIA UWE NA NGUVU ZA MUNGU
1 Wathesalonike 5:17,19,21
[17]ombeni bila kukoma;
[19]Msimzimishe Roho;
[21]jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;
Unahitaji kuhakikisha kiroho na kimwili unakuwa na nyuvu za Mungu (moto wa Mungu)
Ushindi wako utapatikana kutokana na kiwango kile ulicho nacho rohoni cha NGUVU ZA MUNGU.
NA HAYA YANATAKIWA KUZINGATIWA KWAKO
[emoji2389] NENO LA MUNGU.....hakikisha unalo neno la Mungu la kutosha ndani yako....kumbuka neno lilikuwako tangia mwanzo na ndiye mwanzo....na huo MWANZO ndiko kuna chimbuko(MUNGU) la Mwanadamu
ambalo sasa hili sisi tuweze kuwa mahala hapo tunahitaji kuwa na NENO LA MUNGU
Yohana 1:1-12
[emoji2390] MAOMBI....Omba kila wakati ulio nao
Andaa mazingira mazuri yanayokuruhusu kuomba na sio kwa mizaa au mazoea. Hakikisha hakuna kinachokufunga au kukuzuia kuomba.
Maombi ni silaha lakini ni mpaka pawepo ma muunganiko mzuri wa wewe na Mungu.
Usiache kuomba...omba mpaka uone....usichoke kuomba hata kama huoni kupenya usichoke kuomba
OMBA BILA KUKOMA
[emoji2391] JITENGE NA KILA LILILO BAYA
Dhambi inakuondolea utukufu na kibali cha kuwa na Mungu. Dhambi inaondoa nguvu za Mungu maana kama Mungu hatokuwepo kwako basi nguvu zake hautokuwa nazo.....mkimbie shetani na uyakatae mambo yake yote.
[emoji2392] USIMZIME ROHO MTAKATIFU
Tumepewa ROHO MTAKATIFU atusaidie kwa kila jambo kwahiyo kila utakalolifanya ambalo halimfanyi Roho Mtakatifu awepo kwako basi unayaondoa mapenzi ya Mungu juu yako.
MFANYE ROHO KUWA RAFIKI YAKO ILI UWEZE KUSAIDIKA KWA KILA JAMBO LAKO LOLOTE.
VYOTE HIVYO VINALETA NGUVU ZA MUNGU.
NA MUNGU WA AKUBARIKI SANA KTK JINA LA YESU KRISTO.
1 Wathesalonike 5:17,19,21
[17]ombeni bila kukoma;
[19]Msimzimishe Roho;
[21]jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;
Unahitaji kuhakikisha kiroho na kimwili unakuwa na nyuvu za Mungu (moto wa Mungu)
Ushindi wako utapatikana kutokana na kiwango kile ulicho nacho rohoni cha NGUVU ZA MUNGU.
NA HAYA YANATAKIWA KUZINGATIWA KWAKO
[emoji2389] NENO LA MUNGU.....hakikisha unalo neno la Mungu la kutosha ndani yako....kumbuka neno lilikuwako tangia mwanzo na ndiye mwanzo....na huo MWANZO ndiko kuna chimbuko(MUNGU) la Mwanadamu
ambalo sasa hili sisi tuweze kuwa mahala hapo tunahitaji kuwa na NENO LA MUNGU
Yohana 1:1-12
[emoji2390] MAOMBI....Omba kila wakati ulio nao
Andaa mazingira mazuri yanayokuruhusu kuomba na sio kwa mizaa au mazoea. Hakikisha hakuna kinachokufunga au kukuzuia kuomba.
Maombi ni silaha lakini ni mpaka pawepo ma muunganiko mzuri wa wewe na Mungu.
Usiache kuomba...omba mpaka uone....usichoke kuomba hata kama huoni kupenya usichoke kuomba
OMBA BILA KUKOMA
[emoji2391] JITENGE NA KILA LILILO BAYA
Dhambi inakuondolea utukufu na kibali cha kuwa na Mungu. Dhambi inaondoa nguvu za Mungu maana kama Mungu hatokuwepo kwako basi nguvu zake hautokuwa nazo.....mkimbie shetani na uyakatae mambo yake yote.
[emoji2392] USIMZIME ROHO MTAKATIFU
Tumepewa ROHO MTAKATIFU atusaidie kwa kila jambo kwahiyo kila utakalolifanya ambalo halimfanyi Roho Mtakatifu awepo kwako basi unayaondoa mapenzi ya Mungu juu yako.
MFANYE ROHO KUWA RAFIKI YAKO ILI UWEZE KUSAIDIKA KWA KILA JAMBO LAKO LOLOTE.
VYOTE HIVYO VINALETA NGUVU ZA MUNGU.
NA MUNGU WA AKUBARIKI SANA KTK JINA LA YESU KRISTO.