๐๐Anhaaa kumbe , Sasa palikuwa na sababu gani ya kuipa milage hii taarifa Kama hicho kichwa ni Cha mkandarasi ,, mxiiiiieeeeew blood fucking zao
Umesema vizuri,wameshakuelewa,wanaona aibu,kusema ,wamekuelewa.Wewe ndo uone, aibu. Unawaambia akina Nani hawaoni aibu?
Huyo MKANDARASI kaleta train yake afanyie majaribio wewe unakurupuka eti hamuoni aibu. Nyumbu buana.
duuh ni kichwa cha mkandarasi mbona hana mdomoHivi ni mimi ndie sielewi, au?
Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...
Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?
Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!
Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!
Tunakwama wapi?!
Kenya walipigwa na wachina hivi hivihata bodi lake la kizamani. Kuna kile kichwa muundo wa yai kabisa, kimechongoka fresh kama aeroplane hata bodi lake linakuwa na shepu flani hivi kama aeroplane kwa umbali.
yani hapo mmepigwa kwanzia kichwa mpaka bodi. Hilo kichwa na bodi ukitazama fresh ni kama la kibox sio mviringo mchongoko kama yai.
Hilo treni sio toleo jipya wala sio la sasahivi, wala sio la kisasa, ni toleo la zamani kwenye miaka ya vita vya kwanza vya dunia.
Hapo wamepigwa, washenzi wameweka pesa mfukoni, wakanunua la bei cheee, bei rahisi
Mdomo wa nini?!duuh ni kichwa cha mkandarasi mbona hana mdomo
Upuuzi tu ...Hivyo vichwa vinatofauti gani na gari la Jeepers CreepersView attachment 2126536
Picha inakaribia kuanza...Kichwa cha treni cha reli ya kisasa - SGR chร wasili
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
Wewe mwenye akili tuletee picha za vichwa vilivyolipiwa na serikali ndio mnavyojidanganya hapa kuwa vitakuwa tofouti na hivi vya majaribio?Akili hizi, Sasa unakimbilia kukomenti bila kusoma habari inahusu Nini kweli? Hiki ni kichwa Cha treni cha MKANDARASI kwa ajili ya kufanyia majaribio kipande Cha dar Moro, Sasa unataka mkandarasi anunue train kwa ajili ya TRC?
Sukuma gang mkuu!Negative comments hazikosekanagi [emoji16][emoji16]
Si ndio nyote nyieJamaa hivi unajua maana ya SGR? Naona umekurupuka tu kama ngiri.
Soma na elewa maana ya Standard Gauge Railway ndio utoe comment.
Slothskimaulega ndio nani mkuu
Mkuu hizi ni biashara na kama ni biashara mtu anajikuna pale anapofikia...ni kama hizi biashara za magari mkuu wapo ambao bado wananunua magari ya mwaka 1998&1999 lkn wakati huo huo wapo wale wakina mimi tunanunua magari ya 2021[emoji38]najua utabisha
Kichwa cha treni cha reli ya kisasa - SGR chร wasili
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504