Muonekano wa kichwa cha Treni ya SGR

Muonekano wa kichwa cha Treni ya SGR

Anhaaa kumbe , Sasa palikuwa na sababu gani ya kuipa milage hii taarifa Kama hicho kichwa ni Cha mkandarasi ,, mxiiiiieeeeew blood fucking zao
😂😂

Lakini niivyowaelewa hapo ni kwamba, hoja sio hicho kichwa bali ni wanatuambia the Electrified SGR Dar to Morogoro is almost done, and ready for testing!!
 
hata bodi lake la kizamani. Kuna kile kichwa muundo wa yai kabisa, kimechongoka fresh kama aeroplane hata bodi lake linakuwa na shepu flani hivi kama aeroplane kwa umbali.

yani hapo mmepigwa kwanzia kichwa mpaka bodi. Hilo kichwa na bodi ukitazama fresh ni kama la kibox sio mviringo mchongoko kama yai.

Hilo treni sio toleo jipya wala sio la sasahivi, wala sio la kisasa, ni toleo la zamani kwenye miaka ya vita vya kwanza vya dunia.

Hapo wamepigwa, washenzi wameweka pesa mfukoni, wakanunua la bei cheee, bei rahisi
 
Aisee kichwa kimepauko mno bora wangekipata mafuta ndio wakipige picha.
Sidhani hata abiria akipanda atakuwa na amani
 
Hivi ni mimi ndie sielewi, au?

Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...

Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?

Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!

Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!

Tunakwama wapi?!
duuh ni kichwa cha mkandarasi mbona hana mdomo
 
hata bodi lake la kizamani. Kuna kile kichwa muundo wa yai kabisa, kimechongoka fresh kama aeroplane hata bodi lake linakuwa na shepu flani hivi kama aeroplane kwa umbali.

yani hapo mmepigwa kwanzia kichwa mpaka bodi. Hilo kichwa na bodi ukitazama fresh ni kama la kibox sio mviringo mchongoko kama yai.

Hilo treni sio toleo jipya wala sio la sasahivi, wala sio la kisasa, ni toleo la zamani kwenye miaka ya vita vya kwanza vya dunia.

Hapo wamepigwa, washenzi wameweka pesa mfukoni, wakanunua la bei cheee, bei rahisi
Kenya walipigwa na wachina hivi hivi
 
duuh ni kichwa cha mkandarasi mbona hana mdomo
Mdomo wa nini?!

Man, anayetafuta mileage hapo sio mkandarasi bali mwenye reli yake kwahiyo mkandarasi hana sababu ya kufanya alichofanya mwenye reli yake!
 
Mama piga kazi tumecheleweshwa mnoooo kama taifa
 
Akili hizi, Sasa unakimbilia kukomenti bila kusoma habari inahusu Nini kweli? Hiki ni kichwa Cha treni cha MKANDARASI kwa ajili ya kufanyia majaribio kipande Cha dar Moro, Sasa unataka mkandarasi anunue train kwa ajili ya TRC?
Wewe mwenye akili tuletee picha za vichwa vilivyolipiwa na serikali ndio mnavyojidanganya hapa kuwa vitakuwa tofouti na hivi vya majaribio?

Muda utaongea
 
Mjenga reli ni Mturuki, atayefanya commissioning ni Mturuki na kaanza kwa kuleta SGR Test Locomotive...

Ataye supply SGR trains ni Mkorea, na treni zake bado kufika...

Lakini sasa waosha vinywa uwezo mdogo wa kuelewa washaanza kupayuka kuwa tumepigwa, idiots!!!
 
Mkuu hizi ni biashara na kama ni biashara mtu anajikuna pale anapofikia...ni kama hizi biashara za magari mkuu wapo ambao bado wananunua magari ya mwaka 1998&1999 lkn wakati huo huo wapo wale wakina mimi tunanunua magari ya 2021[emoji38]najua utabisha

unataka kusema bajet yetu au unabisha kama kuna upigaji
 
Yaani Rais Samia kaona alete hiki kichwa ndio treni ya umeme
IMG_9347.jpg
 
Hatuokoti vichwa vya treni tena siku hizi!?
Drama za mwendazake nimezimiss aisee!
 
Back
Top Bottom