Muonekano wa kichwa cha Treni ya SGR

Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
will it serve the purpose?
 
Huyu msimulizi mbona anaokotaokota maneno, kwanini asiwe anaandikiwa anasoma kuweka flow nzuri ya anachotaka kusema badala ya kuchanganyachangaya mada?
 
Mbona kinaonekana ni used kabisa mnautani na pesa zetu za ndani ,, halafu shape yake ni ya kizamani kabisa hakina hata mvuto
 
Anhaaa kumbe , Sasa palikuwa na sababu gani ya kuipa milage hii taarifa Kama hicho kichwa ni Cha mkandarasi ,, mxiiiiieeeeew blood fucking zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…