Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema Tundu Lissu amekosa sifa za kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa sababu ya tabia yake ya kusema ukweli kila wakati kitendo ambacho sio kizuri kwa kiongozi wa ngazi ya Kitaifa.
Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
"Unapokuwa kiongozi, hutakiwi kuwa mkweli kwa kiwango alichonacho Tundu Lissu"
Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
"Unapokuwa kiongozi, hutakiwi kuwa mkweli kwa kiwango alichonacho Tundu Lissu"