Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hahahaha kumbe. Hawa watu wanazidi kutufungukia code nyingi sana. Yaani majizi maongo ndiyo yanatakiwa yatuingoze kubabbaababbaabkeMwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema Tundu Lissu amekosa sifa za kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa sababu ya tabia yake ya kusema ukweli kila wakati kitendo ambacho sio kizuri kwa kiongozi wa ngazi ya Kitaifa.
"Unapokuwa kiongozi, hutakiwi kuwa mkweli kwa kiwango alichonacho Tundu Lissu"
View attachment 3195952
Kwahiyo tuendelee na muongo Mbowe!!??Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema Tundu Lissu amekosa sifa za kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa sababu ya tabia yake ya kusema ukweli kila wakati kitendo ambacho sio kizuri kwa kiongozi wa ngazi ya Kitaifa.
"Unapokuwa kiongozi, hutakiwi kuwa mkweli kwa kiwango alichonacho Tundu Lissu"
View attachment 3195952
HakikaHuyo mwamba hakupona risasi 16 ili akae nyumbani na mke wake tu
Kazi kweli kweliMwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema Tundu Lissu amekosa sifa za kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa sababu ya tabia yake ya kusema ukweli kila wakati kitendo ambacho sio kizuri kwa kiongozi wa ngazi ya Kitaifa.
"Unapokuwa kiongozi, hutakiwi kuwa mkweli kwa kiwango alichonacho Tundu Lissu"
View attachment 3195952
Mungu hapendi mtu mwongo, mnafiki, mchoyo, Mropokaji, asiye na shukrani kama Lissu.Tundu Lissu ni chaguo la Mungu, anasimama kwenye ukweli na haki
Ameonyesha ni kqq kiwango gani ccm imekuwa ikiishi kwa uongo.Nchi ya ajabu sana hii, Eti kuwa mkweli ni sifa mbaya. Mnataka watu waongo waongo?
Ayaaah uuh jamani nchi yangu !Nafurahi kumsikia mwamba Musiba, alikuwa wapi? Alinifurahisha sana wakati wa JPM. Ningefurahi kama angepewa uongoze serikalini. Alichosema kuhusu Lissu ni kweli, ukweli hautakiwi, utanusa umauti kwa ukweli.
Tatizo la jamii iliyozoea kuishi kwa uongol.Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema Tundu Lissu amekosa sifa za kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa sababu ya tabia yake ya kusema ukweli kila wakati kitendo ambacho sio kizuri kwa kiongozi wa ngazi ya Kitaifa.
Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
"Unapokuwa kiongozi, hutakiwi kuwa mkweli kwa kiwango alichonacho Tundu Lissu"
View attachment 3195952