Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na wanataka misururu ya magari barabarani ikatazwe kupita kabla yao.Kusimama na kumsubiri mtu sampuli hiyo ni zaidi ya gharika.Tujisahihishe tulipokosea na kutubu.Kweli kabisa
FIkiria mnamsubiri kiongozi alafu anawajia na huo mchuma
Kweli kabisa
FIkiria mnamsubiri kiongozi alafu anawajia na huo mchuma
Na wanataka misururu ya magari barabarani ikatazwe kupita kabla yao.Kusimama na kumsubiri mtu sampuli hiyo ni zaidi ya gharika.Tujisahihishe tulipokosea na kutubu.
daaa nimecheka kifwaara sana(kifaraaa)Africa hata wafu uwa hawapati amani uko waliko.
Tanzania ya viwonder🤣🤣🤣🤣🤣Duh yani anashindwa kutoa fungu ifungwe alarm system hapo shuleni badala yake anapeleka rim ya lorry
Siasa za kijinga kivipi aunt shomari? Kwani kengele huioni hapo? Au unataka uone kengele ya polepole ndo utaamini?Siasa za kijinga hizo wewe, hapo mwenyewe unajiona umeikomoa ccm
huyu dogo Alie vaajuba atazeeka vibaya sana.hiyo sura🤣Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi , Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari , kwa ajili ya kutumika shuleni hapo .
Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo .
View attachment 2502651
Umejuaje we jamaaa utakuwa nabiiii [emoji41][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukute Rimu ya kisasa imenunuliwa Mil 12.7 na imesifishwa kutoka Nairobi kwa mujibu wa stakabadhi zilizopo!!!
Au USAIDRim si zinaokotwa tu kama chuma chakavu, harafu usije kuta IMEANDIKWA"KWA HISANI YA JUMUIA YA WAZAZI"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chama cha mafisi .
daaa nimecheka kifwaara sana(kifaraaa)
Mkavuu na njino anakenua😁