Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

D
 
Hiiiii, litakuwa limenuna ni hatareee! Linatamani hata kuwafutia marupurupu!
 
Ameenda kujipendekeza kwenye kaburi la Baba wa Taifa si alimtukana kwenye Bunge la Katiba? Urais haupati.
 
Ameshapitishwa
Jambo la familia ya Mwalimu Nyerere kumkaribisha Lissu kulala nyumbani mwao tena wakati kampeni zinaendelea ni ujumbe wa wazi wazi kwa CCM na Magufuli kuwa familia hiyo anzilishi wa CCM na Taifa letu wamechoshwa na CCM na watawala wa nchi. Pia ni ishara ya ridhaa ya wana CCM kwa Lissu. Ni kitendo cha kijasiri na kimapinduzi.
 
Huu uzi umenzishwa kuelezea Lisu kulala kwa Nyerere, we unaleta matangazo ambayo yamejaa majalalani, yanachafua mazingira?! Tumia Wewe fikra siyo kudandia treni kwa mbele!
Daktari huwa hapangiwi kwa kuchoma sindano, mimi kama daktari nimeshakuchoma sindano ya kalio sasa kazi kwako kuamua unasikiliziaje maumivu kwa kulala chali au kubidua kalio.
 
CCM iwaombe msamaha watoto wa mwanzilishi wa CCM aliyekuwa na kadi namba 1 ambaye pia ni Baba wa Taifa hili kwa kuwapa kura 2 kwenye uchaguzi wa ndani ya CCM. Pia kwa kumbeba Mama Maria mzobamzoba na kumpeleka Musoma mjini ili kuongeza kichwa kwenye mikutano ya CCM.
Natumaini alitumia nafasi hio kuomba msamaha kwa kejeli na dharau alizokua anazitoa kuhusu mwalimu Nyerere.

Kuna familia zina moyo wa kusamehe
 
Ameenda kujipendekeza kwenye kaburi la Baba wa Taifa si alimtukana kwenye Bunge la Katiba? Urais haupati.
Lissu angekuwa amemtukana Nyerere watoto wa Nyerere na mama yao wasingemkaribisha alale kwao na kumfanyia karamu.
 
Daktari huwa hapangiwi kwa kuchoma sindano, mimi kama daktari nimeshakuchoma sindano ya kalio sasa kazi kwako kuamua unasikiliziaje maumivu kwa kulala chali au kubidua kalio.
Sindano ni ipi sasa hapo! Umekunywa maji leo?!
 
Acha uongo wakati mpaka wabunge wanaoana bila kubaguana. Upo Tanzania kweli? Muulize Zitto amezaa na mbunge wa CCM pia mke wa Kafulila ni Chadema bila kusahau mke wa msemaji wa Chadema ni CCM! Acha kubwabwaja kama hujui. Mimi mwenyewe mke wangu ni Chadema. Pia angalia video clip hapa chini. Tena sasa hivi watz wa vyama tofauti wanashirikiana kuliko hapo awali. Ndiyo maana namsikitikia msaliti Lissu anapowaambia eti watz waingie barabarani labda alete maburuki toka nje ya nchi. Atashangaa baada ya tarehe 28/10/2020.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…