Credit
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 1,490
- 1,881
Usiropoke! Tulia.Hivi toka tukutane na kukuhudumia pale Milembe bado hali yako haijabadilika mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiropoke! Tulia.Hivi toka tukutane na kukuhudumia pale Milembe bado hali yako haijabadilika mkuu
umeona eeUsiropoke! Tulia.
Mtamuua Magufuli kwa presha jamani.Mama Maria Nyerere kajibu kwa vitendo baada ya kushurutishwa aende mkutano wa CCM kuongeza vichwa kisha kulazimishwa kuongea.
hili jambo lina maana kubwa sana...sana...naamini na Baba wa taifa huko aliko anaonaMama Maria Nyerere kajibu kwa vitendo baada ya kushurutishwa aende mkutano wa CCM kuongeza vichwa kisha kulazimishwa kuongea.
hujiskii aibu ?!Amefilisika huyo!
We zwazwa unazijui lugha rasmi za taifa la tanzania kwa mujibu wa sheria?sasa kama Rais haelewi, tena mwenye PhD haelewi hilo neno, nani atalielewa? Mwandishi anamwandikia Kiingereza Mtanzania gani atakaelewa ???
Hivi Donald Trump anaweza kujifunza Kiarabu halafu akaanza kuwandikia Wamarekani Twitter za Kiarabu ????
Anaweza kulowanisha mic..... Nakumbuka hata neno intaprinyua hawezi kulitamkaHata kulitamka tu hawezi.
Hahahaaaa🤣🤣..... Nimecheka kihutuI doubt if he can even dare to pronounce it...... chezea lugha ya kibeberu wewe ....hahahahahaha
Hahaaa..... Wacha nicheke kihutu mie mtoto wa chatoKwa nini asielewe? PhD (UDSM), Waziri miaka zaidi ya 10, etc itakuwa maajabu asipolielewa hilo neno.
Hongera kwa kuondoa stress mkuu👍👍Aahahaahahhaah. Nimecheka sina mbavu.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaa..... Tundu Lissu wapeleke mchakamchaka....Amemshurutisha Msigwa aingie google haraka!
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaaa..... Hivi hiyo phd alisoma kwa kichina au kihutu...Kabla ya kulielewa, inabidi aende kwenye mafunzo ya kutumia google translator.
Hahahaaaa🤣🤣...... Ikulu ni mahali patakatifu POMBE ya nini?Mimi mwenyewe imebidi nitafute dictionary sembuse pombe
Sawa.... Unajua lugha razmi za tanzania ni zipi mkuu?Nafikiri mwandishi hakuwa ana address umma wa watanzania..hiyo ni weekly report anaituma Kwa hadhara yake.
Yaani natamani kuona security details ambazo Lissu atawekewa ikitokea akashinda uchaguzi mkuu ujao
Nafikiri mwandishi hakuwa ana address umma wa watanzania..hiyo ni weekly report anaituma Kwa hadhara yake.
Htr sn sn yani..... Huyu Lissu ataua watu kwa pressureKuna Google itafanya kazi yake au Dictionary haha