Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,167
Unamaanisha risu anakuja musoma?????Hali ya hewa siyo rafiki Musoma Mjini Kuna mvua inanyesha tangu saa moja asubuhi. Huwezi amini watu wamefika na mvua hiyo, na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hajafika, bado yuko Mwanza.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app