Musukuma: Maprofesa wanatuchanganya; wakati wa Magufuli walisema hakuna Corona na wakati huu wa Samia wanasema tuchanjwe

Musukuma: Maprofesa wanatuchanganya; wakati wa Magufuli walisema hakuna Corona na wakati huu wa Samia wanasema tuchanjwe

Nikiwa chuoni zamani kidogo mwaka wa kwanza kuna profesa mmoja alisema leo tanzania ata uki uwa ma profesa wote mambo yata endelea vilevile tu kama akuna kilicho tokea . Hya yalikua maneno ya #Prof Msele(2015)
OVA
 
Jimboni kama alipita bila rushwa, ni kichwa kwani aliwashinda hao maprofesa kwa hoja ndio maana akachaguliwa . Labda kama Jimbo lote ni darasa la saba.
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.

Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.

Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?

Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.

Chanzo: Clouds Digital
Inategemea Profesa yupo wapi. Wakiwa vyuoni na maeneo yao kitaaluma na kushauri huwa "Wananyooka". Balaa ni pale wanapokuwa kwenye "eneo" la kufanya maamuzi wengi hubadilika kama vinyonga. Msukuma kwenye hili ana hoja ni hili.
 
Ana point.

Maprofesa wetu ni wanafiki na hawana intellectual independence.

They cant think freely, wanafuata mkumbo wa wanasiasa. Mfano mzuri ni Hamisi Kigwangala.
 
Acha uongo kwahyo yale mapapai ni ww uliyafanyia utafiti?
Kwa hiyo na wewe unaamini Corona ya mapapai ya mwendazake? Hivi kweli mapapai yawe na Korona? Corona hushambulia mfumo wa upumuaji, Je, papai lina huo mfumo wa upumuaji unaoweza kuathiriwa na Corona? JIWE kaondoka na akili za wengi
 
Kwani yeye hajui siasa hunadilika kulingana na upepo? Alikuwa kwa lowasa akaja kwa JPM na Sasa anarudi taratibu kwa mama Samia
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.

Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.

Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?

Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.

Chanzo: Clouds Digital
Mwambieni huyo kichwa cha panzi, aende shule ili kuelewa chenga za maprofesa.
 
Si kweli alisema yeye mwenyewe alipeleka sample maabara ya taifa na ndio matokeo yakaonesha zile sample ambazo zilikuwa za mapapai na oil chafu zina Corona, na kule maabara ya Taifa wanaopima hizo sample wala sio hao Maprofesa....ni mkurugenzi tu wa maabara ndio alikuwa na PhD...
Aliyepeleka yeye mwenyewe au aliagiza mtu kwa siri?
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.

Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.

Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?

Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.

Chanzo: Clouds Digital
Huo ndio ukweli, hakuna wasomi kuna wapiga porojo tu
 
Safi sana Musukuma wewe ni akili kubwa kuliko hao madaktari na maprofesa njaa. Wao akili waliyonayo ni kucheza na mindset za watawala ili waandelee kushibisha matumbo yao badala ya kuleta manufaa kwa Taifa.

Sasa walishamsoma mama wakaona hana uhakika juu uwepo au kutokuwepo kwa corona virus nchini ila kwa kuwa kaonesha kutokubaliana baliana na msimamo wa mtangulizi wake juu ya ugonjwa huu hadi kuamua kuwapa wataalam wafanye utafiti wa kisayansi, wao wakaona fursa na wakafanya kweli kama yule wa makinikia.

Yaani hawa hawa walioshindwa kuleta tu mitaala ya elimu inayolenga uhalisia wa mazingira yetu ndo waweze korona-sisi bado sana.
GO GO ON MUSUKUMA
Umesema kweli wanacheza tu na midundo ya watawala wanavyotaka.
yaani watu wamejaa kwenye mwendokasi,watoto mashuleni wana laliana kama dagaa.
Halafu wanatokea watu wanaoitwa maprofesa wanasema kuna corona?
au wenzetu wako Tanzania nyingine.
 
CHANJO NI HIYARI MSUKUMA TULIZA WENGE. SISI TUTACHOMWA WEWE TUMIA NYUNGU ZAKO.
KILA MMOJA AMUHESHIMU MWENZAKE!
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.

Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.

Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?

Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.

Chanzo: Clouds Digital
Mbona walikataa kuruhusu wapelelezi toka jumuia ya kimataifa kuja kuchunguza kupigwa risasi Lissu, kupotea kwa kina saanane azory nk?

HUYU MBUNGE BUYU TUPU, MIBANGE INAMUENDESHA
 
Umesema kweli wanacheza tu na midundo ya watawala wanavyotaka.
yaani watu wamejaa kwenye mwendokasi,watoto mashuleni wana laliana kama dagaa.
Halafu wanatokea watu wanaoitwa maprofesa wanasema kuna corona?
au wenzetu wako Tanzania nyingine.
Hahahaaaa....... No barakoa wala nini kwenye mwendo kasi!
 
Mbona walikataa kuruhusu wapelelezi toka jumuia ya kimataifa kuja kuchunguza kupigwa risasi Lissu, kupotea kwa kina saanane azory nk?

HUYU MBUNGE BUYU TUPU, MIBANGE INAMUENDESHA
Hapa anazungumzia Corona siyo mapolisi bwashee!
 
Form seven ni Shida, yaani yeye anadhani kipindi cha utawala ULE yale maamuzi ya kupinga na Kuficha kuwa Corona haikuwepo yanaweza ku-hold water kwa kiongozi wa sasa mwenye Maono (uongozi sikivu).

Hivi ni kweli huyo form Seven hajui hasara ya kupoteza wapendwa wetu kwa Maamuzi ya ajabu ajabu. Mimi Ilikuja kunizidishia machungu na niliuchukia utawala ule zaidi tena Zaidi pale tu Dada yangu Daktari alipofariki kwa corona and was the only Dr in our family. Baba alikuwa anatuambia alimsomesha kwa gharama kubwa.

Tumwombe tu huyo form seven hasiturudishe matesoni,kwani maamuzi ya uongozi wa sasa kuhusu Corona (task force ya kumshauri SSH kuhusu Corona) ni sahihi na yaheshimiwe.

Anachojifanya hajui ni kuwa, Watawala uliopita Ulikuwa unaogopwa, ulikuwa utawala wa YES BOSS or ONE MAN SHOW kila alichokisema mtawala ndicho wasaidizi wake walikitenda na kutuaminisha kuwa tuko sahihi ili mradi tu Maisha na familia zao vilineemeka na utawala ule.
Amejisahaulisha kuwa alikuwa miongoni mwa waumini wa bwana yule... je yeye aliamini pia kuwa Tanzania hakuna corona? Kweli bunge limepatwa!!!
 
Back
Top Bottom