Acha wafu wazike wafu wenzao.

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Nadhani majibu yako wazi kwa hiki kinachoendelea sasa. Nilitamani katika hiyo sheria tuweze kujua "afisa usalama" ameelezwa kama nani. Wasiwasi wangu ni kwamba kama polisi nao wamehisishwa katika kundi hili basi tuko katika kipindi kigumu zaidi. Huwa najiuliza maswali kuhusu ile kauli "tuviache vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi" huwa ni vyombo gani hasa huwa vinaachwa vifanye kazi yake.
 
Kutokana na hali mbaya kabisa ya kiusalama iliyopo hapa nchini hivi sasa, kuna kila sababu ya ku-declare the State of Emergency.

Siyo siri, hali ni mbaya sana.
Uhakika wa kufa leo hii ni mkubwa zaidi kuliko matumaini ya uwezekano wa kuiona kesho.
 
Kuna mambo ukiyafikiria unapata uchungu. Nadhani tumelaaniwa kabisa!
 
Matokeo ya Sheria hii sasa tunayaona.

Tunavuna matunda yatokanayo na Sheria hii.
 
Mdude big up! Sasa nimeelewa
Kwa Nini Mzee kibao ametekwa na kuuwawa na tiss watasingizia usama wa taifa

Sheria ya kuwalinda walishaipitisha tayari
 
Duuh
 
Ule mswaada sikuusoma kumbe ulikuwa na mambo mazito sana namna hii?
Huwa nawambia watu Zanzibar sio Nchi ya kuchezea. Wana mbinu sana kuanzia kwenye Muungano namna Nyerere alidhani amewakamata kumbe alikamatika.
 
Smelling fishy
 
Huu uzi ni mzito sana
 
Hili nililiona mapema sana. Na sasa utekelezaji wa sheria hii upo kazini.
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa ChoiceVariable
 
Umeoona sheria uliyokuwa unaipigia debe inavyofanya kazi?
 
Tatizo unapeleka mawazo kwenye siasa tu...
Umeona nini kinaendelea? Ni kipofu tu asingeweza kuona lengo la ile sheria mbaya. Ww ni mmojawapo wa vipofu hao, na si ajabu unafaidika na huu utekaji na haya mauaji.
 
Mama anawalinda wenzake wa zamani.

Kina bashite wameanza kulindwa kifaulo faulo kabla ya hiyo sheria.

Sasa ndiyo tutegemee vimungu watu.

Sheria mbaya kabisa hii.
Naam.
 
Nguruvi3 Paskali mayalla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…