Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Aiseeeeeeee..Rais hatoisaini sheria hiyo hata ikipitishwa bungeni.
Cheza na yeyote usicheze na mama. Hakuchaguliwa na mtu mama, ni chaguo la Mungu.
Mwenyezi Mungu hafanyi makosa.
Hiyo ni michezo ya sukuma gang ikiratibiwa na Kassim Majaliwa Majaliwa.