Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale Yale tu, ya kingunge kugeukwa na mbwa wake.Kujulikana kwao na kwenyewe kwa mbinde, au hii ni kufuatia kifo cha jasusi mbobezi ikaonekana hakuwa na kinga....
CCM ni watu kama wewe, hata mimi CCM lakini sheria hiyo siitaki.Ccm wameshaamua hamuwezi nyie kuzuia.
Halafu hawa TISS si ndo wamejazana kwenye nafasi za uteuzi, kwa hiyo hata wakifanya ufisadi wa kufuru kama ule wa invoice ya ndege wataishia kuambiwa stupid, maana hawashtakiwi hao ati.........na unaweza kukuta wana hata kinga ya kutoitwa stupid.Yale Yale tu, ya kingunge kugeukwa na mbwa wake.
Si Rahisi kuzuia mabadiliko ikiwa muda umefika.
Tusubiri.
Upumbavu ni kujadili mambo usiyoyajuaPunguza upumbavu watu wanapojadili mambo ya kitaifa kwa faida ya vizazi...au wewe Mbowe akisema ndiyo kasemekia kila mtu?
Hii sheria tuipinge hata ikibidi kwa Maandamano.Kwa sheria hii, TISS wanapewa rasmi kibali cha KUUA, KUPOTEZA, KUPIGA RISASI (kama yaliyofnyika kwaLISU).
Tujiandae.
We kibibi, wanaCCM wote ni watu hatari sana kwenye hii nchi. Na boss wao wa sasa ndie hatari kuu!Waliouchomekea muswada huo watakuwa ni Sukuma gang.
Kassim Majaliwa Majaliwa ni mtu hatari sana kwenye nchi hii. Mama Samia ajichunge sana na huyo mtu.
CCM yaliingizwa mapandikizi mengi wakati wa bwana yule, hayo ndiyo yanaivuruga nchiWe kibibi, wanaCCM wote ni watu hatari sana kwenye hii nchi. Na boss wao wa sasa ndie hatari kuu!
Wakati wa bwana yule, mlikua mnaimba mapambio kusifu kila kitu. Sio ajabu hata sasa unafanya jambo lilelile.CCM yaliingizwa mapandikizi mengi wakati wa bwana yule, hayo ndiyo yanaivuruga nchi