FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Rais hatoisaini sheria hiyo hata ikipitishwa bungeni.Wakati wa bwana yule, mlikua mnaimba mapambio kusifu kila kitu. Sio ajabu hata sasa unafanya jambo lilelile.
Tunae rais dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe!
Cheza na yeyote usicheze na mama. Hakuchaguliwa na mtu mama, ni chaguo la Mungu.
Mwenyezi Mungu hafanyi makosa.
Hiyo ni michezo ya sukuma gang ikiratibiwa na Kassim Majaliwa Majaliwa.