dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Ni huku kwenye maNCHI ya MAJITU MYEUSI tu mbona kwenye Nchi za watu wenye akili Rais akizingua anatupwa LupangoRais yuko juu ya sheria, ni chombo gani kina uthubutu wa kumfanya rais awe chini ya sheria? Fuatilia vizuri idara hiyo imekuwa ikifanya kazi kutokana na utashi wa rais aliyeko madarakani. Na ndio itakavyokuwa baada ya sheria hii, tena itakuwa mbaya zaidi.