Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa, umewapa 'Kinga ya Jinai' Maafisa Usalama
Rais yuko juu ya sheria, ni chombo gani kina uthubutu wa kumfanya rais awe chini ya sheria? Fuatilia vizuri idara hiyo imekuwa ikifanya kazi kutokana na utashi wa rais aliyeko madarakani. Na ndio itakavyokuwa baada ya sheria hii, tena itakuwa mbaya zaidi.
Ni huku kwenye maNCHI ya MAJITU MYEUSI tu mbona kwenye Nchi za watu wenye akili Rais akizingua anatupwa Lupango
 
Kumbe sheria ya Sasa haimpi Rais mamlaka tawi maalumu!!! Sasa inakuwaje baadhi ya viongozi waliopita wanaotuhumiwa kutumia tawi hili maalumu kwa mambo yanayoonekana siyo?
Kuna inavyotakiwa kuwa na ilivyo!
 
Labda kwa kuwa ni Muswada itategemeana na akili za wabunge zikoje! Huenda wasiupitishe au wakataka ufanyiwe marekebisho zaidi kabla ya kuupitisha.

Ingawa kwa bunge letu ambalo asilimia kubwa ya wabunge hawakuchaguliwa kwenye sanduku la kura,tegemea mswada utapita bila kupingwa.
 
mm sitakuwa msemaji katika hili , kheri nikae kando. Ila hizi ni dalili mbaya Sana . msoga anahusika asilimia %.huyu jamaa sijui ana nia gani . muamuzi wa ugomvi ataingilia Kati Sasa hivi .
 
Ww ni muumini wa sheria za kulinda viongozi wanaokaa madarakani kwa shuruti. Hivyo hakuna la kushangaza hapo. Ila machafuko pekee ndio yataondoa hizi sheria za kulinda watawala ili wafanye watakavyo.
kwa sheria hii hata humu jf tunaenda kufungwa midomo yetu na huenda baadhi yetu wanaenda kupotezwa kusikojulikana.tuungane pamoja 2025 kuwafuta wabunge wote wa kijanai kabla ya hayo kutokea.
 
kwa sheria hii hata humu jf tunaenda kufungwa midomo yetu na huenda baadhi yetu wanaenda kupotezwa kusikojulikana.tuungane pamoja 2025 kuwafuta wabunge wote wa kijanai kabla ya hayo kutokea.

Mkuu utawafutaje wabunge wa CCM, wakati hao hao usalama ndio wanasimamia wao kuingia bungeni?
 
Kama kuna watu wanapewa Uhuru wa kujieleza halafu wanautumia vibaya kutukana viongozi hata wakuu wa Nchi kwa kigezo ni wapinzani hii sheria itaenda kuwadhibiti ipite tu kwa nguvu zote ili tuheshimiane
Wa mpito anapojizungushia ulinzi.

Bado wawili.

Tusubiri.
 
Usarama wa taifa kupewa uwezo huo si hatari kwa wanainchi wa kawaida Bari mafisadi"

Na Kama mnavyo jua majizi nimajitu yenye mapesa mengi kiasi kwamba Yana mzidi nguvu mpaka raisi kwenye maamzi ya Kima endeleo


Na raisi akiwauliza Usarama wa taifaHawa watu vipi?

Wana mwambia tunaweza kuwadhibiti Hawa majizi lakini nyuma yao Kuna akina nanii na nanii pale bungeni na wizarani na pale mahakamani Sasa tunashindwa


Nafikiri ndiyo maana samia ameamua kuwapa uwezo Usarama wa taifa kufanya kazi automatically pale ambapo panapaswa kushughulikiwa haraka

Nakisha baadae wakatoa maelezo kwa bosi wao ambaye atakuwa ni raisi tu sio waziri frani Tena wakati waziri huyo ndiye aliye nyuma ya mafisadi nama jizi kwataifa letu

Nina imani mm sheria hii ninzuri isipokuwa kuwe na marekebisho madogo madogo sababu

Tanzania panaonekana Kuna serikari ndani ya serikari

Serikali hiyo inaitwa

SERIKALI YA MAFISADI ISIYO FIKIKA ILIYO JIFICHA NDANI YA SERIKALI YA WANAINCHI KIVULI

kwa hiyo Nanjia pekee nikuiwezesha TISS ili ibaki serikari sahihi isiyo weza kumyumbisha raisi.

Haiwezekani raisi anaongea hili waziri anaongea hili.
Raisi anatoa billion 2 wizara husika inapokea Kisha inatoa million 200 nyingine mfukoni

hukunyuma WANAINCHI hawapati huduma kwa MDA wanaanza kumlaum raisi

Amini nawaambieni Usarama wataifa utakuwa unanguvu ya kufanyia kazi hata maoni yenye Tina mnayo yaweka jf na kuya fanyia kazi kwa vitendo
Sheria nzuri ni KATIBA mpya.

Raisimu ya Warioba irudi mezani tufanye marekebisho kidogo, tuchague wajumbe wa Bunge la Katiba,

Hatimaye tupate KATIBA mpya.

Hayo yanayoendelea ni maigizo na HOFU ya Watawala.

Kama mnadhani mnaweza watishia maiti mortuary kifo endeleeni.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
 
kwa sheria hii hata humu jf tunaenda kufungwa midomo yetu na huenda baadhi yetu wanaenda kupotezwa kusikojulikana.tuungane pamoja 2025 kuwafuta wabunge wote wa kijanai kabla ya hayo kutokea.
Usiogope.

Uhai ni hazina iliyo mikononi mwa Mungu.

Hata hao wanaojaribu kututisha, hawana HAKIKA juu ya kesho Yao walalapo usiku.
 
Mdude Shida yako iko wapi ? Si mpo kwenye maridhiano na Serikali??? Au hii serikali sikivu imeanza kuwateka tena kama ile serikali ya ki dikteta?? Mh. Freeman Aikael Mbowe alisema msimseme vibaya mama. Tulieni tu mambo mazuri yanakuja
Punguza upumbavu watu wanapojadili mambo ya kitaifa kwa faida ya vizazi...au wewe Mbowe akisema ndiyo kasemekia kila mtu?
 
Mama anawalinda wenzake wa zamani.

Kina bashite wameanza kulindwa kifaulo faulo kabla ya hiyo sheria.

Sasa ndiyo tutegemee vimungu watu.

Sheria mbaya kabisa hii.
Ana vimelea vya UDIKTETA uchwara.


Sisi Bado tunamshuri asigombee, akalee wajukuu muda wake wa mpito ukiisha 2025.
 
Back
Top Bottom