Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 920
- 994
Usalama wa Taifa lolote lile hauwezi kuwa compromised na kitu chochote,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo cha kushauri u Rais uwe ni taasisi yaani Jamhuri, individual wote tuwe chini...Si kuna baraza la usalama wajameni? Hiyo ndiyo ipewe meno, hata Rais atakuwa chini ya...Mwenyekiti wake achaguliwe na kuwa vetted na asiwe na maslahi yeyote...Hivi kwani sisi ni kisiwa? We can improvise from other places bila kufanya copy paste kwa faida ya nchi...Lengo hasa la hiyo sheria ni pamoja na siasa. Kibaya zaidi hawawi chini ya mfumo bali rais. Je rais hapa kwetu ni Mungu?
Hamna hilo, akili za hao tiss tunazijua, wanatumika kukidhi utashi wa watu na sio sheria.Kulikuwa na liason officer...Waziri Ofisi ya Rais, wanavunja huo ukuta ili barabara inyooke direct...Na yeye pia akileta za kuleta afanyiwe mpango maalumu...Jamhuri (Taasisi ya Urais) ndiyo itakuwa juu ya sheria na siyo individuals
Ni kwakua tuna waza ki hivyo, na ninyi mna panic kwakua maslahi ya kisiasa yanaguswa...Tokeni kwenye hizo siasa zenu, wekeni mawazo ya kitaifa nje ya siasa zenu, please!Lengo hasa la hiyo sheria ni pamoja na siasa. Kibaya zaidi hawawi chini ya mfumo bali rais. Je rais hapa kwetu ni Mungu?
Rais yuko juu ya sheria, ni chombo gani kina uthubutu wa kumfanya rais awe chini ya sheria? Fuatilia vizuri idara hiyo imekuwa ikifanya kazi kutokana na utashi wa rais aliyeko madarakani. Na ndio itakavyokuwa baada ya sheria hii, tena itakuwa mbaya zaidi.Hapo cha kushauri u Rais uwe ni taasisi yaani Jamhuri, individual wote tuwe chini...Si kuna baraza la usalama wajameni? Hiyo nfiyo ipewe meno, hata Rais atakuwa chini ya...
Hamna utaifa, sana sana tunaona makundi ya walaji kila awamu. Usitake kujifanya kuna uzalendo wakati uhalisia tunaujua. Kama watu wanapatikana kwa kujuana uzalendo utoke wapi hapo?Ni kwakua tuna waza ki hivyo, na ninyi mna panic kwakua maslahi ya kisiasa yanaguswa...Tokeni kwenye hizo siasa zenu, wekeni mawazo ya kitaifa nje ya siasa zenu, please!
Kila jambo lina mwanzo, toa maoni ya kuwadhibiti hao na siyo kupinga tu kila jambo zuri kwa taifaHamna utaifa, sana sana tunaona makundi ya walaji kila awamu. Usitake kujifanya kuna uzalendo wakati uhalisia tunaujua. Kama watu wanapatikana kwa kujuana uzalendo utoke wapi hapo?
Ni pamoja na kumdhibiti Rais, kwani hiyo sheria kuwa reviewed ndiyo mwisho wa maisha?Rais yuko juu ya sheria, ni chombo gani kina uthubutu wa kumfanya rais awe chini ya sheria? Fuatilia vizuri idara hiyo imekuwa ikifanya kazi kutokana na utashi wa rais aliyeko madarakani. Na ndio itakavyokuwa baada ya sheria hii, tena itakuwa mbaya zaidi.
Huyu mama hana uwezo wa kuleta katiba mpya na hawezi kwa sababu Huku bara hawamuhitaji Hata kwa dawa.Katiba mpya itaondoa kila upuuzi unaowekwa leo au uliowekwa juzi
Acha kuwaza kwa kutumia matako ndg, hakuna watu wezi hao TISS ... fikiri kabla ya kuandika utumbo wako hapaHatari zaidi kwa ustawi wa mafisadi....Nchi imechezewa sana hii, acha tuone ikiwekwa hivyo what will be the outcome...Tutabadili kama tunavyobadili ikituletea shida.
Siasa ndo kila kitu ww, hv unatumia nn kwenye kufikiri wee shoga???Tatizo unapeleka mawazo kwenye siasa tu...
Lini mwana ccm akajua jua lina toka wp na kutua wp??? Huwa hampendi kuumiza vichwa vyenu isipokuwa kuwaza vitu vya hovyo hovyoTangu lini TISS ilikuwa ikiripoti kwa waziri? leo ndo naskia hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona ulivyo panic...Ujiandaye kuwa raia mwema hata povu likutoke vipi, imeisha hiyo!Acha kuwaza kwa kutumia matako ndg, hakuna watu wezi hao TISS ... fikiri kabla ya kuandika utumbo wako hapa