Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa, umewapa 'Kinga ya Jinai' Maafisa Usalama
Ni pamoja na kumdhibiti Rais, kwani hiyo sheria kuwa reviewed ndiyo mwisho wa maisha?
Wamdhibiti rais kwa katiba hii? Hata hivyo tuko kwenye mchakato wa katiba mpya, kwanini waendelee kutunga sheria nyingine ambazo sio za dharura, kwanini tusisubiri katiba mpya ili sheria nyingi ziwe ndani ya hiyo katiba mpya?
 
Kama kuna watu wanapewa Uhuru wa kujieleza halafu wanautumia vibaya kutukana viongozi hata wakuu wa Nchi kwa kigezo ni wapinzani hii sheria itaenda kuwadhibiti ipite tu kwa nguvu zote ili tuheshimiane
Ingekuwa hao viongozi wanaingia madarakani kwa chaguzi halali, huu utetezi wako ungekuwa na hoja.
 
Serikali ya Rais Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa - TISS ambao kwa ujumla wake una mapungufu mengi ikiwemo kuwapa kinga ya makosa ya jinai kwa maafisa wa idara hiyo. Jambo hili limezua mijadala maeneo tofauti watu wakiuliza Rais Samia anataka kuwatumia maafisa hao kufanya jinai gani kiasi kwamba analazimika kuwatungia sheria ya kuwalinda na jinai watakazofanya?

Ukiachilia mbali maafisa wa TISS kupewa kinga ya kijinai pia muswada huo unapendekeza kuwemo manaibu wakurugenzi wakuu wawili wa usalama wa taifa - TISS upande wa Zanzibar na Bara au Tanganyika. Katika mapendekezo hayo vigezo vya naibu mkurugenzi mkuu wa Zanzibar lazima awe Mzanzibar wakati huo upande wa naibu mkurugenzi mkuu Bara hakuna kigezo cha Uzanzibari au Utanganyika, yani anaweza kuwa yeyote.

Mambo mengine ni kwamba katika muswada huo Idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS imeondolewa usimamizi wake chini ya waziri na kupelekwa kwa Rais moja kwa moja. Yani muswada huo ukipitishwa ni kwamba idara ya usalama wa taifa - TISS itapewa mamlaka makubwa ambayo sio waziri wa bunge ambalo linaweza kuhoji au kuwawajibisha kwa makosa yoyote yakiwemo utekaji na mauwaji ya raia au viongozi ndani na nje ya nchi. Kwamba kwa sheria hiyo TISS wanaweza kumuuwa waziri mkuu, mbunge ,viongozi wa upinzani etc na wakasingizia kuwa wamefanya mauwaji hayo kwa sababu ya usalama wa taifa.

Fikiria mashirika makubwa ya kijasusi duniani ikiwemo CIA ya Marekani, M16 ya Uingereza na mengineyo yanawajibika kwa bunge na wakurugenzi wakuu wa mashirika hayo lazima wafanyiwe vetting na bunge. Kwamba wakati nchi zingine zikipambana kuimalisha mashirika yao ya kijasusi kwa ajili ya kulinda uchumi wa taifa, pesa za umma na usalama wa raia na mipaka sisi idara yetu ya ujasusi ndio inazidi kudidimizwa kwa kutungiwa sheria ambazo haziisaidii taifa kwa usalama wa uchumi, pesa na mali za umma n.k.

Nilitegemea kwamba Rais Samia angeboresha idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS kimafunzo na sheria ili imsaidie kukabiliana na usalama wa uchumi, kudhibiti ufisadi na wizi kama ilivyo hapo jirani Rwanda na baadhi ya nchi zingine ambazo idara za usalama zinafanya vema katika eneo hilo. Matokeo yake yamekuwa kinyume na kwamba idara hiyo ambayo ni maarufu kwa jina la wasiojulikana inaenda kupewa nguvu za kisheria kufanya chochote kwa mtu au kiongozi yeyote katika jamii.

Pengine Rais Samia hajui madhara ya sheria hii au anajua ila anataka kuitumia kuwadhibiti wapinzani wake ndani ya chama na nje ya chama kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Huko miaka ya nyuma Rais wa Argentina Cristina Fernández de Kirchner alitunga sheria ya namna hiyo kwa ajili ya kujilinda yeye na madaraka yake. Idara ya usalama wa taifa katika nchi hiyo ilipewa nguvu za kufanya chochote bila kuhojiwa wala kuwajibishwa na yeyote kama ambavyo muswada huu unavyotaka kuwapa nguvu TISS. Kwamba watu walitekwa na kuuliwa na idara hiyo wakiwemo wanahabari na wapinzani wa serikali tangu miaka ya 1990+

Baada ya mauwaji na utekaji huo kukithiri tarehe 18 January 2015 bunge la Argentina lilitakiwa kupokea ripoti ya mpelelezi binafsi Bw. Alberto Nisman aliyefanya kazi ya kupeleleza vifo tata, utekaji na ufisadi uliokuwa unaikumba nchi hiyo. Lakini kabla ya mpelelezi huyo kufika mbele ya bunge aliuwawa na idara hiyo ya usalama wa taifa kwa kisingizio kile kile cha usalama wa taifa. Kwamba nchi imeibiwa na kufisadiwa watu wanataka kufichua wezi wa taifa wanauliwa kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Baada ya kifo cha mpelelezi huyo bunge liliamua kumwita mkurugenzi wa mkuu mstaafu wa shirika hilo la kijasusi ili ahojiwe na kamati ya usalama ya bunge na aweze kuwapa mwongozo namna ya idara hiyo ya upelelezi inavyofanya kazi. Wakati huo hata Rais wa nchi hiyo alikuwa akitafuta namna ya kuifuta idara hiyo ya usalama ambayo kwa wakati huo ilikuwa imeota mizizi mikubwa na inamwaribia mpaka uongozi wake kwa umma.

Siku moja kabla ya mkurugenzi mkuu huyo mstaafu wa idara ya usalama kufika mbele ya bunge la Argentina alitekwa na idara ya usalama wa nchi hiyo na kufichwa kusikojulikana. Bunge la Argentina likaona huo ni upumbafu na kwamba hiyo haikuwa idara ya usalama wa nchi tena bali lilikuwa genge la wezi walioiba pesa na mali za umma na kutesa raia, wanahabari pamoja na wapinzani. Hivyo bunge hilo likafanya maazimio na kufuta idara hiyo.

Sheria ya namna hii ilitumika katika utawala wa madikteta wengi hapa Africa kutesa wapinzani na kuiba mali na pesa za umma. Idd Amin alitumia sheria hii kutesa na kuuwa wapinzani wake, Hastings Kamuzu Banda aliitumia sheria kuwateka na kuuwa mawaziri wake na wabunge. Mobutu alitumia sheria hii kuwauwa Waziri Mkuu Evariste Kimba, Jerome Anany -Waziri wa Ulinzi, Emmanuel Bamba - Waziri wa Fedha na Alexandre Mahamba - Waziri wa Nishati na Madini kwa madai kuwa usalama wa taifa waligundua viongozi hao walikuwa hatari kwa taifa.

Idara ya usalama ya taifa ya Zaire au Congo wakati wa Mobutu mwaka 1968 lilimkamata Pierre Mulele aliyekuwa rafiki mkubwa wa waziri mkuu wa kwanza na mpigania uhuru wa nchi hiyo Patrice Lumumba. Mulele ambaye alikuwaga waziri wa elimu wakati wa serikali ya Lumumba alikamatwa na kupelekwa kwenye black site za usalama wa taifa na kuanza kukatwa kidole kimoja badala ya kingine, mguu mmoja badala ya mwingine mpaka alipopoteza maisha akiwa kwenye mateso makali.

Sasa leo ndio Samia anaturudisha na sheria hizi ambazo madikteta walizitumia kujilimbikizia mali huku wakitesa na kuuwa wapinzani wao. Fikiria sheria za gizani namna hii zinaletwa karne ya 21 ambayo tunafikiria kuwa na katiba mpya yenye mambo mapya pamoja na kuboresha idara ya usalama wa taifa kwa maslahi ya taifa na sio kwa maslahi binafsi ya viongozi.

Kataeni sheria hii ya Samia ni hatari na haifai kwa nchi hii kwa hapa ilipofikia.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 2640691
Mbaya sana hii,kama kelele zetu hazitasikika ni Bora Wapinzani wamlilie beberu Marekani na Washirika wake.
Hatari sana hii.
 
Maana yake wataweza mteka mfanyakazi wa JF na kulazimisha kupata watu wanaowataka.


Hapo mbona itasababisha na wao waanze kuwindwa?
 
Kama kuna watu wanapewa Uhuru wa kujieleza halafu wanautumia vibaya kutukana viongozi hata wakuu wa Nchi kwa kigezo ni wapinzani hii sheria itaenda kuwadhibiti ipite tu kwa nguvu zote ili tuheshimiane
Ni ujinga na wenda wazimu kutunga sheria eti kwa kulenga wanaoitukana serikali, zitungwe sheria kwa kwa kuzingatia taifa kwanza kwa miaka mia ijayo na kwa kizazi kijacho,

Huu ni upuuzi eti unakimbiza limswada kujilinda na wakosoaji na watukanaji ,

Tatizo Afrika kiongozi akisha kuwa pale juu sijui hujiona nani , wakati ni binadam yule yule wala kuwa pale hakujambadilisha kitu chochote nje ya kuwa na kipato cha juu kuliko wengine,

Sasa endeleen mtajua hamjui ,nasema hili kwa confidence kubwa mno maana Mungu wangu yupo up to date sana
 
Serikali ya Rais Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa - TISS ambao kwa ujumla wake una mapungufu mengi ikiwemo kuwapa kinga ya makosa ya jinai kwa maafisa wa idara hiyo. Jambo hili limezua mijadala maeneo tofauti watu wakiuliza Rais Samia anataka kuwatumia maafisa hao kufanya jinai gani kiasi kwamba analazimika kuwatungia sheria ya kuwalinda na jinai watakazofanya?

Ukiachilia mbali maafisa wa TISS kupewa kinga ya kijinai pia muswada huo unapendekeza kuwemo manaibu wakurugenzi wakuu wawili wa usalama wa taifa - TISS upande wa Zanzibar na Bara au Tanganyika. Katika mapendekezo hayo vigezo vya naibu mkurugenzi mkuu wa Zanzibar lazima awe Mzanzibar wakati huo upande wa naibu mkurugenzi mkuu Bara hakuna kigezo cha Uzanzibari au Utanganyika, yani anaweza kuwa yeyote.

Mambo mengine ni kwamba katika muswada huo Idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS imeondolewa usimamizi wake chini ya waziri na kupelekwa kwa Rais moja kwa moja. Yani muswada huo ukipitishwa ni kwamba idara ya usalama wa taifa - TISS itapewa mamlaka makubwa ambayo sio waziri wa bunge ambalo linaweza kuhoji au kuwawajibisha kwa makosa yoyote yakiwemo utekaji na mauwaji ya raia au viongozi ndani na nje ya nchi. Kwamba kwa sheria hiyo TISS wanaweza kumuuwa waziri mkuu, mbunge ,viongozi wa upinzani etc na wakasingizia kuwa wamefanya mauwaji hayo kwa sababu ya usalama wa taifa.

Fikiria mashirika makubwa ya kijasusi duniani ikiwemo CIA ya Marekani, M16 ya Uingereza na mengineyo yanawajibika kwa bunge na wakurugenzi wakuu wa mashirika hayo lazima wafanyiwe vetting na bunge. Kwamba wakati nchi zingine zikipambana kuimalisha mashirika yao ya kijasusi kwa ajili ya kulinda uchumi wa taifa, pesa za umma na usalama wa raia na mipaka sisi idara yetu ya ujasusi ndio inazidi kudidimizwa kwa kutungiwa sheria ambazo haziisaidii taifa kwa usalama wa uchumi, pesa na mali za umma n.k.

Nilitegemea kwamba Rais Samia angeboresha idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS kimafunzo na sheria ili imsaidie kukabiliana na usalama wa uchumi, kudhibiti ufisadi na wizi kama ilivyo hapo jirani Rwanda na baadhi ya nchi zingine ambazo idara za usalama zinafanya vema katika eneo hilo. Matokeo yake yamekuwa kinyume na kwamba idara hiyo ambayo ni maarufu kwa jina la wasiojulikana inaenda kupewa nguvu za kisheria kufanya chochote kwa mtu au kiongozi yeyote katika jamii.

Pengine Rais Samia hajui madhara ya sheria hii au anajua ila anataka kuitumia kuwadhibiti wapinzani wake ndani ya chama na nje ya chama kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Huko miaka ya nyuma Rais wa Argentina Cristina Fernández de Kirchner alitunga sheria ya namna hiyo kwa ajili ya kujilinda yeye na madaraka yake. Idara ya usalama wa taifa katika nchi hiyo ilipewa nguvu za kufanya chochote bila kuhojiwa wala kuwajibishwa na yeyote kama ambavyo muswada huu unavyotaka kuwapa nguvu TISS. Kwamba watu walitekwa na kuuliwa na idara hiyo wakiwemo wanahabari na wapinzani wa serikali tangu miaka ya 1990+

Baada ya mauwaji na utekaji huo kukithiri tarehe 18 January 2015 bunge la Argentina lilitakiwa kupokea ripoti ya mpelelezi binafsi Bw. Alberto Nisman aliyefanya kazi ya kupeleleza vifo tata, utekaji na ufisadi uliokuwa unaikumba nchi hiyo. Lakini kabla ya mpelelezi huyo kufika mbele ya bunge aliuwawa na idara hiyo ya usalama wa taifa kwa kisingizio kile kile cha usalama wa taifa. Kwamba nchi imeibiwa na kufisadiwa watu wanataka kufichua wezi wa taifa wanauliwa kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Baada ya kifo cha mpelelezi huyo bunge liliamua kumwita mkurugenzi wa mkuu mstaafu wa shirika hilo la kijasusi ili ahojiwe na kamati ya usalama ya bunge na aweze kuwapa mwongozo namna ya idara hiyo ya upelelezi inavyofanya kazi. Wakati huo hata Rais wa nchi hiyo alikuwa akitafuta namna ya kuifuta idara hiyo ya usalama ambayo kwa wakati huo ilikuwa imeota mizizi mikubwa na inamwaribia mpaka uongozi wake kwa umma.

Siku moja kabla ya mkurugenzi mkuu huyo mstaafu wa idara ya usalama kufika mbele ya bunge la Argentina alitekwa na idara ya usalama wa nchi hiyo na kufichwa kusikojulikana. Bunge la Argentina likaona huo ni upumbafu na kwamba hiyo haikuwa idara ya usalama wa nchi tena bali lilikuwa genge la wezi walioiba pesa na mali za umma na kutesa raia, wanahabari pamoja na wapinzani. Hivyo bunge hilo likafanya maazimio na kufuta idara hiyo.

Sheria ya namna hii ilitumika katika utawala wa madikteta wengi hapa Africa kutesa wapinzani na kuiba mali na pesa za umma. Idd Amin alitumia sheria hii kutesa na kuuwa wapinzani wake, Hastings Kamuzu Banda aliitumia sheria kuwateka na kuuwa mawaziri wake na wabunge. Mobutu alitumia sheria hii kuwauwa Waziri Mkuu Evariste Kimba, Jerome Anany -Waziri wa Ulinzi, Emmanuel Bamba - Waziri wa Fedha na Alexandre Mahamba - Waziri wa Nishati na Madini kwa madai kuwa usalama wa taifa waligundua viongozi hao walikuwa hatari kwa taifa.

Idara ya usalama ya taifa ya Zaire au Congo wakati wa Mobutu mwaka 1968 lilimkamata Pierre Mulele aliyekuwa rafiki mkubwa wa waziri mkuu wa kwanza na mpigania uhuru wa nchi hiyo Patrice Lumumba. Mulele ambaye alikuwaga waziri wa elimu wakati wa serikali ya Lumumba alikamatwa na kupelekwa kwenye black site za usalama wa taifa na kuanza kukatwa kidole kimoja badala ya kingine, mguu mmoja badala ya mwingine mpaka alipopoteza maisha akiwa kwenye mateso makali.

Sasa leo ndio Samia anaturudisha na sheria hizi ambazo madikteta walizitumia kujilimbikizia mali huku wakitesa na kuuwa wapinzani wao. Fikiria sheria za gizani namna hii zinaletwa karne ya 21 ambayo tunafikiria kuwa na katiba mpya yenye mambo mapya pamoja na kuboresha idara ya usalama wa taifa kwa maslahi ya taifa na sio kwa maslahi binafsi ya viongozi.

Kataeni sheria hii ya Samia ni hatari na haifai kwa nchi hii kwa hapa ilipofikia.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 2640691
Naanza kuona dalili za Samia kutaka kubaki/kubakishwa madarakani kwa mda mrefu kwa maslahi ya wanaonufaika, machawa, mafisadi na walamba asali
 
Serikali ya Rais Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa - TISS ambao kwa ujumla wake una mapungufu mengi ikiwemo kuwapa kinga ya makosa ya jinai kwa maafisa wa idara hiyo. Jambo hili limezua mijadala maeneo tofauti watu wakiuliza Rais Samia anataka kuwatumia maafisa hao kufanya jinai gani kiasi kwamba analazimika kuwatungia sheria ya kuwalinda na jinai watakazofanya?

Ukiachilia mbali maafisa wa TISS kupewa kinga ya kijinai pia muswada huo unapendekeza kuwemo manaibu wakurugenzi wakuu wawili wa usalama wa taifa - TISS upande wa Zanzibar na Bara au Tanganyika. Katika mapendekezo hayo vigezo vya naibu mkurugenzi mkuu wa Zanzibar lazima awe Mzanzibar wakati huo upande wa naibu mkurugenzi mkuu Bara hakuna kigezo cha Uzanzibari au Utanganyika, yani anaweza kuwa yeyote.

Mambo mengine ni kwamba katika muswada huo Idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS imeondolewa usimamizi wake chini ya waziri na kupelekwa kwa Rais moja kwa moja. Yani muswada huo ukipitishwa ni kwamba idara ya usalama wa taifa - TISS itapewa mamlaka makubwa ambayo sio waziri wa bunge ambalo linaweza kuhoji au kuwawajibisha kwa makosa yoyote yakiwemo utekaji na mauwaji ya raia au viongozi ndani na nje ya nchi. Kwamba kwa sheria hiyo TISS wanaweza kumuuwa waziri mkuu, mbunge ,viongozi wa upinzani etc na wakasingizia kuwa wamefanya mauwaji hayo kwa sababu ya usalama wa taifa.

Fikiria mashirika makubwa ya kijasusi duniani ikiwemo CIA ya Marekani, M16 ya Uingereza na mengineyo yanawajibika kwa bunge na wakurugenzi wakuu wa mashirika hayo lazima wafanyiwe vetting na bunge. Kwamba wakati nchi zingine zikipambana kuimalisha mashirika yao ya kijasusi kwa ajili ya kulinda uchumi wa taifa, pesa za umma na usalama wa raia na mipaka sisi idara yetu ya ujasusi ndio inazidi kudidimizwa kwa kutungiwa sheria ambazo haziisaidii taifa kwa usalama wa uchumi, pesa na mali za umma n.k.

Nilitegemea kwamba Rais Samia angeboresha idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS kimafunzo na sheria ili imsaidie kukabiliana na usalama wa uchumi, kudhibiti ufisadi na wizi kama ilivyo hapo jirani Rwanda na baadhi ya nchi zingine ambazo idara za usalama zinafanya vema katika eneo hilo. Matokeo yake yamekuwa kinyume na kwamba idara hiyo ambayo ni maarufu kwa jina la wasiojulikana inaenda kupewa nguvu za kisheria kufanya chochote kwa mtu au kiongozi yeyote katika jamii.

Pengine Rais Samia hajui madhara ya sheria hii au anajua ila anataka kuitumia kuwadhibiti wapinzani wake ndani ya chama na nje ya chama kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Huko miaka ya nyuma Rais wa Argentina Cristina Fernández de Kirchner alitunga sheria ya namna hiyo kwa ajili ya kujilinda yeye na madaraka yake. Idara ya usalama wa taifa katika nchi hiyo ilipewa nguvu za kufanya chochote bila kuhojiwa wala kuwajibishwa na yeyote kama ambavyo muswada huu unavyotaka kuwapa nguvu TISS. Kwamba watu walitekwa na kuuliwa na idara hiyo wakiwemo wanahabari na wapinzani wa serikali tangu miaka ya 1990+

Baada ya mauwaji na utekaji huo kukithiri tarehe 18 January 2015 bunge la Argentina lilitakiwa kupokea ripoti ya mpelelezi binafsi Bw. Alberto Nisman aliyefanya kazi ya kupeleleza vifo tata, utekaji na ufisadi uliokuwa unaikumba nchi hiyo. Lakini kabla ya mpelelezi huyo kufika mbele ya bunge aliuwawa na idara hiyo ya usalama wa taifa kwa kisingizio kile kile cha usalama wa taifa. Kwamba nchi imeibiwa na kufisadiwa watu wanataka kufichua wezi wa taifa wanauliwa kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Baada ya kifo cha mpelelezi huyo bunge liliamua kumwita mkurugenzi wa mkuu mstaafu wa shirika hilo la kijasusi ili ahojiwe na kamati ya usalama ya bunge na aweze kuwapa mwongozo namna ya idara hiyo ya upelelezi inavyofanya kazi. Wakati huo hata Rais wa nchi hiyo alikuwa akitafuta namna ya kuifuta idara hiyo ya usalama ambayo kwa wakati huo ilikuwa imeota mizizi mikubwa na inamwaribia mpaka uongozi wake kwa umma.

Siku moja kabla ya mkurugenzi mkuu huyo mstaafu wa idara ya usalama kufika mbele ya bunge la Argentina alitekwa na idara ya usalama wa nchi hiyo na kufichwa kusikojulikana. Bunge la Argentina likaona huo ni upumbafu na kwamba hiyo haikuwa idara ya usalama wa nchi tena bali lilikuwa genge la wezi walioiba pesa na mali za umma na kutesa raia, wanahabari pamoja na wapinzani. Hivyo bunge hilo likafanya maazimio na kufuta idara hiyo.

Sheria ya namna hii ilitumika katika utawala wa madikteta wengi hapa Africa kutesa wapinzani na kuiba mali na pesa za umma. Idd Amin alitumia sheria hii kutesa na kuuwa wapinzani wake, Hastings Kamuzu Banda aliitumia sheria kuwateka na kuuwa mawaziri wake na wabunge. Mobutu alitumia sheria hii kuwauwa Waziri Mkuu Evariste Kimba, Jerome Anany -Waziri wa Ulinzi, Emmanuel Bamba - Waziri wa Fedha na Alexandre Mahamba - Waziri wa Nishati na Madini kwa madai kuwa usalama wa taifa waligundua viongozi hao walikuwa hatari kwa taifa.

Idara ya usalama ya taifa ya Zaire au Congo wakati wa Mobutu mwaka 1968 lilimkamata Pierre Mulele aliyekuwa rafiki mkubwa wa waziri mkuu wa kwanza na mpigania uhuru wa nchi hiyo Patrice Lumumba. Mulele ambaye alikuwaga waziri wa elimu wakati wa serikali ya Lumumba alikamatwa na kupelekwa kwenye black site za usalama wa taifa na kuanza kukatwa kidole kimoja badala ya kingine, mguu mmoja badala ya mwingine mpaka alipopoteza maisha akiwa kwenye mateso makali.

Sasa leo ndio Samia anaturudisha na sheria hizi ambazo madikteta walizitumia kujilimbikizia mali huku wakitesa na kuuwa wapinzani wao. Fikiria sheria za gizani namna hii zinaletwa karne ya 21 ambayo tunafikiria kuwa na katiba mpya yenye mambo mapya pamoja na kuboresha idara ya usalama wa taifa kwa maslahi ya taifa na sio kwa maslahi binafsi ya viongozi.

Kataeni sheria hii ya Samia ni hatari na haifai kwa nchi hii kwa hapa ilipofikia.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 2640691
Hongera mkuu for the well informed article.
 
Serikali ya Rais Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa - TISS ambao kwa ujumla wake una mapungufu mengi ikiwemo kuwapa kinga ya makosa ya jinai kwa maafisa wa idara hiyo. Jambo hili limezua mijadala maeneo tofauti watu wakiuliza Rais Samia anataka kuwatumia maafisa hao kufanya jinai gani kiasi kwamba analazimika kuwatungia sheria ya kuwalinda na jinai watakazofanya?

Ukiachilia mbali maafisa wa TISS kupewa kinga ya kijinai pia muswada huo unapendekeza kuwemo manaibu wakurugenzi wakuu wawili wa usalama wa taifa - TISS upande wa Zanzibar na Bara au Tanganyika. Katika mapendekezo hayo vigezo vya naibu mkurugenzi mkuu wa Zanzibar lazima awe Mzanzibar wakati huo upande wa naibu mkurugenzi mkuu Bara hakuna kigezo cha Uzanzibari au Utanganyika, yani anaweza kuwa yeyote.

Mambo mengine ni kwamba katika muswada huo Idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS imeondolewa usimamizi wake chini ya waziri na kupelekwa kwa Rais moja kwa moja. Yani muswada huo ukipitishwa ni kwamba idara ya usalama wa taifa - TISS itapewa mamlaka makubwa ambayo sio waziri wa bunge ambalo linaweza kuhoji au kuwawajibisha kwa makosa yoyote yakiwemo utekaji na mauwaji ya raia au viongozi ndani na nje ya nchi. Kwamba kwa sheria hiyo TISS wanaweza kumuuwa waziri mkuu, mbunge ,viongozi wa upinzani etc na wakasingizia kuwa wamefanya mauwaji hayo kwa sababu ya usalama wa taifa.

Fikiria mashirika makubwa ya kijasusi duniani ikiwemo CIA ya Marekani, M16 ya Uingereza na mengineyo yanawajibika kwa bunge na wakurugenzi wakuu wa mashirika hayo lazima wafanyiwe vetting na bunge. Kwamba wakati nchi zingine zikipambana kuimalisha mashirika yao ya kijasusi kwa ajili ya kulinda uchumi wa taifa, pesa za umma na usalama wa raia na mipaka sisi idara yetu ya ujasusi ndio inazidi kudidimizwa kwa kutungiwa sheria ambazo haziisaidii taifa kwa usalama wa uchumi, pesa na mali za umma n.k.

Nilitegemea kwamba Rais Samia angeboresha idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS kimafunzo na sheria ili imsaidie kukabiliana na usalama wa uchumi, kudhibiti ufisadi na wizi kama ilivyo hapo jirani Rwanda na baadhi ya nchi zingine ambazo idara za usalama zinafanya vema katika eneo hilo. Matokeo yake yamekuwa kinyume na kwamba idara hiyo ambayo ni maarufu kwa jina la wasiojulikana inaenda kupewa nguvu za kisheria kufanya chochote kwa mtu au kiongozi yeyote katika jamii.

Pengine Rais Samia hajui madhara ya sheria hii au anajua ila anataka kuitumia kuwadhibiti wapinzani wake ndani ya chama na nje ya chama kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Huko miaka ya nyuma Rais wa Argentina Cristina Fernández de Kirchner alitunga sheria ya namna hiyo kwa ajili ya kujilinda yeye na madaraka yake. Idara ya usalama wa taifa katika nchi hiyo ilipewa nguvu za kufanya chochote bila kuhojiwa wala kuwajibishwa na yeyote kama ambavyo muswada huu unavyotaka kuwapa nguvu TISS. Kwamba watu walitekwa na kuuliwa na idara hiyo wakiwemo wanahabari na wapinzani wa serikali tangu miaka ya 1990+

Baada ya mauwaji na utekaji huo kukithiri tarehe 18 January 2015 bunge la Argentina lilitakiwa kupokea ripoti ya mpelelezi binafsi Bw. Alberto Nisman aliyefanya kazi ya kupeleleza vifo tata, utekaji na ufisadi uliokuwa unaikumba nchi hiyo. Lakini kabla ya mpelelezi huyo kufika mbele ya bunge aliuwawa na idara hiyo ya usalama wa taifa kwa kisingizio kile kile cha usalama wa taifa. Kwamba nchi imeibiwa na kufisadiwa watu wanataka kufichua wezi wa taifa wanauliwa kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Baada ya kifo cha mpelelezi huyo bunge liliamua kumwita mkurugenzi wa mkuu mstaafu wa shirika hilo la kijasusi ili ahojiwe na kamati ya usalama ya bunge na aweze kuwapa mwongozo namna ya idara hiyo ya upelelezi inavyofanya kazi. Wakati huo hata Rais wa nchi hiyo alikuwa akitafuta namna ya kuifuta idara hiyo ya usalama ambayo kwa wakati huo ilikuwa imeota mizizi mikubwa na inamwaribia mpaka uongozi wake kwa umma.

Siku moja kabla ya mkurugenzi mkuu huyo mstaafu wa idara ya usalama kufika mbele ya bunge la Argentina alitekwa na idara ya usalama wa nchi hiyo na kufichwa kusikojulikana. Bunge la Argentina likaona huo ni upumbafu na kwamba hiyo haikuwa idara ya usalama wa nchi tena bali lilikuwa genge la wezi walioiba pesa na mali za umma na kutesa raia, wanahabari pamoja na wapinzani. Hivyo bunge hilo likafanya maazimio na kufuta idara hiyo.

Sheria ya namna hii ilitumika katika utawala wa madikteta wengi hapa Africa kutesa wapinzani na kuiba mali na pesa za umma. Idd Amin alitumia sheria hii kutesa na kuuwa wapinzani wake, Hastings Kamuzu Banda aliitumia sheria kuwateka na kuuwa mawaziri wake na wabunge. Mobutu alitumia sheria hii kuwauwa Waziri Mkuu Evariste Kimba, Jerome Anany -Waziri wa Ulinzi, Emmanuel Bamba - Waziri wa Fedha na Alexandre Mahamba - Waziri wa Nishati na Madini kwa madai kuwa usalama wa taifa waligundua viongozi hao walikuwa hatari kwa taifa.

Idara ya usalama ya taifa ya Zaire au Congo wakati wa Mobutu mwaka 1968 lilimkamata Pierre Mulele aliyekuwa rafiki mkubwa wa waziri mkuu wa kwanza na mpigania uhuru wa nchi hiyo Patrice Lumumba. Mulele ambaye alikuwaga waziri wa elimu wakati wa serikali ya Lumumba alikamatwa na kupelekwa kwenye black site za usalama wa taifa na kuanza kukatwa kidole kimoja badala ya kingine, mguu mmoja badala ya mwingine mpaka alipopoteza maisha akiwa kwenye mateso makali.

Sasa leo ndio Samia anaturudisha na sheria hizi ambazo madikteta walizitumia kujilimbikizia mali huku wakitesa na kuuwa wapinzani wao. Fikiria sheria za gizani namna hii zinaletwa karne ya 21 ambayo tunafikiria kuwa na katiba mpya yenye mambo mapya pamoja na kuboresha idara ya usalama wa taifa kwa maslahi ya taifa na sio kwa maslahi binafsi ya viongozi.

Kataeni sheria hii ya Samia ni hatari na haifai kwa nchi hii kwa hapa ilipofikia.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 2640691
Nchi zote zenye uongozi makini zinaweka mifumo yake ya kiulinzi na kiusalama kwa kuangalia maslahi mapana ya taifa, wala siyo kwa tamaa ama utashi wa kisiasa ama maslahi ya chama tawala kutaka kubakia madarakani kwa gharama yoyote ile.

Katika muswada huu Rais atakuwa anajiaibisha yeye mwenyewe na serikali ya chama chake, inaonyesha ni kwa jinsi gani yeye na chama chake ni wenye mashaka mengi. Wanatambua kuwa wapo katika hofu kubwa kwa kadiri miaka ya chaguzi za 2024 na 2025 zinavyozidi kukaribia. Kwa hiyo basi kilichobaki ni kutumia hila na hadaa ili kuudhibiti upinzani dhidi a chama tawala.

Mambo ni mengi na muda ni mfupi, kuna minyukano ndani ya chama chake kote bara na visiwani, kuna muitikio chanya kwa wananchi kwa vyama vya siasa hasa hasimu wake mkuu CDM, kuna viguvugu la wanaharakati ambalo kwa sasa linapata "attention" kubwa katika makundi yote ya kijamii, kuna hii idara yenyewe ambayo Ina mgawanyiko mkubwa ndani yake kifuatana na kifo cha Mkuu aliyepita.

Ni vyema kama nchi ukasukwa mfumo imara wa taasisi nyeti ya urais kuliko kumfanya Rais kuwa ndiye kila kitu. Rais anapaswa kudhibitiwa hata kama ndiye kiongozi wa juu wa taasisi hii. Kuruhusu taasisi hii kuendeshwa kama chombo cha mtu binafsi, kwa hisia, na mihemuko, kama nchi tunakwenda kuchuma majanga.

Hakuna atakaye baki salama, kila asiyejipendekeza kwa Rais atashughulikiwa. Zitawelwa hila dhidi ya watu tishio kwa watawala, wataumizwa na kuuawa kisa kwa kisingizio tu cha kulinda usalama wa taifa, pasipo wahusika kuwajibishwa kupitia matendo yao. Hii ni aibu kwa watawala kutaka kufanya hila katika masuala nyeti ya taifa letu la Tanzania.
 
Hi

Hii haitakubarika , Na Mungu wetu yupo up to date wapitishe tuone ,nimezoea funga kwa siku 14 pale inabidi ila wenda kwa hili siku zikaongezeka , watu wanakuja na miswada kama vile hawatakufa ,tuangalie miaka 100 mbele sasa watu wanaangalia miaka 5 mbele kama vile hatufi ,huu ni upumbavu

Kwamba unaipa madaraka makubwa kitengo na wawe chini yako ,kwamba we nani ,na je hutokufa ,? Ujinga mtupu,

Wasishitakiwe kwamba wao ni juu ya tz, ujinga

Kwamba wanakamata je ndo chombo pendwa kuliko vyote ujinga

Tz tuna watu wasomi wa ajabu na mambo ya ajabu period, ndo maana mswada kama huu umetengezwa na wasomi wajiitao, wa ajabu ila wa ajabu sana,

Nami nasema kama Mungu alivyo juu yetu ,yoyote yule alieshiriki tunga vifungu hivi Mungu akampe stahili ile anaona inafaa na imekua,
Amen
 
Ni ujinga na wenda wazimu kutunga sheria eti kwa kulenga wanaoitukana serikali, zitungwe sheria kwa kwa kuzingatia taifa kwanza kwa miaka mia ijayo na kwa kizazi kijacho,

Huu ni upuuzi eti unakimbiza limswada kujilinda na wakosoaji na watukanaji ,

Tatizo Afrika kiongozi akisha kuwa pale juu sijui hujiona nani , wakati ni binadam yule yule wala kuwa pale hakujambadilisha kitu chochote nje ya kuwa na kipato cha juu kuliko wengine,

Sasa endeleen mtajua hamjui ,nasema hili kwa confidence kubwa mno maana Mungu wangu yupo up to date sana
Hii nchi ni mali ya Ccm, acha wafanye watakalo.
 
Wasiwasi wa matendo waliyofanya awamu ya Tano... tatizo lakuwa na wabunge ambao wanaona mpaka mwisho wa pua zao, hawaoni mbali!!! Leo tunarais mungwana, Je vp akitokea rais katili kama au kumzidi yulee... Ninini kitamzuia kumwaga damu ya yeyote anayempinga???
 
Serikali ya Rais Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa - TISS ambao kwa ujumla wake una mapungufu mengi ikiwemo kuwapa kinga ya makosa ya jinai kwa maafisa wa idara hiyo. Jambo hili limezua mijadala maeneo tofauti watu wakiuliza Rais Samia anataka kuwatumia maafisa hao kufanya jinai gani kiasi kwamba analazimika kuwatungia sheria ya kuwalinda na jinai watakazofanya?

Ukiachilia mbali maafisa wa TISS kupewa kinga ya kijinai pia muswada huo unapendekeza kuwemo manaibu wakurugenzi wakuu wawili wa usalama wa taifa - TISS upande wa Zanzibar na Bara au Tanganyika. Katika mapendekezo hayo vigezo vya naibu mkurugenzi mkuu wa Zanzibar lazima awe Mzanzibar wakati huo upande wa naibu mkurugenzi mkuu Bara hakuna kigezo cha Uzanzibari au Utanganyika, yani anaweza kuwa yeyote.

Mambo mengine ni kwamba katika muswada huo Idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS imeondolewa usimamizi wake chini ya waziri na kupelekwa kwa Rais moja kwa moja. Yani muswada huo ukipitishwa ni kwamba idara ya usalama wa taifa - TISS itapewa mamlaka makubwa ambayo sio waziri wa bunge ambalo linaweza kuhoji au kuwawajibisha kwa makosa yoyote yakiwemo utekaji na mauwaji ya raia au viongozi ndani na nje ya nchi. Kwamba kwa sheria hiyo TISS wanaweza kumuuwa waziri mkuu, mbunge ,viongozi wa upinzani etc na wakasingizia kuwa wamefanya mauwaji hayo kwa sababu ya usalama wa taifa.

Fikiria mashirika makubwa ya kijasusi duniani ikiwemo CIA ya Marekani, M16 ya Uingereza na mengineyo yanawajibika kwa bunge na wakurugenzi wakuu wa mashirika hayo lazima wafanyiwe vetting na bunge. Kwamba wakati nchi zingine zikipambana kuimalisha mashirika yao ya kijasusi kwa ajili ya kulinda uchumi wa taifa, pesa za umma na usalama wa raia na mipaka sisi idara yetu ya ujasusi ndio inazidi kudidimizwa kwa kutungiwa sheria ambazo haziisaidii taifa kwa usalama wa uchumi, pesa na mali za umma n.k.

Nilitegemea kwamba Rais Samia angeboresha idara hiyo ya usalama wa taifa - TISS kimafunzo na sheria ili imsaidie kukabiliana na usalama wa uchumi, kudhibiti ufisadi na wizi kama ilivyo hapo jirani Rwanda na baadhi ya nchi zingine ambazo idara za usalama zinafanya vema katika eneo hilo. Matokeo yake yamekuwa kinyume na kwamba idara hiyo ambayo ni maarufu kwa jina la wasiojulikana inaenda kupewa nguvu za kisheria kufanya chochote kwa mtu au kiongozi yeyote katika jamii.

Pengine Rais Samia hajui madhara ya sheria hii au anajua ila anataka kuitumia kuwadhibiti wapinzani wake ndani ya chama na nje ya chama kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Huko miaka ya nyuma Rais wa Argentina Cristina Fernández de Kirchner alitunga sheria ya namna hiyo kwa ajili ya kujilinda yeye na madaraka yake. Idara ya usalama wa taifa katika nchi hiyo ilipewa nguvu za kufanya chochote bila kuhojiwa wala kuwajibishwa na yeyote kama ambavyo muswada huu unavyotaka kuwapa nguvu TISS. Kwamba watu walitekwa na kuuliwa na idara hiyo wakiwemo wanahabari na wapinzani wa serikali tangu miaka ya 1990+

Baada ya mauwaji na utekaji huo kukithiri tarehe 18 January 2015 bunge la Argentina lilitakiwa kupokea ripoti ya mpelelezi binafsi Bw. Alberto Nisman aliyefanya kazi ya kupeleleza vifo tata, utekaji na ufisadi uliokuwa unaikumba nchi hiyo. Lakini kabla ya mpelelezi huyo kufika mbele ya bunge aliuwawa na idara hiyo ya usalama wa taifa kwa kisingizio kile kile cha usalama wa taifa. Kwamba nchi imeibiwa na kufisadiwa watu wanataka kufichua wezi wa taifa wanauliwa kwa kisingizio cha usalama wa taifa.

Baada ya kifo cha mpelelezi huyo bunge liliamua kumwita mkurugenzi wa mkuu mstaafu wa shirika hilo la kijasusi ili ahojiwe na kamati ya usalama ya bunge na aweze kuwapa mwongozo namna ya idara hiyo ya upelelezi inavyofanya kazi. Wakati huo hata Rais wa nchi hiyo alikuwa akitafuta namna ya kuifuta idara hiyo ya usalama ambayo kwa wakati huo ilikuwa imeota mizizi mikubwa na inamwaribia mpaka uongozi wake kwa umma.

Siku moja kabla ya mkurugenzi mkuu huyo mstaafu wa idara ya usalama kufika mbele ya bunge la Argentina alitekwa na idara ya usalama wa nchi hiyo na kufichwa kusikojulikana. Bunge la Argentina likaona huo ni upumbafu na kwamba hiyo haikuwa idara ya usalama wa nchi tena bali lilikuwa genge la wezi walioiba pesa na mali za umma na kutesa raia, wanahabari pamoja na wapinzani. Hivyo bunge hilo likafanya maazimio na kufuta idara hiyo.

Sheria ya namna hii ilitumika katika utawala wa madikteta wengi hapa Africa kutesa wapinzani na kuiba mali na pesa za umma. Idd Amin alitumia sheria hii kutesa na kuuwa wapinzani wake, Hastings Kamuzu Banda aliitumia sheria kuwateka na kuuwa mawaziri wake na wabunge. Mobutu alitumia sheria hii kuwauwa Waziri Mkuu Evariste Kimba, Jerome Anany -Waziri wa Ulinzi, Emmanuel Bamba - Waziri wa Fedha na Alexandre Mahamba - Waziri wa Nishati na Madini kwa madai kuwa usalama wa taifa waligundua viongozi hao walikuwa hatari kwa taifa.

Idara ya usalama ya taifa ya Zaire au Congo wakati wa Mobutu mwaka 1968 lilimkamata Pierre Mulele aliyekuwa rafiki mkubwa wa waziri mkuu wa kwanza na mpigania uhuru wa nchi hiyo Patrice Lumumba. Mulele ambaye alikuwaga waziri wa elimu wakati wa serikali ya Lumumba alikamatwa na kupelekwa kwenye black site za usalama wa taifa na kuanza kukatwa kidole kimoja badala ya kingine, mguu mmoja badala ya mwingine mpaka alipopoteza maisha akiwa kwenye mateso makali.

Sasa leo ndio Samia anaturudisha na sheria hizi ambazo madikteta walizitumia kujilimbikizia mali huku wakitesa na kuuwa wapinzani wao. Fikiria sheria za gizani namna hii zinaletwa karne ya 21 ambayo tunafikiria kuwa na katiba mpya yenye mambo mapya pamoja na kuboresha idara ya usalama wa taifa kwa maslahi ya taifa na sio kwa maslahi binafsi ya viongozi.

Kataeni sheria hii ya Samia ni hatari na haifai kwa nchi hii kwa hapa ilipofikia.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 2640691
Ila wajue kuwa what goes around come around
 
Daa nchi yangu:-
1. Huyu analeta sheria mpya ili kulinda baadhi ya watu wake na kumlinda yeye badala ya kutengeneza sheria ya kuwalinda watanzania wote. Mwenzake aligeuza mgambo wa maliasili kuwa jeshi usu na zimamoto kutembea na silaha za moto mwisho wa siku ni mauaji kila siku kwenye mbuga za wanyama, ziwani, kwenye mito, maporini, mistuni. n.k
2. Na wabunge wetu walivyowasahaulifu wataipitisha wakifikiri itawakomesha wapinzani na raia tu kumbe mbele ya safari itawangáta wao na kama sio wao basi ndugu zao.
3. Ni wakumbushe tu Bashe, Nape, Januari na Ndugai wakati mnapitisha hii sheria kumbukeni madhila yaliyowapata wakati wa utawala uliopita Pia Mzee Makamba na Kinana kumbukeni mlivyobatizwa kwa moto.

Kwa ufupi sana hii sheria ni nzuri tu kwa wale walio karibu na kiongozi husika kwa muda fulani. Lakini akija kiongozi mwingine hawa hawa watakaoipitisha sasa watabatizwa kwa moto na sheria hii hii wanayotaka kuipitisha. Kwa kuwa sisi binadamu tuna tabia ya ubinafsi na kujisahau bila shaka hii sheria itapitishwa kwa kishindo lakini Mungu alivyo fundi hawa hawa wanaoipisha wengi wao itakuja kuwanyoosha huko mbele ya safari.

Muda ni mwalimu mzuri.

Ni tizamo tu
 
Usarama wa taifa kupewa uwezo huo si hatari kwa wanainchi wa kawaida Bari mafisadi"

Na Kama mnavyo jua majizi nimajitu yenye mapesa mengi kiasi kwamba Yana mzidi nguvu mpaka raisi kwenye maamzi ya Kima endeleo


Na raisi akiwauliza Usarama wa taifaHawa watu vipi?

Wana mwambia tunaweza kuwadhibiti Hawa majizi lakini nyuma yao Kuna akina nanii na nanii pale bungeni na wizarani na pale mahakamani Sasa tunashindwa


Nafikiri ndiyo maana samia ameamua kuwapa uwezo Usarama wa taifa kufanya kazi automatically pale ambapo panapaswa kushughulikiwa haraka

Nakisha baadae wakatoa maelezo kwa bosi wao ambaye atakuwa ni raisi tu sio waziri frani Tena wakati waziri huyo ndiye aliye nyuma ya mafisadi nama jizi kwataifa letu

Nina imani mm sheria hii ninzuri isipokuwa kuwe na marekebisho madogo madogo sababu

Tanzania panaonekana Kuna serikari ndani ya serikari

Serikali hiyo inaitwa

SERIKALI YA MAFISADI ISIYO FIKIKA ILIYO JIFICHA NDANI YA SERIKALI YA WANAINCHI KIVULI

kwa hiyo Nanjia pekee nikuiwezesha TISS ili ibaki serikari sahihi isiyo weza kumyumbisha raisi.

Haiwezekani raisi anaongea hili waziri anaongea hili.
Raisi anatoa billion 2 wizara husika inapokea Kisha inatoa million 200 nyingine mfukoni

hukunyuma WANAINCHI hawapati huduma kwa MDA wanaanza kumlaum raisi

Amini nawaambieni Usarama wataifa utakuwa unanguvu ya kufanyia kazi hata maoni yenye Tina mnayo yaweka jf na kuya fanyia kazi kwa vitendo
 
Back
Top Bottom