Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa, umewapa 'Kinga ya Jinai' Maafisa Usalama
Rais hatoisaini sheria hiyo hata ikipitishwa bungeni.

Cheza na yeyote usicheze na mama. Hakuchaguliwa na mtu mama, ni chaguo la Mungu.

Mwenyezi Mungu hafanyi makosa.


Hiyo ni michezo ya sukuma gang ikiratibiwa na Kassim Majaliwa Majaliwa.
Aiseeeeeeee..
 
The inner strength of this law willbe used against themselves.(viongozi)

Nami natazama nikaona There shall be cries and gnashing of teeth.
And no body will stand in between to help. Acha waipiteshe muda utaongea. Tutarudi kufukua nyuzi humu endapo JF itaendelea ku survive hata mwisho maana wakimchukua Maxence Melo ili aminye uhutu humu kwa kisingizio cha maslahi ya taifa hakuna atakaye salia salama
Sasa hivi ni kuwa makini na unachopost
 
Maana yake wataweza mteka mfanyakazi wa JF na kulazimisha kupata watu wanaowataka.


Hapo mbona itasababisha na wao waanze kuwindwa?
Haitaishia hapo, hata mkikutana bar mkagombana anaweza kukudhuru na kusema alikua anatekeleza majukumu yake. Kuna mambo binafsi yataingia sana kwa kichaka cha kutekeleza majukumu
 
Usarama wa taifa kupewa uwezo huo si hatari kwa wanainchi wa kawaida Bari mafisadi"

Na Kama mnavyo jua majizi nimajitu yenye mapesa mengi kiasi kwamba Yana mzidi nguvu mpaka raisi kwenye maamzi ya Kima endeleo.....
Hao mafisadi wengi ndio referees huko. Pia Hakuna haja ya kumvizia fisadi na kumalizana nae gizani maana utasingizia hata wasiohusika.

Kama Kuna fisadi Sheria zipo wazi, Kama Sheria zilizopo haturidhiki nazo tutunge zingine za kuwahukumu zaidi
 
Hapa hao TISS wenye visasi na raia wataitumia hiyo sheria ya kihuni kutumaliza, hii nchi ina watunga sheria wapumbavu sana, hatma yetu iko mikononi mwa Mungu pekee.
Bahati mbaya pia wapo polisi ambao pia ni watu wa usalama, hivyo hata ukijichanganya kwa polisi ambao ni usalama umeisha.

Nawaza wale Askari waliofanya mauaji kule mtwara kwa yule kijanawenye madini, vipi mmoja wao akiwa ni mtu wa usalama? Ina maana kesi inakuwa haipo?
 
Naamini Mama Mh Dr Samia hawezi kukubali kusaini sheria inayoelekea kuleta machafuko kwa watu wake alioapa kuwalinda.
Tatizo kabla ya kwenda bungeni ilianzia kwenye baraza ambalo raisi ni mwenyekiti. Ina maana imeanzia kwake
 
Haya mabadiliko yamefanyika au ni muswada tu umepelekwa bungeni?
Yatafanyika mda si mrefu usijari,serikali yetu ni sikivu sana chini ya raisi wetu mpendwa na mpenda amani na haki sawa kwa wote .
 
Thanks a lot Sumu Ya Nyigu kwa ufafanuzi mzuri ,kweli hii sheria ikipita itakuwa hatari.
 
Naona Kabisa Usalama wa Taifa wakiwa untouchable na yoyote chini kidogo Tu ya Nguvu kubwa iliyonayo Cheo Cha Rais wa Jamhuri ya Tanzania Naam wanaenda kuwa Mungu watu wakihodhi mamlaka, Nguvu na Sheria zikiwabeba kwa kila kitu je hili ni Sawa kweli? Slogan ya Jamii forum ni kwamba is the house of great thinkers si Ndio? Kama Ndio tuone uchambuzi wenye tija juu ya faida,hasara na madhara ya kupitishwa na Bunge la Tanzania Kwa Sheria hii mpya ya usalama wa Taifa
 
Back
Top Bottom