Muujiza wa Kwanza alioufanya Yesu ni kubadili maji kuwa divai. Kwanini Makanisa mengi yanahubiri kuwa pombe ni dhambi?

Soma aya ya 9.
Je walevi watauona UFALME WA MUNGU?
he huko tayari kuukosa UFALME WA MUNGU sababu ya ulevi
So tumekubaliana kwanza kwamba vyombo ni ruksa kwa mujibu wa biblia ila shida yako unataka kujua mstari wa wapi imeandikwa watu waende bar kupiga vyombo si ndio
 
Soma aya ya 9.
 
Hema la kukutanikia ni hekalu
 
Kwani YESU aliwahi kufanya mapenzi?
Mbona NYIE wakristo mnafanya mapenzi?.
Kwanini msiseme kwa kuwa yesu hakufanya mapenzi na NYIE HAMFANYI.
Yesu alishuka duniani kwa lengo moja tu.

Kuwatangazia walimwengu Habari Njema ya Ufalme wa Mbingu.

Alipo maliza alipaa Mbinguni.
 
Soma aya ya 9 mpaka ya 10
 
Ili USIWE mlevi unatakiwa unywe bia kuanzia ngapi?
Au alcohol ngapi imewekwa Kama kipimo yaani ukifika hyo alcohol inakuwa umekuwa mlevi.
Walevi ni hao nilio waorodhesha hapo juu.
Sio wanaokunywa Pombe.

Ni kama Walafi, Sio wasio kula Chakula.
 
Mbona andiko la kukatazwa kunywa pombe hekaluni lipo.
Ila andiko la kuruhusu kunywa pombe kilabuni halipo?
Au muandishi alisahau [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu ukiona kitu kinakatazwa sehemu flani tu maana yake sehemu zingine kinaruhusiwa.
Ukiona unaambia Usinywe ukiwa kazini ni kwasababu pombe inaruhusiwa kunywewa sehemu zingine.
Huwezi kukuta katazo kinasema usivute bangi ukiwa kazini kwasababu bangi hairuhusiwi popote..
 
Soma aya ya 9 mpaka ya 10
 
Soma aya ya 9 mpaka ya 10.
Paulo huyo huyo anasemaje?
Kwani kunaandiko Mungu katuruhusu Kula, au katuruhusu kula Soseji.
Ila Tu katwambia kabisa kimwingiacho Mtu hakimtii unajisi inatosha kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…