mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Soma aya ya 9.
Je walevi watauona UFALME WA MUNGU?
he huko tayari kuukosa UFALME WA MUNGU sababu ya ulevi
Je walevi watauona UFALME WA MUNGU?
he huko tayari kuukosa UFALME WA MUNGU sababu ya ulevi
So tumekubaliana kwanza kwamba vyombo ni ruksa kwa mujibu wa biblia ila shida yako unataka kujua mstari wa wapi imeandikwa watu waende bar kupiga vyombo si ndio