Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Siku zote nawaona wazinzibar kama mapunguani fulani bado wana hulka za kishamba za uarabu ( ubaguzi) siwapendi kutoka moyoni
Na wao hawakupendi.
Ila wewe ndio punguani.
Ukitaka kupakuliwa useme.
 
Wanzanzibari wenyewe hawapendi shule, hivi kweli mtu anaenda shule afundishwe kiarabu, uislamu si akajifunze akitoka shule ama likizo?ndio maana wanafeli Sana kwa kuendekeza ujinga wao
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Na wao hawakupendi.
Ila wewe ndio punguani.
Ukitaka kupakuliwa useme.
Kapimwe ubongo huo kimekuuma nn au na ww mmojawapo wa mapunguani aseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kuvaa vazi la hijab, kufunga Ramadhan, kusoma somo la dini ya kiislam na lugha ya kiarabu ni miongozo ya Wizara katika kuendesha shule basi kuna shida mahali fulani😳
Shida unayo wewe.
 
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Zanzibar
 
Yaani sijui walizindika vitu gani kuendelea na huu muungano wa hivi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani huyo mwenye shule kawalazimisha kwenda kusoma pale? Si wameenda kutafuta elimu kwanini wasifuate kilicho wapeleka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni obvious Tz Batra Waislamu ni wengi Mikao mitatu tu Kati ya 26. Tanga, DSM, na Lindi.

Pia Mikao minne ni 50/50. Mtwara, Morogoro, Dodoma, Tabora,

Mikoa mingine 20 ni 80-90% Wakristo.
Tabora na Mtwara wapo mjini lakini huko vijijini wamejaa Wakristo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…