Utampelekaje mtoto kwenye shule yenye utaratibu wake wa dini flani?Hapo Kama umesikiliza vizuri wenye shule ndio wanaotaka kuleta udini utamlazimishaje kumfundisha mtu masomo ya dini isiyokuwa yake hiyo ni shule ya wanafunzi mchanganyiko mmiliki wa shule aache ubaguzi
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ingekuwa unayosema wewe ni kweli mwenye shule asingekiri na kukubali kufuata Sheria Kama zinavyomuongozaKinachosumbua hapo ni udini
Sekta ya elimu inatakiwa kuwa huru mfano Tanzania bara ni hiari ya shule kufundisha masomo ya Dini au kuyaacha kabisa.
Za private ziko Muslim schools na Christian schools.
Mtu alienda Muslim schools anakutana na ya kiislamu kibao kuanzia kuvaa hizo hijabu nk akienda Christian schools atasali kikristo nk Na wazazi huridhika
Zanzibar hicho kinafanyika ni kutaka kulazimisha mwenye Shule ageuze shule kwa lazima iwe Muslim school
Zanzibar mbona Muslim schools ziko kibao wazazi wapeleke watoto wao huko huo ni ukorofi usio na sababu mtu kafungua Christian school yake kwa Nini umkomalie kuwa lazima iwe Muslim school.
Hii ichukuliwe kama kero ya muungano.Ichukuliwe wazi kabisa kuwa huyo mwenye shule ananyanyaswa kidini
Raisi Mwinyi aingilie kati Hilo swala haraka
Huyo akufukuzwa shule imefungiwa kwa muda ili ajirekebisheHuku ni sheria ngapi wanazivunja na bado hatuwafukuzi?
Kwa maelezo iyo shule ni mchanganyiko ila mwenye shule anataka kuifanya ya kikristo bila kufuata SheriaKumbe serikali ya mapinduzi Znz inaendesha ubaguzi wa kidini!!!
Kuna umuhimu gani wa kufunga shule ya kikristo huko wakati kuna shule nyingi za kiislamu?!!!
Hiyo shule sio ya kidini ila mmiliki anataka kuifanya ya kidini bila kufuata utaratibu ndio maana ameambiwa amekiuka Sheria nae amekiri hilo anatakiwa ajirekebisheUtampelekaje mtoto kwenye shule yenye utaratibu wake wa dini flani?
Mkuu angalia trend ya population ya tanzania, angalia gep la idadi kati ya waislam na wakristo miaka ya 60 na saivi 2021....utagundua gep limepungua significantly na hali ikiendelea waislam watakuja kuwa wengi zaidi by 2050Wewe unaingalia Dar na pwani umeenda huko hasa usukumani ? Hivi anaeoa wake wengi kwa minajili yakupata watoto wengi nani? Wewe unao wake wangapi!
Sent using Jamii Forums mobile app
The Fact kwamba mpaka sasa hamna fukuto la watu kujilipua au kulazimishana sheria za dini na Ghasia za watu kutaka iwepo Sharia Law hapa Tanzania inatosha kuonesha ni dini gani ina idadi kubwa.Kwani wakiristo ni wengi kuliko waislam!?..kwa sensa ipi?
Idadi ya watu hupatikana kwa kuwahesabu,sensa..England pametokea ugaidi,ni watu gani wengi!? Kenya ugaidi kila siku,msumbiji..akina Nani wengi huko!!!?..ulisoma ili upate vyeti siyo!!!..na si kuelimika,hoja gani za kipang'ang'a unaleta hizo!!The Fact kwamba mpaka sasa hamna fukuto la watu kujilipua au kulazimishana sheria za dini na Ghasia za watu kutaka iwepo Sharia Law hapa Tanzania inatosha kuonesha ni dini gani ina idadi kubwa.
Sasaivi raisi ametoka zanzibar mumeanza jitihada za kumkwamishaHivi Tanganyika inanufaika na nini Na Zanzibar hadi kuendelea kuwabeba hawa Watu?
Inaonekana mambo ya Tanganyika Ndio mambo ya Muungano na Mambo ya Zanzibar ni mambo ya Zanzibar!!!!
Inakuaje watu kutoka Tanganyika wamepigwa marufuku kufanya kazi Serikali ya Zanzibar ili hali wazanzibar ni wamejazana huku Tanganyika hadi Kuziba Ridhiki zetu...
Watanganyika tuache kuona kila jambo alilofanya Nyerere ni Hazina ili hali na yeye ni Mtu...
Hata Vitabu vya dini vinatutaka Kuhoji kila kitu...
Hofu yangu sasa hivi ni pale atakapoteuliwa Mkuu wa Majeshi, Intelligence, Police na Prisons kutoka Zanzibar ndipo tutakapo ita maji Mma!!
Mimi naona Bora watanganyika nao waanze tu Kuwabagua wazanzibar kama wao was anavyotubagua sisi!
Hawa watu wanabenefit sana na hili limungano
Hata loans chuo yanapata kotekote Heslb yakiomba yanapewa na kule Zanzibar yanapewa!
Kuna jamaa nimesoma nae alikuwa Loan beneficiary’ wa Bodi zote aghaaa!!
Watanganyika tuwe makini
Hao watu walioleta ugaidi kwenye hizo nchi ulizotaja ukifuatilia utagundua 90%+ wana dini moja...dini ya amaniIdadi ya watu hupatikana kwa kuwahesabu,sensa..England pametokea ugaidi,ni watu gani wengi!? Kenya ugaidi kila siku,msumbiji..akina Nani wengi huko!!!?..ulisoma ili upate vyeti siyo!!!..na si kuelimika,hoja gani za kipang'ang'a unaleta hizo!!
Umechanganyikiwa!!!?...ulisema tz kwa kuwa hakuna matukio ya ugaidi Basi dini ya magaidi siyo wengi,nikakuuluza huko uingereza kwenye matukio ya ugaidi,magaidi ndiyo wengi!!!?..Sasa hivi unakuja na togwa gani sijui!!Hao watu walioleta ugaidi kwenye hizo nchi ulizotaja ukifuatilia utagundua 90%+ wana dini moja...dini ya amani
Serikali ndio yenye udini hasa angalia viongozi wa serikali walichosema watoto wa kiislamu wafundishwe kurani,kiarabu na kuswali !!!! Imagine!!!!Wamiliki wa shule ndio wadini ndio maana wameambiwa wafuate sheria
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Taja nchi moja duniani ambayo wavaa kanzu ni wengi na nchi inaenda kwa demokrasia na amaniUmechanganyikiwa!!!?...ulisema tz kwa kuwa hakuna matukio ya ugaidi Basi dini ya magaidi siyo wengi,nikakuuluza huko uingereza kwenye matukio ya ugaidi,magaidi ndiyo wengi!!!?..Sasa hivi unakuja na togwa gani sijui!!
Tanzania,Algeria,Tunisia,Morocco,Iran,Senegal,QatarTaja nchi moja duniani ambayo wavaa kanzu ni wengi na nchi inaenda kwa demokrasia na amani
Hahahaha hii ni Mental caseTanzania,Algeria,Tunisia,Morocco,Iran,Senegal,Qatar
Naamini performance ya shule inawavuta wazazi kupeleka watoto shule ya kikristu. Upande wa pili imani ya dini wanaona watoto watabadirishwa imani.Mihemuko ipi kulaziy shule ya Kikristo ichukue waislamu na ifundishe Dini ya kiislamu na kiarabu kwa lazima na irihusu waswali swala Tano? Si waende shule za kiislamu mbona ziko kibao Zanzibar huo ni upnezi wa minority wakristo walioko Zanzibar Wa waziwazi kabisa
Hizo ni chokochoko za kidini waaambieni wazazi wanaotaka watoto wao wasome kiislamu na kiarabu na wapige swala Tano waende shule zao za kiislamu.Hawalazimishwi kupeleka hapo
Wendawazimu huona wengine ndiyo wendawazimuHahahaha hii ni Mental case
Kwanza ulitakiwa kuelewa nini maana ya sheria then ukaisoma sheria ya Elimu Zanzibar inasema nini kuhusu unachozungumza. Naona unahisi sheria ya Elimu Tanzania ndiyo inatumika ulimwenguni kote.Kinachosumbua hapo ni udini
Sekta ya elimu inatakiwa kuwa huru mfano Tanzania bara ni hiari ya shule kufundisha masomo ya Dini au kuyaacha kabisa.
Za private ziko Muslim schools na Christian schools.
Mtu alienda Muslim schools anakutana na ya kiislamu kibao kuanzia kuvaa hizo hijabu nk akienda Christian schools atasali kikristo nk Na wazazi huridhika
Zanzibar hicho kinafanyika ni kutaka kulazimisha mwenye Shule ageuze shule kwa lazima iwe Muslim school
Zanzibar mbona Muslim schools ziko kibao wazazi wapeleke watoto wao huko huo ni ukorofi usio na sababu mtu kafungua Christian school yake kwa Nini umkomalie kuwa lazima iwe Muslim school.
Hii ichukuliwe kama kero ya muungano.Ichukuliwe wazi kabisa kuwa huyo mwenye shule ananyanyaswa kidini
Raisi Mwinyi aingilie kati Hilo swala haraka
Zanzibar kuna ust-Arabu hivyo wasiotaka kufuata masharti ya shule hiyo wasikanyage hapo kwani hawaoni shule za Arabu?Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu