Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

Ingekuwa kila.raisi kafanya kama hivi, tungekuwa na majiji matano sasa tayari! Msongamano Dar ungepunguwa. Watu wa Lake Victoria hamieni Chato sasa.
 
Chimwaga wepesi sana. Wakisema kura ya wazi tu wote kimya.
 
Pumbavu sana
Ninyi si ndio wapiga makofi na kupitisha sheria za hovyo kumpa falme?
 
Pia bahari ataihamishia chato.Hapo nafikiri atakuwa amemaliza kazi.Ubinafsi wa hali ya juu.
 
Natafuta kiwanja Chato wadau.
Ingia website ya NHC tu wasikiana nao kwa Simi ,email au Soma maelezo yao au nenda ofisi yeyote ya NHC popote Tanzania watakuelekeze waambie unataka kiwanja Chato .NHC Wana ofisi nchi nzima.
 
Uwanja wa ndege ,bandari ,kiwanja cha Moira ,hospitabenkil ya rufaa ,mbuga burigi chato ,benki vyenyewe pesa ya kujenga chato IPO ila za kuwaongeza mishahara watumishi hakuna hivi hii inaingia akili ni kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…