ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Ingekuwa kila.raisi kafanya kama hivi, tungekuwa na majiji matano sasa tayari! Msongamano Dar ungepunguwa. Watu wa Lake Victoria hamieni Chato sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kwenu bado mnasubiri REA ?Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott
Are you serious?Afu mnasema anatoka 2025
Labda awe kichaa
Chimwaga wepesi sana. Wakisema kura ya wazi tu wote kimya.Ondoa hofu, trust me, 2020 is almost near ! Watanzania wote ni sawa, wana haki sawa, na wanahitaji kunufaika na cake ya taifa kwa usawa.
Haya anayoyafanya asidhani watanzania wote wanamuunga mkono. Asifikiri pale chimwaga kuwa wote watakao piga kura kuwa wanatoka chato au kanda ya ziwa.
By your information, Pale chimwaga siku hiyo patachimbika and it will be a history....from Zero to Hero! Jamaa hatoamini atakachokiona na ndoto yake ya kutawala milele itaishia pale Chimwaga in July, 2020.
Kwakutumia mishahata yenuMjifunze kupenda nyumbani kwa maendeleo yenu
MwelezeNakuona kumbe wewe ni mgeni hapa jamvini kama unashindwa kuelewa mleta mada ni kada wa ccm kukuzidi hata wewe
Na maarifa yenuKwakutumia mishahata yenu
Pia bahari ataihamishia chato.Hapo nafikiri atakuwa amemaliza kazi.Ubinafsi wa hali ya juu.Nitawaletea mesej kama ilivyotumwa
''Huyu mzee sijui anataka kutupeleka wapi, sisi wabunge WA CCM tukipiga kelele tunaonywa,
Ishu ya Chato mnatake it as a joke lakin mambo haya si ya kukingia kifua, hata hao wanaojipendekeza kuanzisha anzisha mambo yasiyo na msingi, Suala la Uwanja haukukamilika inavyopaswa, Leo wanazindua Burigi, Kesho kutwa sijui nini, kwa taarifa tu ni kwamba bado kuna mengi sana, vipi ishu ya Kuhamisha na kufanya mnada wa mifugo wa Ukanda wote wa ziwa kuwa Geita Chato hamuoni?
Kuna Suala la Kuanza kwa MV chato Haitafika mwakani bila kuzinduliwa, Je wanachato wana mahitaji yao kamili mengine kama Madawa, na huduma za kijamii mpaka kuanzisha mbuga, Mara airport, Mara Meli, Kwanini chato?''
Mwisho wa kunukuu
View attachment 1150003
Britanicca
Mbn mnawaonea sana mama zetu hivi Nyie hamuwezi mkajitukana wenyewe Bila kumuingiza mama!khaMbwa mama yako
Hakuna hata airline moja yenye ruti hiyo hata Airtanzania wenyewe, hakuna!Nauli ya kwenda chato kwa Airbus ni sh ngapi wadau?
Afu mnasema anatoka 2025
Labda awe kichaa
Aende NHC is not a big deal au aingie website yao tu hahitaji dalali.
Ingia website ya NHC tu wasikiana nao kwa Simi ,email au Soma maelezo yao au nenda ofisi yeyote ya NHC popote Tanzania watakuelekeze waambie unataka kiwanja Chato .NHC Wana ofisi nchi nzima.Natafuta kiwanja Chato wadau.
Natumai amekuskiaAende NHC is not a big deal au aingie website yao tu hahitaji dalali.
Yaani watu wa Bukoba huu ni mwaka WA nne hawana Meli na kuna bandari mbili kule mtu unajengea Meli chato?