Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Mvua kubwa iliyonyesha Dar es salaam asubuhi ya kuamkia Leo tarehe 20.01.2024 imeleta madhara makubwa katika miundombinu,nyumba za watu kubomoka na magari kusombwa na maji kama picha na video zinavyoonyesha hapa

Tuendelee kumuomba Mungu atunusuru na majanga haya ya mvua




 
Yaani jua la Desemba lilijua kuniwakia aiseeh, nilikuwa na hekaheka za kariakoo, buguruni, ilala karibu kila wiki.

Unatiririka jasho zile leso kubwa unajifuta inajaa majasho inakuwa mbichi unafanya kuikamua.

Nilikuwa nikitoka nabeba leso 3, miwani ya jua na mwamvuli. Nikirudi nyumbani nafikia bafuni navaa kivesti gauni nakaa mezani kula matunda aiseeh navuja majasho utasema kuli wa bandari.
Sema sikuwa na kitoyoyozi na feni inaniumiza mafua, basi tabu tupu.

Kwenye jua unapigika na joto na majasho ila shughuli zinafanyika na zinaendelea kama kawaida.

Mvua sasa, hali ya hewa nzuri ila shughuli zinasimama, saa ingine hata kama una gari hutoki, barabara hazipitiki, foleni, yaani mateso bila chuki.

Bongo daresalamu.
Jua lilikuwa serious na kazi yake aisee
 
Mungu huyo kama yupo, Anashindwaje kudhibiti Radi hizo zisilete maafa kwa binadamu?

Watu wana mlilia Mungu huyo awaokoe na majanga ya asili kama vimbunga, mafuriko, matetemeko ya ardhi Lakini Nothing happens wanaishia kufa tu.

Rejea Matetemeko ya ardhi ya Syria, Uturuki na Morocco maelfu ya watoto wachanga wasio na hatia yeyote wamekufa na huyo Mungu Ameshindwa kuwa okoa.

Huoni kwamba Mungu huyo hayupo ndiyo maana hata wanaomlilia awaokoe wanaishia kufa tu?
Kufa lazima tu. Funza nao wanamlilia njaa.
 
Yaani jua la Desemba lilijua kuniwakia aiseeh, nilikuwa na hekaheka za kariakoo, buguruni, ilala karibu kila wiki.

Unatiririka jasho zile leso kubwa unajifuta inajaa majasho inakuwa mbichi unafanya kuikamua.

Nilikuwa nikitoka nabeba leso 3, miwani ya jua na mwamvuli. Nikirudi nyumbani nafikia bafuni navaa kivesti gauni nakaa mezani kula matunda aiseeh navuja majasho utasema kuli wa bandari.
Sema sikuwa na kitoyoyozi na feni inaniumiza mafua, basi tabu tupu.

Kwenye jua unapigika na joto na majasho ila shughuli zinafanyika na zinaendelea kama kawaida.

Mvua sasa, hali ya hewa nzuri ila shughuli zinasimama, saa ingine hata kama una gari hutoki, barabara hazipitiki, foleni, yaani mateso bila chuki.

Bongo daresalamu.
Mvua na jua tunavihitaji kwa kiasi
 
Pia ningeshauri kuwe na jumuiya za kina baba, kuna saa unaenda jumuiya kusali, viongozi ni wanawake , baada na kabla ya sala ni umbea kukutana na ukike ukike mwingi , kwa mwanaume jumuiya ijayo kwenda ni ngumu.
Wanaume wenyewe wakwenda jumuiya wapo wapi? Bila wanawake hakuna kanisa!
 
Back
Top Bottom