TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Mvua kubwa iliyonyesha Dar es salaam asubuhi ya kuamkia Leo tarehe 20.01.2024 imeleta madhara makubwa katika miundombinu,nyumba za watu kubomoka na magari kusombwa na maji kama picha na video zinavyoonyesha hapa
Tuendelee kumuomba Mungu atunusuru na majanga haya ya mvua
Tuendelee kumuomba Mungu atunusuru na majanga haya ya mvua