heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Mi niliamua kuweka kindege asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi hukoTokea saa 10 sijalala, radi kama zote
Bora mvua inyeshe tuchote maji ya mvua sababu Dawasco ni wiki ya 2 sasa wamegoma kufungua maji huku kwetu.
Any ol' thing ilimradi inikae vizuri mkononi.Unataka brand gani 😊
Tuone mkono wakoAny ol' thing ilimradi inikae vizuri mkononi.
Eneo mojawapo hapa dar wilaya ya ilala.Wapi huko
Ingekuwa thread ya picha ningekupatiaTuone mkono wako
Tz bonge ya nchiTokea saa 10 sijalala, radi kama zote
Bora mvua inyeshe tuchote maji ya mvua sababu Dawasco ni wiki ya 2 sasa wamegoma kufungua maji huku kwetu.
Huwa mnanishangaza unaona kabisa kuna dimbwi na wewe unasimama hapo hapo kusubiria bodaboda! 😅😅😅wenye magari yenu na usafiri wenu tunaomba mtembee kwa ustaraabu ole wenu mturushie maji au tope
Wewe uko Kigoma umejuaje ni mvua ndogo?Wakazi wa dar mnafirahisha, mvua kidogo mnafungua thread, huku kugoma radi zinapigwa mpaka miti inakauka lakini fresh na watu hawawezi wala nini? Lakini poleni maana kwa dar mvua kunyesha sio kawaida.
Umetaja Tabora...
Nimepakumbuka kwetu....
Wacha nifanye mchakato niende kusabahi nyumbani.
TRL weeaa aaayuuu..!
Hakuna Pimbi yeyote asiyeemini uwepo wa Mungu, kwani Chifu hujui sifa za wanafki?Wanaosema Mungu hayupo angalieni hatari ya hiyo Radi, nani anaweza kuizuia usimtoe Roho?
Siku za usoni ikinyesha mvua kama hiyo ya Leo na Radi, mala mbili ya hiyo kwa siku tatu mfululizo huko mjini kwenu, nadhani kila mmoja wenu ataanza kumlilia Mungu wake aiweke nchi katika hali ya tulivu wa kawaida.
Kusema Mungu hayupo ni kushiba majivuno tu.
Hii mvua sie iliyotukuta club ni balaa zaidi..unaziona radi mpk pombe zote zinatoka
Nakuvunja miguunavunja kioo😅😅
Mimi umeme ulipokatika tu nikachagua nguo za kuvaa leo nikazikunja vizuri kisha nikaziweka mchagoni nikazilalia, asubuhi ziko poa zimenyooka na panga zinaonekana, nimeokoa hela ya umeme.Kwani ukivaa nguo hivyo hivyo bila kunyoosha na pasi Kuna shida Gani? Utaumwa malaria au?
Mungu huyo kama yupo, Anashindwaje kudhibiti Radi hizo zisilete maafa kwa binadamu?Wanaosema Mungu hayupo angalieni hatari ya hiyo Radi, nani anaweza kuizuia usimtoe Roho?
Siku za usoni ikinyesha mvua kama hiyo ya Leo na Radi, mala mbili ya hiyo kwa siku tatu mfululizo huko mjini kwenu, nadhani kila mmoja wenu ataanza kumlilia Mungu wake aiweke nchi katika hali ya tulivu wa kawaida.
Kusema Mungu hayupo ni kushiba majivuno tu.
Nchi ngumu SanaUmeme umerudi na kukatoka ×5 ndani ya dakika tatu. Hivi hawa jamaa wana akili kweli? Wanataka kuunguza nyumba na vifaa vyetu au vipi?
Duh, hadi nimeshusha main switch, these mofos ni wajinga sana.