Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Wanaosema Mungu hayupo angalieni hatari ya hiyo Radi, nani anaweza kuizuia usimtoe Roho?

Siku za usoni ikinyesha mvua kama hiyo ya Leo na Radi, mala mbili ya hiyo kwa siku tatu mfululizo huko mjini kwenu, nadhani kila mmoja wenu ataanza kumlilia Mungu wake aiweke nchi katika hali ya tulivu wa kawaida.
Kusema Mungu hayupo ni kushiba majivuno tu.
Hakuna Pimbi yeyote asiyeemini uwepo wa Mungu, kwani Chifu hujui sifa za wanafki?
 
Wanaosema Mungu hayupo angalieni hatari ya hiyo Radi, nani anaweza kuizuia usimtoe Roho?

Siku za usoni ikinyesha mvua kama hiyo ya Leo na Radi, mala mbili ya hiyo kwa siku tatu mfululizo huko mjini kwenu, nadhani kila mmoja wenu ataanza kumlilia Mungu wake aiweke nchi katika hali ya tulivu wa kawaida.
Kusema Mungu hayupo ni kushiba majivuno tu.
Mungu huyo kama yupo, Anashindwaje kudhibiti Radi hizo zisilete maafa kwa binadamu?

Watu wana mlilia Mungu huyo awaokoe na majanga ya asili kama vimbunga, mafuriko, matetemeko ya ardhi Lakini Nothing happens wanaishia kufa tu.

Rejea Matetemeko ya ardhi ya Syria, Uturuki na Morocco maelfu ya watoto wachanga wasio na hatia yeyote wamekufa na huyo Mungu Ameshindwa kuwa okoa.

Huoni kwamba Mungu huyo hayupo ndiyo maana hata wanaomlilia awaokoe wanaishia kufa tu?
 
Umeme umerudi na kukatoka ×5 ndani ya dakika tatu. Hivi hawa jamaa wana akili kweli? Wanataka kuunguza nyumba na vifaa vyetu au vipi?

Duh, hadi nimeshusha main switch, these mofos ni wajinga sana.
Nchi ngumu Sana
 
Back
Top Bottom