TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Nikweli Jana haikua hali ya kawaida trust meMlioambiwa watu wa dar hameni mpk ifikapo april mafutiko makubwa yanakuja
[emoji1787][emoji1787] nooo! Mimi ni mtakatifu wa Bwana, pia we ni dada yangu wa pekee!Aaaah weeee nimechekaa[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti Pendaelli patakuwa na mambo ya kimasihara kweli? Mimi si ni kama dada yako?
Jua lilikuwa serious na kazi yake aiseeYaani jua la Desemba lilijua kuniwakia aiseeh, nilikuwa na hekaheka za kariakoo, buguruni, ilala karibu kila wiki.
Unatiririka jasho zile leso kubwa unajifuta inajaa majasho inakuwa mbichi unafanya kuikamua.
Nilikuwa nikitoka nabeba leso 3, miwani ya jua na mwamvuli. Nikirudi nyumbani nafikia bafuni navaa kivesti gauni nakaa mezani kula matunda aiseeh navuja majasho utasema kuli wa bandari.
Sema sikuwa na kitoyoyozi na feni inaniumiza mafua, basi tabu tupu.
Kwenye jua unapigika na joto na majasho ila shughuli zinafanyika na zinaendelea kama kawaida.
Mvua sasa, hali ya hewa nzuri ila shughuli zinasimama, saa ingine hata kama una gari hutoki, barabara hazipitiki, foleni, yaani mateso bila chuki.
Bongo daresalamu.
Hahahahahahahaha waende wapi??Mlioambiwa watu wa dar hameni mpk ifikapo april mafutiko makubwa yanakuja
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwakweli. Tutembee na mawe… mtu akirusha maji tu jiwe paaaah kwenye kioo
Kufa lazima tu. Funza nao wanamlilia njaa.Mungu huyo kama yupo, Anashindwaje kudhibiti Radi hizo zisilete maafa kwa binadamu?
Watu wana mlilia Mungu huyo awaokoe na majanga ya asili kama vimbunga, mafuriko, matetemeko ya ardhi Lakini Nothing happens wanaishia kufa tu.
Rejea Matetemeko ya ardhi ya Syria, Uturuki na Morocco maelfu ya watoto wachanga wasio na hatia yeyote wamekufa na huyo Mungu Ameshindwa kuwa okoa.
Huoni kwamba Mungu huyo hayupo ndiyo maana hata wanaomlilia awaokoe wanaishia kufa tu?
Kuna eneo fulani pale boko, aisee sijui walimkosea nini Mungu?Wa jangwani kama kawaida
Duuh huu mzigo wa maji ni mkubwa Sana hata Mimi ningekufa.Mvua kubwa iliyonyesha Dar es salaam asubuhi ya kuamkia Leo tarehe 20.01.2024 imeleta madhara makubwa katika miundombinu,nyumba za watu kubomoka na magari kusombwa na maji kama picha na video zinavyoonyesha hapa
Tuendelee kumuomba Mungu atunusuru na majanga haya ya mvua
View attachment 2877288
View attachment 2877289
View attachment 2877291
View attachment 2877292
View attachment 2877292
Pia ningeshauri kuwe na jumuiya za kina baba, kuna saa unaenda jumuiya kusali, viongozi ni wanawake , baada na kabla ya sala ni umbea kukutana na ukike ukike mwingi , kwa mwanaume jumuiya ijayo kwenda ni ngumu.Jioni watahudhuria watoto na wamama tu, wababa hawawapati ng'o
Kila kitu kije kwa kiasi jua mvua vyote tunaviahitaji .Kati ya jua [emoji274] na mvua [emoji943], bora nini...!!!!
Unazani wote wanaishi mabonde kuinama? Wengine sehemu zao huwa nawao wanawaonea huruma hao waiishio sehemu hatarishi.Dar mnaishi kwa shida sana. Sema sifa zinawaponza
Mvua na jua tunavihitaji kwa kiasiYaani jua la Desemba lilijua kuniwakia aiseeh, nilikuwa na hekaheka za kariakoo, buguruni, ilala karibu kila wiki.
Unatiririka jasho zile leso kubwa unajifuta inajaa majasho inakuwa mbichi unafanya kuikamua.
Nilikuwa nikitoka nabeba leso 3, miwani ya jua na mwamvuli. Nikirudi nyumbani nafikia bafuni navaa kivesti gauni nakaa mezani kula matunda aiseeh navuja majasho utasema kuli wa bandari.
Sema sikuwa na kitoyoyozi na feni inaniumiza mafua, basi tabu tupu.
Kwenye jua unapigika na joto na majasho ila shughuli zinafanyika na zinaendelea kama kawaida.
Mvua sasa, hali ya hewa nzuri ila shughuli zinasimama, saa ingine hata kama una gari hutoki, barabara hazipitiki, foleni, yaani mateso bila chuki.
Bongo daresalamu.
Dar watu wanataabika sana bas tu hawana pakwendaDar mnaishi kwa shida sana. Sema sifa zinawaponza
Wanaume wenyewe wakwenda jumuiya wapo wapi? Bila wanawake hakuna kanisa!Pia ningeshauri kuwe na jumuiya za kina baba, kuna saa unaenda jumuiya kusali, viongozi ni wanawake , baada na kabla ya sala ni umbea kukutana na ukike ukike mwingi , kwa mwanaume jumuiya ijayo kwenda ni ngumu.
Pakwenda papo hawajaamuaDar watu wanataabika sana bas tu hawana pakwenda
Wmeaminishwa Dar ni bora kulko Arusha kulko Mwanza kulko Dom na mikoa mingne hvo wanaona hapafaiPakwenda papo hawajaamua
Hakuna uhusiano wa kufa na uwepo wa Mungu.Kufa lazima tu. Funza nao wanamlilia njaa.