rastar mjeshi
Senior Member
- Aug 15, 2023
- 193
- 253
Vigagula tena [emoji16]Sijawahi kuogopa radi za Dar mpaka nilipofika mkoa fedenge ilipiga nikajikuta uvunguni aroo nilijua bati limetoka lote. Ile ilikua sio radi bwana vigagula wanatoa na dedication humohumo wanaongezea mlio
Watu wa dar acheni uoga [emoji1] [emoji1787]
Wanateseka sana hawa RaiaDar mnaishi kwa shida sana. Sema sifa zinawaponza
View attachment 2878288
Watu wa Dar,Rudini mikoani,mji umeshajaa huo,ona mnavoteseka ili uonekane tu unaishi Dar
Hatari sana..... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Maji ya mvua ya Dar sio ya kuogelea 🤣
.....usicomplicateee....umesikiliza hako kawimbo? Kanaendana na tukio kabisa😅😅😅Maji ya mvua ya Dar sio ya kuogelea 🤣
Kuna machemba, kuna mahosp
Hakii hawajipendi.
Na wanabeba sana vimelea hapo... Ni hatari ila hawaelewi kitu.Kwa kujinafasi zaidi
sasa hapo ukute hizo nyumba kuna ambazo ni selfcontainer ndani vyoo vya shimo....
Madogo wanaokoteza vimelea kwa raha zao😃
Ndio maana mna vipindupinduTuna dispsnsari ndani ya miili yetu😃
.....usicomplicateee....umesikiliza hako kawimbo? Kanaendana na tukio kabisa😅😅😅