Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Fanyeni kazi ndo kumuenzi Mwalimu, acheni kulialia.
 

Kura 50 kwani itanyesha nchi nzima? Kumbuka kuna zile kura za mapema.
 

Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane.

Hii mvua itasaidia kupunguza vumbi kwa muda mrefu Jiji hili halikua na mvua.

Basiyaya ni jipu. Napajua vizuri sana, naishukuru mvua kuna jamaa alitaka niuzia kiwanja kipindi fulani, sio kipindi cha mvua ila wiki iliyofuata ghafla Mungu akashusha bonge la mvua ya ghafla! Nikamwambia jamaa naenda cheki kiwanja, Nikaenda, nikakuta nyumba ziko baharini yani mabati ndio yanaonekana. Nikamshukuru Mungu na kuwaonea huruma wakazi wa maeneo hayo kisha nikasepa! Jamaa Hajanitafuta tena..
 
Ila airport kituko eti lisaa la kwanza ukipark sh 2000, baada ya hapo ndo buku lisaa

Sasa ndo nini[emoji849][emoji849]
 
Jana mitrafiki ilikimbia asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Khaaa yaan we na hili neno[emoji849][emoji849][emoji849]

' Gridlock this

' Gridlock that

[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]
 
Hii ya foleni ya Banana majumba sita ni ya hovyo kiwahi kutokea.Naona serikali imeamua kutuachia wenyewe tupambane na hali zetu.Yaan toka saa kumi bado hata mataa ya majumba sita sikafika.wala hakuna dalili kama tutatoka hapa
Duh
Mkuu ulifika saa ngapi?[emoji134]
 
Mkuu wazo lako zuri. Lakini msururu ule wa magari wote tungepata wazo hilo Airport pasingetosha
Ni kweli pasingetosha lakini imagine anagalu baadhi wangekuwa na wazo la kupaki “somewhere” adha ya jana ingepungua “somehow” kwa baadhi ya watu. Kuna dogo jana ameniambia yuko posta kwa masaa 4 kutoka Wizara ya Ardhi mpka mnara wa askari. Nikamshauri atafute ofisi hapo mjini apaki amtoe mlinzi Msimbazi achukue boda aende Home. Alifanya hivyo na ik amsaidie kuwahi home kwake.
 
Na kweli asee

Na by the way,

Ukishaona mtu anakuja kwenye uzi kama huu ambapo watu wanajadili mafuriko na adha za usafiri jijini Dar, yeye anaanza kukuambia eti hata Joberg, sijui London nako hua kuna mafuriko, so what? Kwahiyo kama huko kuna mafuriko maanake sisi hatuwezi ku improve huku kwetu? Kwahiyo watu waliofika majumbani saa 10 alfajiri wasilalamike kisa Joberg nako kuliwahi kutokea mafuriko?

Ndio maana nasema kutembea nchi mbalimbali na kujidai kwamba una exposure hakumuondolei mtu kale ka ushamba ka asili ambako alitoka nako kijijini na lazima kataonekana tu hawezi kukaficha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…