Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo ni shida! Tena mi naomba siku ya Uchaguzi Vua la Jana lishuke,na NEC hakuna kuhairisha Uchaguzi, mwenye uwezo wa kupiga Kura aendee akapige Kura,nakura zitakozopigwa ndiyo hizohizo zitakazo hesabiwa! Angalia Mziki hata Kura 50 hazitafika!! Alafu eti kuna watu Wanataka kinuke, wakati small Gridlock inawatowa jasho!!
Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane.
Hii mvua itasaidia kupunguza vumbi kwa muda mrefu Jiji hili halikua na mvua.
Unategemea kwa ishu ya mafuriko kama huko boko mdee itamsaidia?Itasaidia kuonesha mafanikio ya CCM na kuwapa zaidi wapiga kura mwanga wa kufanya maamuzi sahihi hapo 28 Oct 2020.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji122]Hujatengeneza swimming pool tumboni
Ila airport kituko eti lisaa la kwanza ukipark sh 2000, baada ya hapo ndo buku lisaaPole sana mkuu lakini siku nyingine unatakiwa kujiongeza sio kukomaa na Gari. Ungeamua kwenda hapo airport ukapaki na kuondoka na boda kwenda home. Leo ungeenda asubuhi kuchukua gari. Ungelipishwa shs 2000 kwa saa. Ambayo si kubwa ukilinganisha na adha iliyopita barabarani.
Jana mitrafiki ilikimbia asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Serikli iache ujinga! Waache kujenga madaraja yasiyo na tija kama salenda, jana chanzo kikuu cha foleni ni
1. barabara kuu mbili kufungwa, jangwani na mkwajuni! Yanatakiwa madaraja marefu haya maeneo waache ujinga wa madaraja yasiyo na tija! Maana kwa foleni ya jana hata daraja la salenda lisingesaidia kitu...
2. Traffic kukimbia mvua na magari kuanza kujiongoza. Kila mtu ana haraka matokeo yake barabara za kwenda watu wanakuja na za kuja watu wanaenda...
Jana hadi CDF kakwama kwenye foleni ya bagamoyo road dadeki...piga king'ora weeee hamna gari inampisha ndio kwana zimezimwa utadhani zimepaki...wakajimix wakaingia kati kati, shughuli ikaisha hapo...cdf jana pale moroko fao kasimama karibu saa na zaidi. Tena ana bahati ndio foleni zilikua zinaanza kuachia kwa muda ule
Khaaa yaan we na hili neno[emoji849][emoji849][emoji849]Wabongo ni shida! Tena mi naomba siku ya Uchaguzi Vua la Jana lishuke,na NEC hakuna kuhairisha Uchaguzi, mwenye uwezo wa kupiga Kura aendee akapige Kura,nakura zitakozopigwa ndiyo hizohizo zitakazo hesabiwa! Angalia Mziki hata Kura 50 hazitafika!! Alafu eti kuna watu Wanataka kinuke, wakati small Gridlock inawatowa jasho!!
Wapi kwa Bulldozer Mwamposa au?UONGO... na kwahiyo umepata dhambi!
Njoo uungame kanisani kwangu!
Kuishi nchi mbalimbali duniani hakuondoi ushamba.Khaaa yaan we ni hili neno[emoji849][emoji849][emoji849]
' Gridlock this
' Gridlock that
[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]
Na kweli aseeKuishi nchi mbalimbali duniani hakuondoi ushamba.
Mkuu nje ya mada kidogo..Fanyeni kazi ndo kumuenzi Mwalimu, acheni kulialia.
DuhHii ya foleni ya Banana majumba sita ni ya hovyo kiwahi kutokea.Naona serikali imeamua kutuachia wenyewe tupambane na hali zetu.Yaan toka saa kumi bado hata mataa ya majumba sita sikafika.wala hakuna dalili kama tutatoka hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kesho isingekuwa Sikukuu muda huu tungerudi ofisini tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli pasingetosha lakini imagine anagalu baadhi wangekuwa na wazo la kupaki “somewhere” adha ya jana ingepungua “somehow” kwa baadhi ya watu. Kuna dogo jana ameniambia yuko posta kwa masaa 4 kutoka Wizara ya Ardhi mpka mnara wa askari. Nikamshauri atafute ofisi hapo mjini apaki amtoe mlinzi Msimbazi achukue boda aende Home. Alifanya hivyo na ik amsaidie kuwahi home kwake.Mkuu wazo lako zuri. Lakini msururu ule wa magari wote tungepata wazo hilo Airport pasingetosha
Hahahahaha.Ila airport kituko eti lisaa la kwanza ukipark sh 2000, baada ya hapo ndo buku lisaa
Sasa ndo nini[emoji849][emoji849]
Swali zuri sana,sema lazima atajibu kwa Jazba!
Na kweli asee