Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Kwahiyo kwa hizo hesabu, kwa mwezi utakuwa unakunywa pipa mbili za maji, kwa mwaka unapiga kama pipa 25 hivi!!

Ungeanzisha kilimo cha umwagiliaji basi, manake unaamka zako saa 11 alfajiri, unapiga ndoo ya kwanza, ikifika saa 12 unapiga ndoo ya pili, kisha huyooo shambani; na ukifika huko unajitapishia kwenye nyanya zako!
Nyoooo

[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Pole sana mkuu lakini siku nyingine unatakiwa kujiongeza sio kukomaa na Gari. Ungeamua kwenda hapo airport ukapaki na kuondoka na boda kwenda home. Leo ungeenda asubuhi kuchukua gari. Ungelipishwa shs 2000 kwa saa. Ambayo si kubwa ukilinganisha na adha iliyopita barabarani.
 
Back
Top Bottom