Mkuki wa Sumu29
Member
- Aug 31, 2015
- 6
- 4
Wamarekani wanaon Trump anawafaa kuwa rais kwa mara ya pili ila ww msambaa wa bumbuli unaona Trump hafai kuwa Rais wa Us.πππ yaani unaweza fikiri kama hichi kikao si cha marais ,ila kiukweli zelensky ni comedian lakini hata Trump naye kuna kitu hakipo sawa kuwa kiongozi wa taifa kubwa kama Marekani maana anachokifanya Trump ni kuonesha mataifa mengine kutoiamini Marekani katika jambo lolote.
Yani kuna watu wanashida kwenye uwezo wa kufikiri. Wamarekani wenyw nchi yak wamechagua kwa kishindo then mbongo mmoja hiv anaona kam hawajielewiWamarekani wanaon Trump anawafaa kuwa rais kwa mara ya pili ila ww msambaa wa bumbuli unaona Trump hafai kuwa Rais wa Us.
Zele ni mwamba sana! Trump mshamba tu hatamaliza miaka 4 hapo! mark my wordNi wazi kabisa Zelensky hakuwa sawa kabisa kichwani, unaweza kusema kuwa ni kama vile alikuwa ametumia bangi maana alikosa kabisa ustaarabu wa kuzungumza na Rais wa nchi ndani ya WHITE HOUSE na hivyo aliamuriwa kuondoka na aliambiwa anaweza kuja siku nyingine atakapo kuwa sawa.
Bangi sio kitu kizuri...tujiepushe na matumizi ya bangi na aina zingine za madawa ya kulevya kwani yanaharibu akili.
Ni wazi kabisa Zelensky hakuwa sawa kabisa kichwani, unaweza kusema kuwa ni kama vile alikuwa ametumia bangi maana alikosa kabisa ustaarabu wa kuzungumza na Rais wa nchi ndani ya WHITE HOUSE na hivyo aliamuriwa kuondoka na aliambiwa anaweza kuja siku nyingine atakapo kuwa sawa.
Bangi sio kitu kizuri...tujiepushe na matumizi ya bangi na aina zingine za madawa ya kulevya kwani yanaharibu akili.
Kuna uzi humu wa hivi majuzi unahamasisha kui legalizeBangi sio kitu kizuri...tujiepushe na matumizi ya bangi na aina zingine za madawa ya kulevya kwani yanaharibu akili.
Kwahiyo mkuu mtaani kwako jirani yako ana mamlaka ya kukupangia nani anapaswa kuwa rafiki yako na nani hapaswi?Hapa umetoa boko aisee. Putin hana haja na ardhi ya mtu. Kinachoitokea Ukraine ni kitendo chake cha kutaka kumletea Russia adui sebuleni kwake. Hayo mengine uliyoandika ni mihemuko yako tu ya kuwa pro-west.
Mkuu what was he supposed to do? Bend over to Putin and handover Ukraine to him?Unajifurahisha mkuu.Yaani Ukrainians are proud of a man who has led to the slaughter of 1 million plus Ukrainian soldiers and flight of 20 million plus Ukrainians?That surely can't be.
Kadhalilika sanaNimejisikia vibaya sana
Ilikuwa vita ya kisaikolojia, Zele hawezi kuwa sawa tena.Kadhalilika sana
Tena kafanyiwa makusudi kuwekwa live daa
Amepiga sana hela za vita hiyoIlikuwa vita ya kisaikolojia, Zele hawezi kuwa sawa tena.
baada ya kuvamiwa ulitaka afanyeje? jibu bila mihemuko.Kapambania nini mkuu.
Kapambania nini mkuu, mauaji ya askari wa Ukraine one million plus and a few thousand Russia soldiers not forgetting 20 million + displaced Ukrainians bila faida yoyote kwa Ukraine?This stupid boy deserves scorning and shunning.To me Trump is doing the right thing.Viva Trump.
HaswaIts sad jinsi wanavyoionyesha dunia kuwa wameshikilia hatma ya wananchi wa Ukraine. No free lunch huu msemo unatakiwa kutiliwa mkazo na kila mwenye akili timamu
Mtu anakuja nyumbani kwako anajichagulia kimabavu chumba hiki na hiki ni vyangu, baba mwenye nyumba utakubali hilo?Hapa ndipo linapokuja swali muhimu: Kwa nini ulipigana wakati hauna nguvu ya kupigana?
Ameshaiharibu nchi kwa sasa!
Na ndiyo maana watu wanamuona ni mjinga, hawamheshimu.
Mkuu Zele hakuchagua kupigana ujue.Amepiga sana hela za vita hiyo
Na hizo damu lazima achanganyikiwe
Wamemuweza sana
Hakuna nchi za mabeberu wasioangalia maslahi yaoDogo alijipanga mkuu na kabla ya kuja alikutana na jamaa WA Eu wakamwonya mapema HUYO hana issue
Kifupi mkuu HATA eu NATO nao Wana MASLAHI makubwa pale Ukraine usione wajinga Wana control VYUMBA vya jeshi ykahisi wanalinda dada zaooo
KUNA mizigo inatoka kila siku KWENDA kwao huko
Haikuwa rahisi kumuumiza kichwa zelesnky kiujumla trump ndio kaaibika
Makaratasi kapeleka toilet hakasafishsie chooo na nahisis trump kukasirika vile alijibiwa hio mikataba peleka choon wakatawazie akapanic
HATA rate anayorudia aendi Ukraine mojakwamoja.......
Nimeshangazwa na maoni ya baadhi ya members ni kama source ya hii vita imekuwa twisted. Huyo Russia yeye kashachukua part ya reserve ya hayo wanayogombea akina Trump. Na tatizo la hawa powerful countries hujui nani yuko na nani kwa hiyo kutumbukia shimoni ni sekunde tuu. Binafsi simlaum Zelensky sababu alivamiwa. Na Putin kasema hii vita haitakwisha bali itapumzika.Nawashauri Watanzania ambao hawajaitizama Video yote, mwanzo mpaka mwisho, waitizame.
Form your own opinion and perspective.
Hata hivyo Watanzania mtagundua tunalishwa matango pori na propaganda za mrengo wa kulia na wakuzaji wa himaya za Wazungu. White Supremacist.