Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe mmetuharibia mjadala wa Bandari

Hisia na chuki zinakuongoza hakuna wa kuweza kumhonga Mbowe hahongeki nitajie hata mmoja wa kuweza kumhonga Mbowe hao ccm wenyewe wana njaa kama nini.
Mbowe mwepesi kama jani kavu la mgomba anahongeka kirahisi sana.
Mwaka 2015 alihongwa na mamvi akampiga chini Slaa kugombea URAIS na kuwachia mhongaji. Lkn pengine ulikuwa hujazaliwa.
 
Unadili vema sana kuliko watukanaji na wakabila wenye ubaguzi na udini CHADEMA.
 
wewe ulikuwa umesinzia baada ya kula maharage ya wapi hadi hujui namba mtukanaji bingwa Nshalla alivyomtukana Rais na wanawake wote? Tusi halirudiwi.
Nshalla sijawah msikia akitukana labda mtujinga amkorofishe na hapo hatamtukana ata mwa adentify tu huyo mtu
 
sawa, kwahiyo huo mkataba unaisha lini?
 
Hawa akina Mbowe, Slaa, Lissu na Nshalla wana dhambi inayolia mbele ya Mungu. Wamejiharibia sana wenyewe na mjadala mzima.
Hawajaitendea haki TZ, Waombe radhi ktk vyombo vya habari/media.
 
Hii ni aina ya rushwa ili kuwafanya wazenj wasitamani kujitoa kwenye muungano. Kwa nn upendeleo wa waziwazi namna hii na kumnyima mtanganyika haki kama hiyo huko zenj?
[emoji106]
 
Mkataba WA UK hauko WA hovyo kama Huu
Ule upo specific unataja miaka,na mapato watayopata peleka uzwazwa Wako JAMBIANI
 
Mkataba wa UK na huu una tofauti ya mazingira ya namna ulivyosainiwa, punguzeni ujuaji wanasheria waliosaini sio wajinga kama mnavyowachukulia.
Ulishaona mkataba usiooonyesha ukomo?
Mkataba unaosema eti hâta iweje mkataba hautavumjika,mkataba hauonyeshi tutapataje faida,mkataba unaosema eti bandari zote Ktk maziwa yote na hâta dry port eti vyote vitakuwa chini ya waarabu,et ukitaka kuendeleza bandari yoyote umtaarifu yéyé mwarabu kwanza Kuna mkataba duniani uliouona unafanana hvyo? Acha utahira wewe mla urojo WA MAKUNDUCHI
 
Hawa akina Mbowe, Slaa, Lissu na Nshalla wana dhambi inayolia mbele ya Mungu. Wamejiharibia sana wenyewe na mjadala mzima.
Hawajaitendea haki TZ, Waombe radhi ktk vyombo vya habari/media.
Wewe mlamba matako ya mwarabu huwezi kuwa na akili,endelea kula urojo hapo MAKUNDUCHI
 
Wewe mlamba matako ya mwarabu huwezi kuwa na akili,endelea kula urojo hapo MAKUNDUCHI
Du, ndio CHADEMA hii, inayotarajia kushika Dola 2025. Kweli wananchi watawapa kura nyie, halafu mkishindwa eti msingizie mmepigwa/mmeibiwa. Kelele za DPW mnadhani zinatosha kwenda ikulu! Mama anarudi ikulu kirahisi sana 2025.
 
Kwani nani amekataa hao DP World wataleta ufanisi,na kuingiza hizo hela....kinachopingwa hapa ni aina ya hayo makubaliano.....mnajitoa ufahamu tu,eti kama angekuja mhindi acha kulamba matako watu wa nje,,,,,kwa nini hufikirii kama sisi wamatumbi tuna uwezo huo wa kuendesha bandari zetu?????........huna ushahidi akina lissu wanatumika nyamaza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…