RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Je yansyoibuliwa ni uongo?Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?
TUJADILI KWA HAKI!!
Hapa ndipo tunapofeli ngozi nyeusi. Eti siyo level ya waziri. Mbona kwa wenzetu huko hakuna haya ya kuteteana katika maovu? Polisi anaua raia huko, waziri wa mambo ya ndani anawajibika. Mzazi anafariki kizembe wakati wa kujifungua, waziri wa afya anawajibika.nikujibu kwamba anaonewa sababu hayo anayosemwa nayo sio ya level ya Waziri, mathalani mtumishi amefanya malpractice Waziri anahusikaje?
Sasa qewe umeandika hoja gani? Yaani mwanamke mzima unaandika na kuuita utupu wako "kipochi manyoya". We ni gumegume, hakuna mwanamke mwenye staha na heshima anaweza andika upuuzi kama huu.Kaa kimya wewe
Huna hoja
Tokea lini watz wakaamka?ndo kwanza wajinga wanazidi kuongezeka na umaskini ndo unawameza kuwa machawa wa mambo ya kijinga?Tukubali tupo nchi isiyojielewa tuishi nayo saizi waziri analipa watu kuficha udhaifu wake[emoji20]Hospital za serikal huduma mbovu mno hazijawsh kuwa nzuri hata siku moja vitanda hakuna ,watoto wanapoteza maisha na mama zao halaf mnataka wasisemwe hebu amkeni
Ma-fisi-em ndiyo yalivyo, tujadili nini? Yanawaza madaraka tu wakati uwajibikaji hayawezi.Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?
TUJADILI KWA HAKI!!
Hakuna anayemchafua wakati yeye mwenyewe ndio mchafu.Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?
TUJADILI KWA HAKI!!
Kuna ukweli ambao kila mtu anatakiwa aukubali. i.e. mfumo wa uongozi na muundo wake haufai kwa nchi yetu. Nchi yetu ni kubwa na haiwezi kuongozwa kutoka Dodoma.Kazi ipo!!!
Nchi yetu ina watu wengi sana, serikali yetu haina uwezo wa kuwahudumia watu wake kwa hali itakayoweza kumridhisha kila mtu.
Watumishi wa kada ya afya ni wachache sana kulinganisha na wingi wa wateja, na hapo hapo wengi wao sio waaminifu katika utendaji wa kazi zao
Vifaa navyo inaweza kuwa ni tatizo au watumishi ndio matatizo katika kutoa huduma.
Wizarani kuna maofisa kibao kuanzia Katibu Mkuu,, wasaidizi wake na wakuu wa vitengo, je hawa nao wameshindwa kumsaidia waziri?
Huko mikoani kuna RMO's wilayani kuna DMO's bado kuna wasimamizi wa vituo hivyo vya afya. Je hawa wameshindwa kutekeleza wajibu wao?
Ni kipimo gani tunaweza kukitumia kumpima waziri huyu?
Kumbe ni "fantasy" zako kwa kupenda wanawake wenye rangi kama ya Ummy ndio kilichofanya useme anashambuliwa?Namuona mrembo Ummy hana baya na mtu halafu anatekeleza majukumu yake kiweledi sana(muono wangu) ila wapo watu wanamtafutia baya kila siku iendayo kwa mola.AU MIMI NDIO SIJUI YA NYUMA YA PAZIA??
Kwamba ummy elimu ndogo? unajua level yake ya elimu? Sasa kama ummy ni elimu ndogo vipi boss wake? Kwanza wewe kweli ni mtaalamu wa afya mbona mwandiko wa kiswahili na majungu. Ummy ni kweli anaweza kuwa ni kiongozi dhaifu kwenye serikali dhaifu lakini usizidishe chumvi mpaka hoja yako ikaonekana ni majungu[emoji23][emoji23][emoji23]Hana uwezo
Elimu ndogo na kujikombakomba
Nakumbuka mwaka flan,ndo anaigia magu,kabla hajapanga baraza la mawaziri,alikuja ofcn kwangu,kituo nilichokuwa wakati huo,niko kinda kabisaa,binti mbichi,ndo naanza kazi nina morale kushinda morani
Bosi akanituma niitishe jalada lake,nikaingia mwenyewe front,manake hawa masekretare yakianza kutombwaah na mabos dharau zinazid,
baada ya dk 5 nikaibuka na jalada nikamkabidhi boss,akalipitia,akaniita ,akanipa maelekezo ya kufanyia kazi chapu kwa haraka aondoke na nyaraka zake kwenda makao makuu,
nikapokea maelekezo nikaanza kuyafanyia kazi,hapo chumba cha ofic ni kimoja,so wanayozungumza na boss,nikawa nayasikia.
Boss akamwuliza;vp kwa mzee huyu utatoboa?(Mzee Magu) Akajibu;dah mtihani,si wamjua,Ila mkwere(JK) nimeongea naye kasema atanisaidia
Lol;kumbe alikuwa chombo Cha mkwere,kweli after 2 weeks ,magu akatangaza baraza la mawaziri,akawekwa na Dorothy gwajima kusimamia wizara ya afya kabla haijatenganishwa(mambo ya
Kipochi manyoya)
Since that day,i disgust her,she incompetent [emoji120][emoji2539]
We mpumbavuuu[emoji23][emoji23]
Mxiuuu huyo umy mayala katengeneza mfumo gani kenge wewe
Endelea kulamba masaburi mjalaana wewe mziiuuu
Maskin kibudu[emoji120]
Unatetea ujinga kwa mifano raisi kabisa hebu zungumzia na swala la vifo vya wazazi mahospitalini hebu zungumzia ukosefu wa vifaa na madawa hospitali hebu zungumzia hali za hospitali zetu mkuu usiwe mtotoMhe Tindo nakuheshimu sana. Hebu tujadili bila hisia hapa. Kwa mfano hospitali ina vitanda 12 vya kulaza waliojifungua na kwa kipindi cha mwaka mzima vimekua vinatosha. Mara ghafla leo wamekuja wazazi 13, overflow ya mmoja, je kama wewe ndio daktari mtampa rufaa aende sehemu ingine au mtamhudumia? Hapo kosa la Waziri linakua ni lipi?
Tuanze kwanza kujadili kwa haki kabisa nani alipost picha za chongolo hata akatolewa kwenye kiti tena muda mfupi bada ya makonda kuteuliwa???Nimuombe Mhe.Rais atumie vyombo vyake maalumu na sio vile vya kawaida kupata ukweli juu ya suala hili.
Tanzania ya sasa tumekuwa na watu laghai,wasiofikirisha vichwa,wanaonyakua kelele za wanasiasa uchwara kupitia mgongo wa CCM na hatimaye watendaji wazuri wanahukumiwa na kubambikiziwa kesi za uongo ili tu mitandao flani iweze kumea.Ifike mahali tukatae huu uhuni kwa maslahi mapana ya TAIFA.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!