Pole sana, utapata mtoto kwa jina la YESUmimba mbili za mke wangu wa ndoa zimeharibika za miezi zaid ya tano, nimeweka nyingine ila nilijiandaa kwa kupata mtoto ndani ya familia yangu, MUNGU mwema nasubiri tena 2024.
Unajua maana ya kukua kiroho?Mwaka ambao nimekua kiroho...
Mwaka ambao nimebadilishwa na kuwa mpya kiroho...
Mwaka ambao nimepata kibali kwa watu mbalimbali...
Asante Yesu kwa mwaka huu
Najua na sitaki kukwambia...Unajua maana ya kukua kiroho?
Usikate Tamaa, usichoke kutafuta, Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake kwako na wala hachelewi....Wakuu
Najua tuna mambo mengi yanayotusibu kwenye harakati za kila siku kutafuta mkate.
Leo ikiwa ni tarehe 13 December kuna kitu/vitu ulitamani kufanikisha lakini unaona vimeshindikana au hujafikia matarajio tupeane uzoefu.
Naamini tuna mengi ya kujifunza as long as bado tunaendelea kupambana
Bwana Yesu asifiwe sana. Mungu akufanyie makubwa zaidi mwaka 2024.Mwaka ambao nimekua kiroho...
Mwaka ambao nimebadilishwa na kuwa mpya kiroho...
Mwaka ambao nimepata kibali kwa watu mbalimbali...
Asante Yesu kwa mwaka huu
AminaBwana Yesu asifiwe sana. Mungu akufanyie makubwa zaidi mwaka 2024.
Pole sana mkuu. Mwaka jana nmepoteza mtoto mchanga, akiwa na siku 11. Mpaka sasa sija recover. Ninaumia moyonimimba mbili za mke wangu wa ndoa zimeharibika za miezi zaid ya tano, nimeweka nyingine ila nilijiandaa kwa kupata mtoto ndani ya familia yangu, MUNGU mwema nasubiri tena 2024.
Hongera mkuu. Mwaka huu nmepita majaribu mengi sanaMwaka ambao nimekua kiroho...
Mwaka ambao nimebadilishwa na kuwa mpya kiroho...
Mwaka ambao nimepata kibali kwa watu mbalimbali...
Asante Yesu kwa mwaka huu
tunaambiwa shukuruni kwa kila jamboWakuu
Najua tuna mambo mengi yanayotusibu kwenye harakati za kila siku kutafuta mkate.
Leo ikiwa ni tarehe 13 December kuna kitu/vitu ulitamani kufanikisha lakini unaona vimeshindikana au hujafikia matarajio tupeane uzoefu.
Naamini tuna mengi ya kujifunza as long as bado tunaendelea kupambana
Mazuri yanakuja mkuu, Mungu ni mwemaHongera mkuu. Mwaka huu nmepita majaribu mengi sana
Amina. Na mimi nina imani kuwa mwaka huu utaisha vyemaMazuri yanakuja mkuu, Mungu ni mwema
pole sana piaPole sana mkuu. Mwaka jana nmepoteza mtoto mchanga, akiwa na siku 11. Mpaka sasa sija recover. Ninaumia moyoni
Nimejifunza kutolazimisha mwanamke anipende.Mwache aende akitaka kwenda aende atakuja kujuta maamuzi yake kwa muda mfupi tu dunia itakapomfundisha.Wakuu,
Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.
Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
Nashukuru mkuu.pole sana pia