Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mkristo yupo hai siku zote.
Ukianza kufikiri kuwa kifo kitakutenganisha na Yesu ujue wewe ni mfuasi wa ibilisi.
Kwa kuwa wakristo tupo hai siku zote,tunaendelea kuombeana.
 
Okay, nimekuhubiria vya kutosha. Subiri kuombewa baada ya kifo chako. Damu yako haiwezi kuwa juu yangu tena.

Hii ni sawa na mtu aseme "Mugabe ni jogoo" halafu wewe unajibu kuwa kama ni jogoo tutamchinja kwenye Krismas...🤣
Kama wewe unaamini hivyo basi sio mkristo

Yn 11:25-26 SUV

Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
 
Unafiki ulioje huu?

Ni lini watamuombea Ben Saanane

Au marehemu Mawazo

Au binti Akwilina?
Kanisa la kinafiki kabisa hili bila shaka
Hao vichwa panzi unawalinganisha na Magufuli kwa lipi? Kiutendaji au kwa kuwa binadamu wore tutakufa?
Hayo majina bado sio ushahidi maana hata sasa kuna watu kibao wameshakufa tokea aingie mama Samia! Vipi wale vijana wa kariakoo waliopotea? Na mauaji ya kila aina kona zote za nchi? Kwa hiyo anawaua mama Samia?
 
Hii sio ya kukosa safari ya Mwanza imeiva sasa.
 
Huu ndio uthibitisho!!?
 
Pumbavu kabisa huyo magufulu alienzi undugu gani wakati aliligawa taifa labda undugu wa wasukuma
 
Na hiyo misa ikifanyika mpigwe na radi hapohapo mfe kwa unafiki wenu.
 
Wewe uniite uniitavyo Magufuli sio level yako wala level ya Lisu wala Makengeza! Level ya Magufuli inajipambanua yenyewe Kiutendaji wewe mbwekaji bweka tu!
Ona ulivyo pario. Vichwa panzi kwasababu hawakua presidents? Najuaga wewe ni mjinga ila sikujua ni kwa kiwango hiki. Jamiiforums na uma wake tumezidi kukudhara wewe sukuma gang
 
Wewe unaendeshwa na chuki za kikabila tu! Wasukuma huna la kuwafanya na wapo sana tu! Serkalini kila kona yenye uchumi mzuri wapo! Endelea kuoza meno na kukondeana miguu !
Pumbavu kabisa huyo magufulu alienzi undugu gani wakati aliligawa taifa labda undugu wa wasukuma
 
Mapenzi mema ndio yepi
 
Unafiki ulioje huu?

Ni lini watamuombea Ben Saanane

Au marehemu Mawazo

Au binti Akwilina?
Kanisa la kinafiki kabisa hili bila shaka
Walikuwa wakatoliki?walikuwa na sakramenti mpaka waombewe na kanisa katoliki?
 
Sijawahi kumuelewa wala kumuona kama mnavyomuona nyinyi huyo jamaa anaitwa magufuri labda kwa sababu alikuwa boss wangu niliweza kuona mengi yaliyopo moyoni mwake na nyie mkaona ya kwenye kioo cha Tv zenu
Umeandika lugha tata mkuu, nimekuelewa sana lkn kama hutojali funguka kidogo
 
Huwa ni mazoea tuu lkn hoja zako ni za msingi kabisa
 
Magufuli ni kiongozi bora sana wa wakati wetu. Ametufikisha uchumi wa kati ndani ya miaka mitano tu!
Mbona yasemekana pale tuliingizwa chaka? Hatukuwa uchumi wa kati kabisaaaa. Ila uzuri sote tulikubali. Haina shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…